Mabilioni ya Uswisi: Rais Magufuli afunga kazi. Karibu Tsh. Bilioni 500 kurejeshwa nchini

Ikiwa katiba itaheshimiwa na kuhakikisha sheria, kanuni na taratibu zinafuatwa ipasavyo na kila mmoja wetu ( yaani sekta binafsi na serikalini). Sote tukalipa kodi stahiki na kuzuia mianya yote ya upigaji, amini nawaambia tutaandamana kwa madai maisha ni magumu sana.
Hata wewe na mimi bila kujali ulipo unaishi ukiogelea katika dimbwi la wizi, rushwa ndio maana unaweza kuishi kwa mshahara mdogo.

Si kweli. Watanzania wengi tunaishi kwa vipato vyetu halali, ndio maana wengi wetu ni maskini. Hao unaowasema wewe ni wafanyakazi wa serikali na mashirika yake, pamoja na wengine wachache ambao wanaishi kwa kujinufaisha na mali za umma kwa njia za ufisadi. Nakwambia tena hao ni wachache sana.
 
Kuishi kwa jasho inawezekana. Timiza wajibu wako!

Kweli kabisa bosi wangu. Mm hapa ninaishi kwa jasho langu mwenyewe na mambo yanakwenda; na ninalipa kodi ya mamilioni killa mwezi kutokana na jasho langu. Tabia ya kujizoeza kuishi maisha feki kwa kipato ambacho watu hawakitolei jasho ndiyo inayoharibu nchi yetu.
 
Ikiwa katiba itaheshimiwa na kuhakikisha sheria, kanuni na taratibu zinafuatwa ipasavyo na kila mmoja wetu ( yaani sekta binafsi na serikalini). Sote tukalipa kodi stahiki na kuzuia mianya yote ya upigaji, amini nawaambia tutaandamana kwa madai maisha ni magumu sana.
Hata wewe na mimi bila kujali ulipo unaishi ukiogelea katika dimbwi la wizi, rushwa ndio maana unaweza kuishi kwa mshahara mdogo.
Sio kweli wewe,sheria tunazo nzuri tu na sio ngumu kuzifata na hazina madhara ukizifuata, hilo lako naona nitatizo binafsi zaidi kuliko kulifanya general. Kuna watu tuna miaka zaidi ya 10 kwenye kampuni binafsi, hatuibi wala kukwepa kodi na maisha yanasonga vizuri tu. Tatizo vijana wengi mnawaza kuishi kama Christiano Ronaldo bata kibao.
 
Tusijidanganye kabisa pesa ya uswisi haitarudi kirahisi kama kufilisi mali za masamaki kule kajiungeni...itachukua muda nguvu na gharama kubwa mpaka kuzipata
heshima yako mkuu mshana. Hivi nauliza walishafilis mali za masamaki?

Mke wake jamaa ana ROHO MBAYA na MTESI cjapata kuona utadhan Jezebel wa kwenye baibo. Alikuwa anazuga na biashara ya kukodisha viti. Dah hii dunia usimuonee mnyonge
 
heshima yako mkuu mshana. Hivi nauliza walishafilis mali za masamaki?

Mke wake jamaa ana ROHO MBAYA na MTESI cjapata kuona utadhan Jezebel wa kwenye baibo. Alikuwa anazuga na biashara ya kukodisha viti. Dah hii dunia usimuonee mnyonge
Mali zao hazitasalimika kila kitu hua na mwisho wake
 
Sio kweli wewe,sheria tunazo nzuri tu na sio ngumu kuzifata na hazina madhara ukizifuata, hilo lako naona nitatizo binafsi zaidi kuliko kulifanya general. Kuna watu tuna miaka zaidi ya 10 kwenye kampuni binafsi, hatuibi wala kukwepa kodi na maisha yanasonga vizuri tu. Tatizo vijana wengi mnawaza kuishi kama Christiano Ronaldo bata kibao.
kampuni yako kitu gani katika macro economy? mnafanya biashara gani ambayo unahisi inaathiri japo 2% ya maisha ya watanzania?
kujiendesha kwa kufuata sheria na taratibu ni jambo jema, nilichojifunza umeshindwa kujiongeza wewe ni miongoni mnaopenda mmeze kitu kilicho tayari.
kwa kukusaidia mantiki ya hili;
tumeshuhudia kontena zinapita bila kulipiwa bidhaa kadhaa zinaingia nchini bila kodi, upangaji wa bei wa bidhaa kama hizo utazingatia gharama zake ndogo na ndio sababu labda watu kuomba kupunguziwa bei na utashangaa bei uliyooambiwa mwanzo tsh.10,000 mwishoe unauzia kwa tsh. 7,500. mfano mdogo tu

watu walikuwa wanajipa safari za nje serikalini na mapato ya pesa walifika pub yangu kupata vinywaji, kasi yao lazima ipungue ikiwa watabanwa. je hapo kabanwa yeye tu.
na mimi mwenye pub nilikuwa napata faida kwa mgongo wao nilipeleka faida kwenye ujenzi, kasi yangu itapungua sababu sipati faida kama awali. na fundi ujenzi mapato yake je?

hatuibi pesa tumetega mitego watu walete wenyewe kutoka sehemu mbalimbali iwe wamepata halali au kimagumashi, na uzoefu unaonyesha wenye matumizi ya kukushtua muuzaji hadi unashukuru mara mbili mbili na kukaribisha tena mara chache sana vipato halali.
SIJUI UMENIPATA?
 
kampuni yako kitu gani katika macro economy? mnafanya biashara gani ambayo unahisi inaathiri japo 2% ya maisha ya watanzania?
kujiendesha kwa kufuata sheria na taratibu ni jambo jema, nilichojifunza umeshindwa kujiongeza wewe ni miongoni mnaopenda mmeze kitu kilicho tayari.
kwa kukusaidia mantiki ya hili;
tumeshuhudia kontena zinapita bila kulipiwa bidhaa kadhaa zinaingia nchini bila kodi, upangaji wa bei wa bidhaa kama hizo utazingatia gharama zake ndogo na ndio sababu labda watu kuomba kupunguziwa bei na utashangaa bei uliyooambiwa mwanzo tsh.10,000 mwishoe unauzia kwa tsh. 7,500. mfano mdogo tu

watu walikuwa wanajipa safari za nje serikalini na mapato ya pesa walifika pub yangu kupata vinywaji, kasi yao lazima ipungue ikiwa watabanwa. je hapo kabanwa yeye tu.
na mimi mwenye pub nilikuwa napata faida kwa mgongo wao nilipeleka faida kwenye ujenzi, kasi yangu itapungua sababu sipati faida kama awali. na fundi ujenzi mapato yake je?

hatuibi pesa tumetega mitego watu walete wenyewe kutoka sehemu mbalimbali iwe wamepata halali au kimagumashi, na uzoefu unaonyesha wenye matumizi ya kukushtua muuzaji hadi unashukuru mara mbili mbili na kukaribisha tena mara chache sana vipato halali.
SIJUI UMENIPATA?

Mkuu samahani kwa maneno makali, HUNA AKILI YA UCHUMI. Haiwezekani utegemee kukua kiuchumi kwa watu kuiibia serikali, yani badala ya serikali kukusanya kodi kwa kila mwananchi wake ili iweze kutoa huduma bora kwa wananchi wake wewe unashabikia wizi na ukwepaji kodi, Daah shame on you..............., nikiandika sana takufuru bure.
 
Mimi ni Ukawa damu na die hard pro Ngoyai. Ikija swala la kodi ninamuunga mkono magu. Akusanye tu bila woga. Hakuna kuleta masikhara kwenye ulipaji wa kodi
 
Mkuu samahani kwa maneno makali, HUNA AKILI YA UCHUMI. Haiwezekani utegemee kukua kiuchumi kwa watu kuiibia serikali, yani badala ya serikali kukusanya kodi kwa kila mwananchi wake ili iweze kutoa huduma bora kwa wananchi wake wewe unashabikia wizi na ukwepaji kodi, Daah shame on you..............., nikiandika sana takufuru bure.
maneno yako makali hayaniumizi hata kidogo, sababu yapo utupu hakuna cha kujifunza yeyote labda huo ndio uwezo wako ulipofikia umma ukajifunza. (kumbuka wanasoma wengi)
nikiacha hayo nirejee katika mambo nayopenda kuzozana na watu (kutetea hoja yangu); bwana masamaki waliyedai amejenga nyumba 70 dar iwe kwa pesa za wizi au halali, ametoa ajira kwa mafundi ujenzi wangapi? maisha yao mafundi ujenzi yameathiriwa kwa kiasi gani kwa kipato walichochuma?
bwana masamaki kama alienda bar, na shopping nyingine na huenda kuna maeneo alizoeleka kuwapelekea chenji kila wikiendi. sijasema uchumi wa nchi unategemea njia za mkato hiyo ni topic kubwa na shirikishi ukilinganisha na scenario ndogo za influx funds katika soko kutokana na wizi.

kiongozi unafikiri maisha ya wafanyabiashara pale dodoma kipindi cha bunge la JK posho bwerereee itakuwa sawa na kipindi cha JPM kuzuia posho kitako? wauza vinywaji, nyama choma, achilia mbali maisha ya wabunge wenyewe.
 
maneno yako makali hayaniumizi hata kidogo, sababu yapo utupu hakuna cha kujifunza yeyote labda huo ndio uwezo wako ulipofikia umma ukajifunza. (kumbuka wanasoma wengi)
nikiacha hayo nirejee katika mambo nayopenda kuzozana na watu (kutetea hoja yangu); bwana masamaki waliyedai amejenga nyumba 70 dar iwe kwa pesa za wizi au halali, ametoa ajira kwa mafundi ujenzi wangapi? maisha yao mafundi ujenzi yameathiriwa kwa kiasi gani kwa kipato walichochuma?
bwana masamaki kama alienda bar, na shopping nyingine na huenda kuna maeneo alizoeleka kuwapelekea chenji kila wikiendi. sijasema uchumi wa nchi unategemea njia za mkato hiyo ni topic kubwa na shirikishi ukilinganisha na scenario ndogo za influx funds katika soko kutokana na wizi.

kiongozi unafikiri maisha ya wafanyabiashara pale dodoma kipindi cha bunge la JK posho bwerereee itakuwa sawa na kipindi cha JPM kuzuia posho kitako? wauza vinywaji, nyama choma, achilia mbali maisha ya wabunge wenyewe.

labda kuna sentesi yangu unaweza nukuu kuwa nataka wizi uendelee ili uchumi wa nchi ukue?
 
Tunaimani na Jpm,kwakweli kaziyake ni ya uhakika na kauli zake ni thabiti, sio Kama yule yakhee alikua akiambiwa tunaibiwa anasema ni kelele za mlango eti hazimzuii kulala! as if alipewa uraisi ili akalale
Tumuunge mkono kwa kupenda kazi,nchi yetu na vitu vyetu
 
Back
Top Bottom