Mabilioni Uswiss: Mbunge yeyote anayedai anayafatilia, anaudanganya umma

Mshombsy

JF-Expert Member
Mar 15, 2013
372
180
Ni muda mrefu sasa watu wanapita huku na kule eti wanafuatilia mapesa uswiss. Kwa watu wasiojua mfumo wa kufuatilia uhalifu au mhalifu nje ya eneo la kimamlaka ya lilipotendeka kosa ataamini.

Mimi si wale wanaoamini mtu mmoja binafsi anaweza kufuatilia makosa yaliyoko chini ya jamhuri. Tukubali tu mtu anayepitapita akisema anafuatilia mabilioni hayo anatafuta umaarufu wa kisiasa pengine angetueleza ni njia zipi anazitumia?

Suala la kuficha pesa nje ni serikali tu inayoweza kulishughulikia na kama serikali haiwezi kwa kukosa nia ya kulishughulikia basi bunge linaweza kuisimamia serikali kuzifatilia.

Nahuzunika ninapoona mbunge mmoja mmoja akisema anazifatilia wakati hata bunge kama taasisi halina mamlaka ya kufanya hivyo. Bunge si muhimili huru kiasi kwamba maamuzi yake yanaweza kutekelezwa na serikali. Ni mapendekezo tu.

Katiba ya sasa imelinyima bunge meno kwa rais kulivunja likikataa bajeti ya serikali, likikataa muswada ambao rais anaona unafaa, na anaweza kulivunja hata likiua turufu ya rais.

Kwa maelezo hayo sioni mbunge mmoja akifuatilia mabilioni na ukizingatia bank katika nchi walikoweka hizo pesa zinafuata sheria za nchi husika. Kwa utaratibu tu ni serikali yetu tu inayoweza kuiomba serikali ya kule kuipa taarifa za watu walioficha pesa huko ili kuona kama walifuata sheria za nchi.

Marekani mwaka huu wamesaini mkataba na uswiss na hata wiki jana wamesaini na cayman islands na costa rica mkataba kupeana taarifa ikiwa mmarekani ataweka pesa nchi hizo kiasi kinachozidi dola elfu 50.

Hii yote ni kutokana na sheria iliyopitishwa mwaka 2010 na US congress inayoitwa Foreign Account Tax Compliance Act (FATCA). Mkataba huo utaisaidia hizo nchi kuzilazimisha bank kutimiza wajibu wake wa sheria za kimataifa kuzuia fedha haramu. Suala hili liko chini ya wizara zao za fedha na sheria.

Mimi nilitegemea mbunge yeyote anayejitapa kufuatilia hela akishawishi wabunge wenzake kupitishwa sheria zitakazoilazimisha serikali kuingia mikataba na nchi nyingine na vilevile kumshawishi rais asaini hizo sheria na kuhakikisha wote walioficha hizo fedha hasa viongozi wa umma wanachukuliwa hatua.

Uswiss kuna bilioni 330 hivi lakini juzi wahisani wameitaka serikali kuzirudisha dola mil 600 ( bilioni 700 za kibongo) zilizochukuliwa na watumishi wa serikali sasa sijui hizi mbona hashikiwi bango tena ziko kwenye eneo letu la kimamlaka.

UPOTOSHAJI:

Mtu mmoja anapopita kila sehemu akisema anafuatilia pesa anawaaminisha watu kwamba silaha zote zipo za kufuatilia hizo pesa na uhalifu mwingine wa kimataifa kumbe hakuna.

Hii inaleta mgongano na watu tunaotaka mageuzi ya utawala wa nchi, tunaotaka mihimili mitatu huru.

Bunge kama taasisi haina silaha za kuhakikisha mabilioni yanarudi na hii ingeingia akilini watuhumiwa wengine ni wabunge.

Sasa mbunge mmoja akisema anazifuatilia anatutoa kwenye mstari wanamageuzi. Tunataka umma uelewe kwamba bunge na wabunge hawana mamlaka yoyote juu ya hilo wanatoa tu mapendekezo. Tunataka umma uelewe hivyo na uwe tayari kwa mageuzi.

Yeyote anayesema anazifuatilia aje JF atoe njia anazotumia ukiachilia mbali serikali yenye mamlaka hayo
 
Kaka wacha tu, watu wanataka madaraka kwa kila njia na kujifanya bila wao hakuna linalowezekana kumbe wapi.
 
Ngoja kwanza nifukunyue ukweli wake ndipo nitarejea. Naskia juzi Nigeria walirejeshewa pesa zilizokuwa zimefichwa ughaibuni na Abacha. Nataka nijue ufuatiliaji wake ulikuaje.
 
Mkuu unayosema yaweza kuwa kweli kwani hata tulipoambiwa bungeni wanataja majina ya walio ficha hela hakuna aliye tajwa.
Sasa mkuu njia gani tufuate sisi kama raia ili tupate hatima ya hizo hela/mabillioni?.
 
Ni muda mrefu sasa watu wanapita huku na kule eti wanafuatilia mapesa uswiss. Kwa watu wasiojua mfumo wa kufuatilia uhalifu au mhalifu nje ya eneo la kimamlaka ya lilipotendeka kosa ataamini.Mimi si wale wanaoamini mtu mmoja binafsi anaweza kufuatilia makosa yaliyoko chini ya jamhuri. Tukubali tu mtu anayepitapita akisema anafuatilia mabilioni hayo anatafuta umaarufu wa kisiasa pengine angetueleza ni njia zipi anazitumia?Suala la kuficha pesa nje ni serikali tu inayoweza kulishughulikia na kama serikali haiwezi kwa kukosa nia ya kulishughulikia basi bunge linaweza kuisimamia serikali kuzifatilia.Nahuzunika ninapoona mbunge mmoja mmoja akisema anazifatilia wakati hata bunge kama taasisi halina mamlaka ya kufanya hivyo. Bunge si muhimili huru kiasi kwamba maamuzi yake yanaweza kutekelezwa na serikali. Ni mapendekezo tu.Katiba ya sasa imelinyima bunge meno kwa rais kulivunja likikataa bajeti ya serikali, likikataa muswada ambao rais anaona unafaa, na anaweza kulivunja hata likiua turufu ya rais.Kwa maelezo hayo sioni mbunge mmoja akifuatilia mabilioni na ukizingatia bank katika nchi walikoweka hizo pesa zinafuata sheria za nchi husika. Kwa utaratibu tu ni serikali yetu tu inayoweza kuiomba serikali ya kule kuipa taarifa za watu walioficha pesa huko ili kuona kama walifuata sheria za nchi.Marekani mwaka huu wamesaini mkataba na uswiss na hata wiki jana wamesaini na cayman islands na costa rica mkataba kupeana taarifa ikiwa mmarekani ataweka pesa nchi hizo kiasi kinachozidi dola elfu 50.Hii yote ni kutokana na sheria iliyopitishwa mwaka 2010 na US congress inayoitwa Foreign Account Tax Compliance Act (FATCA). Mkataba huo utaisaidia hizo nchi kuzilazimisha bank kutimiza wajibu wake wa sheria za kimataifa kuzuia fedha haramu. Suala hili liko chini ya wizara zao za fedha na sheria.Mimi nilitegemea mbunge yeyote anayejitapa kufuatilia hela akishawishi wabunge wenzake kupitishwa sheria zitakazoilazimisha serikali kuingia mikataba na nchi nyingine na vilevile kumshawishi rais asaini hizo sheria na kuhakikisha wote walioficha hizo fedha hasa viongozi wa umma wanachukuliwa hatua. Uswiss kuna bilioni 330 hivi lakini juzi wahisani wameitaka serikali kuzirudisha dola mil 600 ( bilioni 700 za kibongo) zilizochukuliwa na watumishi wa serikali sasa sijui hizi mbona hashikiwi bango tena ziko kwenye eneo letu la kimamlaka.UPOTOSHAJI:Mtu mmoja anapopita kila sehemu akisema anafuatilia pesa anawaaminisha watu kwamba silaha zote zipo za kufuatilia hizo pesa na uhalifu mwingine wa kimataifa kumbe hakuna.Hii inaleta mgongano na watu tunaotaka mageuzi ya utawala wa nchi, tunaotaka mihimili mitatu huru.Bunge kama taasisi haina silaha za kuhakikisha mabilioni yanarudi na hii ingeingia akilini watuhumiwa wengine ni wabunge. Sasa mbunge mmoja akisema anazifuatilia anatutoa kwenye mstari wanamageuzi. Tunataka umma uelewe kwamba bunge na wabunge hawana mamlaka yoyote juu ya hilo wanatoa tu mapendekezo. Tunataka umma uelewe hivyo na uwe tayari kwa mageuzi.Yeyote anayesema anazifuatilia aje JF atoa njia anazoyumia ukiachilia mbali serikali yenye mamlaka hayo
hata hujitambui ndio maana umeamua kubwabwaja tu bila mpango.nani kakwambia yeye biafsi anafuatilia pesa zirudi kama hutumiki kisiasa kupotosha kwa maslahi yenu binafsi.me najua umemlenga nani katika porojo zako hizo hapo juu.Zitto anadeal na mifumo inayowezesha hao wezi akiwepo mw/kiti wenu kupeleka hizo pesa huko ng'ambo.kuna viongozi wengi ni mafisadi sio ccm pekee hata huko cdm na wameweka mabilioni huko ng'ambo coz ya mifumo mibovu ya kudhibiti pesa sio Tanzania tu bali all over the world so jiangalie sio unatumika tu.kama serikali haitaki kuzifuatilia so what?tuziache?hata hizo billions unazosema unadhani hao wafadhili wamekurupuka tu bila kupata taarifa sahihi kuzihusu?huyo unayemuona hafai anakwenda nchi kwa nchi kuwaambia hao wafadhili jinsi pesa wanazotoa kama msaada na mkopo wanavyogawana mafisadi wachache na kuzilimbikiza ughaibuni....unajua kinachofuata baada ya hapo?ndio hizo shinikizo kutoka kwa wadau wa maendeleo ya Africa.wanazibana serikali za Africa kuweka sera za kusimamia pesa vizuri kwa manufaa ya wananchi.Anachofanya Zitto ni kupuliza kipenga cha mwizi mwizi then wanaibuka watu na kumkimbiza mwizi hadi wamkamate.Tatizo linakuja unapopiga kelele za mwizi ukiwa ndani ya kuni linalonufaika na huo wizi watakuharibia tu kwa namna yoyote ile ikiwemo kukugeuzia kibao kuwa wewe ndio mwizi mwenyewe.I remember siku ya mwaka mpya 2003-2004 enzi hizo nilikuwa nimepanga maeneo ya magomeni mapipa.nilienda kusherehekea kukaribisha mwaka mpya(mwaka pekee ambao sikwenda mkesha kanisani) kwenye ukumbi mmoja huko city center unamilikiwa na mdau flani wa chama cha siasa sasa wakati narudi zangu mida ya kuelekea saa kumi alifajiri nipo pombe vibaya nanesa tu dunia naiona yangu.nimeshushwa na gari karibu na mtaani nikawa napiga zangu step kuelekea home,nikapita kundi la kwanza la vijana wako bize kinoma na stori,nikapita kundi la pili sasa wakati nalifikia kundi la tatu nikahisi hatua za kunyata nyuma yangu.hata sikupata muda wa kugeuka mwanawane ilipita roba ya mbao shingoni.kama hujawahi fanyiwa hivyo usiombe,maana nilipojaribu kukukuruka tu si misumari ikawa inaingia shingoni?ikabidi nitulie tu(niwe mpole) wafanye yao.walisanya kila kitu wakanivua hadi raba zangu kaliii nilikuwa nazipenda sana.hapo lile kundi la tatu wanaangalia mchezo unavyoendelea.....sasa wajamaa walivyomaliza kuchukua vyao(hapo pombe ishakata) wakatawanyika ile nimekurupuka napiga kelele za mwizi mwizi wa kwanza kufika eneo la tukio ni lile kundi la tatu tena fasta,walichohakikisha ni kwamba naacha kupiga hizo kelele like tumekuja kukusaidia tueleze wamekuibia nini?akili ikanicheza nikajiuliza hawa jamaa walikuwa karibu hawajanisaidia sasa wakora wamekimbia ndio wanajitokeza kusaidia,nikajumlisha moja na mbili nikaconclude ni wale wale tu wanataka wajue wamepata ngapi.nikaropoka wamenipora zaidi ya laki mbili(enzi za mkapa laki mbili hela nzuri) simu na blah blah ili wakapambane vizuri mbele ya safari.baada ya kusikia hivyo unadhani kuna aliyebaki?tena cha ajabu walipita njia tofauti na walizoingilia hao walioniibia.nikajua wanafahamu watakutana wapi.but since walikuwa wengi na ilikuwa usiku sikujisumbua hata kuwafuata nikaondoka mdogo mdogo kuelekea home.wewe nakuchukulia upo kwenye kundi la tatu la hao wanaojitokeza kukupoteza usikonsetrate kwa wale waliokuibia ili kupoteza ushahidi wenye nia njema wasijitokeze kusaidia kukamata mwizi.USHINDWEEEEEEEEEE NA ULEGEEEEEEEEE!!!!!
 
http://www.swissinfo.ch/eng/archive/Swiss_and_Nigerians_put_Abacha_dispute_to_rest.html?cid=5126780

Soma kwanza hiyo hoja yako ntaijibu badae

hata hujitambui ndio maana umeamua kubwabwaja tu bila mpango.nani kakwambia yeye biafsi anafuatilia pesa zirudi kama hutumiki kisiasa kupotosha kwa maslahi yenu binafsi.me najua umemlenga nani katika porojo zako hizo hapo juu.Zitto anadeal na mifumo inayowezesha hao wezi akiwepo mw/kiti wenu kupeleka hizo pesa huko ng'ambo.kuna viongozi wengi ni mafisadi sio ccm pekee hata huko cdm na wameweka mabilioni huko ng'ambo coz ya mifumo mibovu ya kudhibiti pesa sio Tanzania tu bali all over the world so jiangalie sio unatumika tu.kama serikali haitaki kuzifuatilia so what?tuziache?hata hizo billions unazosema unadhani hao wafadhili wamekurupuka tu bila kupata taarifa sahihi kuzihusu?huyo unayemuona hafai anakwenda nchi kwa nchi kuwaambia hao wafadhili jinsi pesa wanazotoa kama msaada na mkopo wanavyogawana mafisadi wachache na kuzilimbikiza ughaibuni....unajua kinachofuata baada ya hapo?ndio hizo shinikizo kutoka kwa wadau wa maendeleo ya Africa.wanazibana serikali za Africa kuweka sera za kusimamia pesa vizuri kwa manufaa ya wananchi.Anachofanya Zitto ni kupuliza kipenga cha mwizi mwizi then wanaibuka watu na kumkimbiza mwizi hadi wamkamate.Tatizo linakuja unapopiga kelele za mwizi ukiwa ndani ya kuni linalonufaika na huo wizi watakuharibia tu kwa namna yoyote ile ikiwemo kukugeuzia kibao kuwa wewe ndio mwizi mwenyewe.I remember siku ya mwaka mpya 2003-2004 enzi hizo nilikuwa nimepanga maeneo ya magomeni mapipa.nilienda kusherehekea kukaribisha mwaka mpya(mwaka pekee ambao sikwenda mkesha kanisani) kwenye ukumbi mmoja huko city center unamilikiwa na mdau flani wa chama cha siasa sasa wakati narudi zangu mida ya kuelekea saa kumi alifajiri nipo pombe vibaya nanesa tu dunia naiona yangu.nimeshushwa na gari karibu na mtaani nikawa napiga zangu step kuelekea home,nikapita kundi la kwanza la vijana wako bize kinoma na stori,nikapita kundi la pili sasa wakati nalifikia kundi la tatu nikahisi hatua za kunyata nyuma yangu.hata sikupata muda wa kugeuka mwanawane ilipita roba ya mbao shingoni.kama hujawahi fanyiwa hivyo usiombe,maana nilipojaribu kukukuruka tu si misumari ikawa inaingia shingoni?ikabidi nitulie tu(niwe mpole) wafanye yao.walisanya kila kitu wakanivua hadi raba zangu kaliii nilikuwa nazipenda sana.hapo lile kundi la tatu wanaangalia mchezo unavyoendelea.....sasa wajamaa walivyomaliza kuchukua vyao(hapo pombe ishakata) wakatawanyika ile nimekurupuka napiga kelele za mwizi mwizi wa kwanza kufika eneo la tukio ni lile kundi la tatu tena fasta,walichohakikisha ni kwamba naacha kupiga hizo kelele like tumekuja kukusaidia tueleze wamekuibia nini?akili ikanicheza nikajiuliza hawa jamaa walikuwa karibu hawajanisaidia sasa wakora wamekimbia ndio wanajitokeza kusaidia,nikajumlisha moja na mbili nikaconclude ni wale wale tu wanataka wajue wamepata ngapi.nikaropoka wamenipora zaidi ya laki mbili(enzi za mkapa laki mbili hela nzuri) simu na blah blah ili wakapambane vizuri mbele ya safari.baada ya kusikia hivyo unadhani kuna aliyebaki?tena cha ajabu walipita njia tofauti na walizoingilia hao walioniibia.nikajua wanafahamu watakutana wapi.but since walikuwa wengi na ilikuwa usiku sikujisumbua hata kuwafuata nikaondoka mdogo mdogo kuelekea home.wewe nakuchukulia upo kwenye kundi la tatu la hao wanaojitokeza kukupoteza usikonsetrate kwa wale waliokuibia ili kupoteza ushahidi wenye nia njema wasijitokeze kusaidia kukamata mwizi.USHINDWEEEEEEEEEE NA ULEGEEEEEEEEE!!!!!
 
hata hujitambui ndio maana umeamua kubwabwaja tu bila mpango.nani kakwambia yeye biafsi anafuatilia pesa zirudi kama hutumiki kisiasa kupotosha kwa maslahi yenu binafsi.me najua umemlenga nani katika porojo zako hizo hapo juu.Zitto anadeal na mifumo inayowezesha hao wezi akiwepo mw/kiti wenu kupeleka hizo pesa huko ng'ambo.kuna viongozi wengi ni mafisadi sio ccm pekee hata huko cdm na wameweka mabilioni huko ng'ambo coz ya mifumo mibovu ya kudhibiti pesa sio Tanzania tu bali all over the world so jiangalie sio unatumika tu.kama serikali haitaki kuzifuatilia so what?tuziache?hata hizo billions unazosema unadhani hao wafadhili wamekurupuka tu bila kupata taarifa sahihi kuzihusu?huyo unayemuona hafai anakwenda nchi kwa nchi kuwaambia hao wafadhili jinsi pesa wanazotoa kama msaada na mkopo wanavyogawana mafisadi wachache na kuzilimbikiza ughaibuni....unajua kinachofuata baada ya hapo?ndio hizo shinikizo kutoka kwa wadau wa maendeleo ya Africa.wanazibana serikali za Africa kuweka sera za kusimamia pesa vizuri kwa manufaa ya wananchi.Anachofanya Zitto ni kupuliza kipenga cha mwizi mwizi then wanaibuka watu na kumkimbiza mwizi hadi wamkamate.Tatizo linakuja unapopiga kelele za mwizi ukiwa ndani ya kuni linalonufaika na huo wizi watakuharibia tu kwa namna yoyote ile ikiwemo kukugeuzia kibao kuwa wewe ndio mwizi mwenyewe.I remember siku ya mwaka mpya 2003-2004 enzi hizo nilikuwa nimepanga maeneo ya magomeni mapipa.nilienda kusherehekea kukaribisha mwaka mpya(mwaka pekee ambao sikwenda mkesha kanisani) kwenye ukumbi mmoja huko city center unamilikiwa na mdau flani wa chama cha siasa sasa wakati narudi zangu mida ya kuelekea saa kumi alifajiri nipo pombe vibaya nanesa tu dunia naiona yangu.nimeshushwa na gari karibu na mtaani nikawa napiga zangu step kuelekea home,nikapita kundi la kwanza la vijana wako bize kinoma na stori,nikapita kundi la pili sasa wakati nalifikia kundi la tatu nikahisi hatua za kunyata nyuma yangu.hata sikupata muda wa kugeuka mwanawane ilipita roba ya mbao shingoni.kama hujawahi fanyiwa hivyo usiombe,maana nilipojaribu kukukuruka tu si misumari ikawa inaingia shingoni?ikabidi nitulie tu(niwe mpole) wafanye yao.walisanya kila kitu wakanivua hadi raba zangu kaliii nilikuwa nazipenda sana.hapo lile kundi la tatu wanaangalia mchezo unavyoendelea.....sasa wajamaa walivyomaliza kuchukua vyao(hapo pombe ishakata) wakatawanyika ile nimekurupuka napiga kelele za mwizi mwizi wa kwanza kufika eneo la tukio ni lile kundi la tatu tena fasta,walichohakikisha ni kwamba naacha kupiga hizo kelele like tumekuja kukusaidia tueleze wamekuibia nini?akili ikanicheza nikajiuliza hawa jamaa walikuwa karibu hawajanisaidia sasa wakora wamekimbia ndio wanajitokeza kusaidia,nikajumlisha moja na mbili nikaconclude ni wale wale tu wanataka wajue wamepata ngapi.nikaropoka wamenipora zaidi ya laki mbili(enzi za mkapa laki mbili hela nzuri) simu na blah blah ili wakapambane vizuri mbele ya safari.baada ya kusikia hivyo unadhani kuna aliyebaki?tena cha ajabu walipita njia tofauti na walizoingilia hao walioniibia.nikajua wanafahamu watakutana wapi.but since walikuwa wengi na ilikuwa usiku sikujisumbua hata kuwafuata nikaondoka mdogo mdogo kuelekea home.wewe nakuchukulia upo kwenye kundi la tatu la hao wanaojitokeza kukupoteza usikonsetrate kwa wale waliokuibia ili kupoteza ushahidi wenye nia njema wasijitokeze kusaidia kukamata mwizi.USHINDWEEEEEEEEEE NA ULEGEEEEEEEEE!!!!!

Kaka IMLA 0. Sa nyingine unaweza ukawa umeandika point ila upangiliaji wako ukaonekana kituko. Hata hivyo hujaonyesha upo upande gani hapo zaidi ni pumba tu ulizoandika.
 
Kuna vitu nadhani ZZK kabwe alikua anapewa tips nzito na serikali/usalama wa taifa ili kumjenga kisiasa, ukweli wamefanikiwa sana katika hilo cause Watanzania kwanza hua hatuna kawaida ya kuhoji kitu/vitu, hili la watu kuficha pesa Uswisi or else where sio jambo la ajabu kwa nchi zinazoongoza kwa ufisadi, tulimkubali sana ZZK though baadhi ya watu walimtaka sana ataje majina, alikataa hadi leo kumbe na yeye hua kuna pesa inatumwa kwake kupita German.

Nakubaliana na mleta uzi, mtu 1 tu hawezi kua na access hiyo hata kidogo vinginevyo iwe kwa miujiza au kujua nani ana Tsh/Dolla/paund or Euro kiasi gani, kuzirudisha tunadanganyana, mtu 1 hawezi, hata Pinda akitaka still naamini hawezi!
 
hata hujitambui ndio maana umeamua kubwabwaja tu bila mpango.nani kakwambia yeye biafsi anafuatilia pesa zirudi kama hutumiki kisiasa kupotosha kwa maslahi yenu binafsi.me najua umemlenga nani katika porojo zako hizo hapo juu.Zitto anadeal na mifumo inayowezesha hao wezi akiwepo mw/kiti wenu kupeleka hizo pesa huko ng'ambo.kuna viongozi wengi ni mafisadi sio ccm pekee hata huko cdm na wameweka mabilioni huko ng'ambo coz ya mifumo mibovu ya kudhibiti pesa sio Tanzania tu bali all over the world so jiangalie sio unatumika tu.kama serikali haitaki kuzifuatilia so what?tuziache?hata hizo billions unazosema unadhani hao wafadhili wamekurupuka tu bila kupata taarifa sahihi kuzihusu?huyo unayemuona hafai anakwenda nchi kwa nchi kuwaambia hao wafadhili jinsi pesa wanazotoa kama msaada na mkopo wanavyogawana mafisadi wachache na kuzilimbikiza ughaibuni....unajua kinachofuata baada ya hapo?ndio hizo shinikizo kutoka kwa wadau wa maendeleo ya Africa.wanazibana serikali za Africa kuweka sera za kusimamia pesa vizuri kwa manufaa ya wananchi.Anachofanya Zitto ni kupuliza kipenga cha mwizi mwizi then wanaibuka watu na kumkimbiza mwizi hadi wamkamate.Tatizo linakuja unapopiga kelele za mwizi ukiwa ndani ya kuni linalonufaika na huo wizi watakuharibia tu kwa namna yoyote ile ikiwemo kukugeuzia kibao kuwa wewe ndio mwizi mwenyewe.I remember siku ya mwaka mpya 2003-2004 enzi hizo nilikuwa nimepanga maeneo ya magomeni mapipa.nilienda kusherehekea kukaribisha mwaka mpya(mwaka pekee ambao sikwenda mkesha kanisani) kwenye ukumbi mmoja huko city center unamilikiwa na mdau flani wa chama cha siasa sasa wakati narudi zangu mida ya kuelekea saa kumi alifajiri nipo pombe vibaya nanesa tu dunia naiona yangu.nimeshushwa na gari karibu na mtaani nikawa napiga zangu step kuelekea home,nikapita kundi la kwanza la vijana wako bize kinoma na stori,nikapita kundi la pili sasa wakati nalifikia kundi la tatu nikahisi hatua za kunyata nyuma yangu.hata sikupata muda wa kugeuka mwanawane ilipita roba ya mbao shingoni.kama hujawahi fanyiwa hivyo usiombe,maana nilipojaribu kukukuruka tu si misumari ikawa inaingia shingoni?ikabidi nitulie tu(niwe mpole) wafanye yao.walisanya kila kitu wakanivua hadi raba zangu kaliii nilikuwa nazipenda sana.hapo lile kundi la tatu wanaangalia mchezo unavyoendelea.....sasa wajamaa walivyomaliza kuchukua vyao(hapo pombe ishakata) wakatawanyika ile nimekurupuka napiga kelele za mwizi mwizi wa kwanza kufika eneo la tukio ni lile kundi la tatu tena fasta,walichohakikisha ni kwamba naacha kupiga hizo kelele like tumekuja kukusaidia tueleze wamekuibia nini?akili ikanicheza nikajiuliza hawa jamaa walikuwa karibu hawajanisaidia sasa wakora wamekimbia ndio wanajitokeza kusaidia,nikajumlisha moja na mbili nikaconclude ni wale wale tu wanataka wajue wamepata ngapi.nikaropoka wamenipora zaidi ya laki mbili(enzi za mkapa laki mbili hela nzuri) simu na blah blah ili wakapambane vizuri mbele ya safari.baada ya kusikia hivyo unadhani kuna aliyebaki?tena cha ajabu walipita njia tofauti na walizoingilia hao walioniibia.nikajua wanafahamu watakutana wapi.but since walikuwa wengi na ilikuwa usiku sikujisumbua hata kuwafuata nikaondoka mdogo mdogo kuelekea home.wewe nakuchukulia upo kwenye kundi la tatu la hao wanaojitokeza kukupoteza usikonsetrate kwa wale waliokuibia ili kupoteza ushahidi wenye nia njema wasijitokeze kusaidia kukamata mwizi.USHINDWEEEEEEEEEE NA ULEGEEEEEEEEE!!!!!

Chicco nimependa story yako.
 
Mkuu,
Inawezekana kabisa. Kama hujui basi fuatilia story ya mwandishi wa habari Kostas Vaxevanis wa Greece ambaye alipata hayo majina na kuchapisha kwenye magazeti yake. Wakajaribu kutaka kumfunga lakini wameshindwa.

Kuna njia nyingi za kupata hayo majina na pia kuna organisations nyingi zinazoshughulika na mambo ya fedha kama IMF wana majina hayo kutoka Uswisi.

Hata baadhi ya wabunge wa nchi za Europe wana majina hayo. Kwahiyo mtandao unazidi kuwa mkubwa na kama kuna lengo jema inawezekana kupata hayo majina.

Aliyekuwa waziri wa fedha ya Ufaransa, Christine Lagarde aliwahi kupewa majina hayo mwaka 2010. Si ajabu viongozi wengine pia wamepewa ila hawataki kuyatoa. Huenda hata hao mawaziri wetu wamepewa ila wanayaficha.

Kwahiyo ni kwamba INAWEZEKANA!
Ni muda mrefu sasa watu wanapita huku na kule eti wanafuatilia mapesa uswiss. Kwa watu wasiojua mfumo wa kufuatilia uhalifu au mhalifu nje ya eneo la kimamlaka ya lilipotendeka kosa ataamini.

Mimi si wale wanaoamini mtu mmoja binafsi anaweza kufuatilia makosa yaliyoko chini ya jamhuri. Tukubali tu mtu anayepitapita akisema anafuatilia mabilioni hayo anatafuta umaarufu wa kisiasa pengine angetueleza ni njia zipi anazitumia?

Suala la kuficha pesa nje ni serikali tu inayoweza kulishughulikia na kama serikali haiwezi kwa kukosa nia ya kulishughulikia basi bunge linaweza kuisimamia serikali kuzifatilia.

Nahuzunika ninapoona mbunge mmoja mmoja akisema anazifatilia wakati hata bunge kama taasisi halina mamlaka ya kufanya hivyo. Bunge si muhimili huru kiasi kwamba maamuzi yake yanaweza kutekelezwa na serikali. Ni mapendekezo tu.

Katiba ya sasa imelinyima bunge meno kwa rais kulivunja likikataa bajeti ya serikali, likikataa muswada ambao rais anaona unafaa, na anaweza kulivunja hata likiua turufu ya rais.

Kwa maelezo hayo sioni mbunge mmoja akifuatilia mabilioni na ukizingatia bank katika nchi walikoweka hizo pesa zinafuata sheria za nchi husika. Kwa utaratibu tu ni serikali yetu tu inayoweza kuiomba serikali ya kule kuipa taarifa za watu walioficha pesa huko ili kuona kama walifuata sheria za nchi.

Marekani mwaka huu wamesaini mkataba na uswiss na hata wiki jana wamesaini na cayman islands na costa rica mkataba kupeana taarifa ikiwa mmarekani ataweka pesa nchi hizo kiasi kinachozidi dola elfu 50.

Hii yote ni kutokana na sheria iliyopitishwa mwaka 2010 na US congress inayoitwa Foreign Account Tax Compliance Act (FATCA). Mkataba huo utaisaidia hizo nchi kuzilazimisha bank kutimiza wajibu wake wa sheria za kimataifa kuzuia fedha haramu. Suala hili liko chini ya wizara zao za fedha na sheria.

Mimi nilitegemea mbunge yeyote anayejitapa kufuatilia hela akishawishi wabunge wenzake kupitishwa sheria zitakazoilazimisha serikali kuingia mikataba na nchi nyingine na vilevile kumshawishi rais asaini hizo sheria na kuhakikisha wote walioficha hizo fedha hasa viongozi wa umma wanachukuliwa hatua.

Uswiss kuna bilioni 330 hivi lakini juzi wahisani wameitaka serikali kuzirudisha dola mil 600 ( bilioni 700 za kibongo) zilizochukuliwa na watumishi wa serikali sasa sijui hizi mbona hashikiwi bango tena ziko kwenye eneo letu la kimamlaka.

UPOTOSHAJI:

Mtu mmoja anapopita kila sehemu akisema anafuatilia pesa anawaaminisha watu kwamba silaha zote zipo za kufuatilia hizo pesa na uhalifu mwingine wa kimataifa kumbe hakuna.

Hii inaleta mgongano na watu tunaotaka mageuzi ya utawala wa nchi, tunaotaka mihimili mitatu huru.

Bunge kama taasisi haina silaha za kuhakikisha mabilioni yanarudi na hii ingeingia akilini watuhumiwa wengine ni wabunge.

Sasa mbunge mmoja akisema anazifuatilia anatutoa kwenye mstari wanamageuzi. Tunataka umma uelewe kwamba bunge na wabunge hawana mamlaka yoyote juu ya hilo wanatoa tu mapendekezo. Tunataka umma uelewe hivyo na uwe tayari kwa mageuzi.

Yeyote anayesema anazifuatilia aje JF atoe njia anazotumia ukiachilia mbali serikali yenye mamlaka hayo
 
Ngoja kwanza nifukunyue ukweli wake ndipo nitarejea. Naskia juzi Nigeria walirejeshewa pesa zilizokuwa zimefichwa ughaibuni na Abacha. Nataka nijue ufuatiliaji wake ulikuaje.
Kurudisha pesa za Abacha isingekuwa kazi ngumu sana coz' ilishafahamika duniani kote kwamba Abacha alifanya ufisadi mkubwa wakati wa uongozi wake. Katika sheria za nchi kama Uswis, kwanza you don't just go and say nataka taarifa za wananchi kutoka TZ....no one will give you those info. What need to be done ni kutaja specific person/people na kutoa ushahidi kwamba hao watu ni corrupt! You can't just say tunataka taarifa za Mr. X....kusema tu kwamba huyu jamaa tuna mashaka ni fisadi still not enough for Swiss banks kukupa ushirikiano!!!!
 
Mkuu usichanganye mambo? Kostas Vaxevanis majina alipewa toka kwa mtu aliyekuwa karibu na Christine Legarde si kweli kwamba aliyatoa Uswiss. Alichofanya ni kul-leak majina.

Hii ni sawa na watu walivyokuwa wanatoa taarifa za BoT kwa Dr Silaa na nyaraka nyingine za serikali.

Kostas V alipewa list ya majina na mtu aliyeona serikali ya Ufaransa imeyakalia. Kumbuka ufaransa waliyapata Uswiss kwa utaratibu wa kiserikali.

Sasa mimi hoja yangu ni mtu anayesema anazifatilia hizo hela wakati mamlaka ya kufanya hivyo anajua hana. Anaaminisha watu wakati bunge bado linahitaji meno ya kukata likasikika.

Kwa Kostas ni sawa na waliotoa jina la Mbowe kwamba alihojiwa na vyombo vya dola. Tumelijua hapa JF

Mkuu,
Inawezekana kabisa. Kama hujui basi fuatilia story ya mwandishi wa habari Kostas Vaxevanis wa Greece ambaye alipata hayo majina na kuchapisha kwenye magazeti yake. Wakajaribu kutaka kumfunga lakini wameshindwa.

Kuna njia nyingi za kupata hayo majina na pia kuna organisations nyingi zinazoshughulika na mambo ya fedha kama IMF wana majina hayo kutoka Uswisi.

Hata baadhi ya wabunge wa nchi za Europe wana majina hayo. Kwahiyo mtandao unazidi kuwa mkubwa na kama kuna lengo jema inawezekana kupata hayo majina.

Aliyekuwa waziri wa fedha ya Ufaransa, Christine Lagarde aliwahi kupewa majina hayo mwaka 2010. Si ajabu viongozi wengine pia wamepewa ila hawataki kuyatoa. Huenda hata hao mawaziri wetu wamepewa ila wanayaficha.

Kwahiyo ni kwamba INAWEZEKANA!
 
Huyu Muha ni mwehu kweli kweli mie huwa namshangaa sijui anatuona wote akili zetu ni sawa na waliompa kura 'uswekeni' kwao? apeleke undumi la kuwili wake kwao anauza chama chake kama anauza kauzu wa kule kibirizi!:crying:
 
Tangu alipoinuka Zitto nakujitangaza kuwa eti anafuatilia kitu kiitwacho mabilioni ya uswisi nilibaki mdomo wazi nikiwasikitikia wale wanaomwamini kwa ulaghai wake,

Kwakuwa ninaakili timamu na ninafahamu vema taratibu za ufuatiliaji wa pesa yoyote iliyo nje ya nchi hasa nikiangalia sheria za nchi yetu na sheria za uswisi, nilibaki kustaajabu tu uzandiki wa kijana huyu wa mwandiga,

Jamani watanzania msiwe wajinga na wapumbavu, kama jamuhuri na vyombo vya dola nchini havijaamua kufuatilia suala hili hata angekuja Yesu na Mtume Mohamed hawataweza kuingia uswisi na wakafanikiwa kurejesha pesa iliyoingia kwa njia haramu nchini humo.

Tuache kudanganyana kuwa Zitto anafatilia mabilioni uswisi. Kodi ya wananchi inatafunwa kwa viini macho kama hivyo.

Zitto na kundi lake wanatambua wazi kuwa hapa tz kuwa watanzania kama Yericko Nyerere wanaijua michezo yao yakipuuzi wanayowafanyia watanzania na mimi kwa moyo safi kabisa huwa sikubali kudanganywa na mtu mhuni kama Zitto,.
 
uuuuh! this purely a politics.Kwa nn hoja hii imekuja sasa na sio kabla zzk hajasimamishwa na cdm au nyie ndio wabaya wake wa kisiasa.kma kummaliza mmeshafanya hivo inatosha msiendelee mtamharibia na kaugali kalikobaki.
 
hata hujitambui ndio maana umeamua kubwabwaja tu bila mpango.nani kakwambia yeye biafsi anafuatilia pesa zirudi kama hutumiki kisiasa kupotosha kwa maslahi yenu binafsi.me najua umemlenga nani katika porojo zako hizo hapo juu.Zitto anadeal na mifumo inayowezesha hao wezi akiwepo mw/kiti wenu kupeleka hizo pesa huko ng'ambo.kuna viongozi wengi ni mafisadi sio ccm pekee hata huko cdm na wameweka mabilioni huko ng'ambo coz ya mifumo mibovu ya kudhibiti pesa sio Tanzania tu bali all over the world so jiangalie sio unatumika tu.kama serikali haitaki kuzifuatilia so what?tuziache?hata hizo billions unazosema unadhani hao wafadhili wamekurupuka tu bila kupata taarifa sahihi kuzihusu?huyo unayemuona hafai anakwenda nchi kwa nchi kuwaambia hao wafadhili jinsi pesa wanazotoa kama msaada na mkopo wanavyogawana mafisadi wachache na kuzilimbikiza ughaibuni....unajua kinachofuata baada ya hapo?ndio hizo shinikizo kutoka kwa wadau wa maendeleo ya Africa.wanazibana serikali za Africa kuweka sera za kusimamia pesa vizuri kwa manufaa ya wananchi.Anachofanya Zitto ni kupuliza kipenga cha mwizi mwizi then wanaibuka watu na kumkimbiza mwizi hadi wamkamate.Tatizo linakuja unapopiga kelele za mwizi ukiwa ndani ya kuni linalonufaika na huo wizi watakuharibia tu kwa namna yoyote ile ikiwemo kukugeuzia kibao kuwa wewe ndio mwizi mwenyewe.I remember siku ya mwaka mpya 2003-2004 enzi hizo nilikuwa nimepanga maeneo ya magomeni mapipa.nilienda kusherehekea kukaribisha mwaka mpya(mwaka pekee ambao sikwenda mkesha kanisani) kwenye ukumbi mmoja huko city center unamilikiwa na mdau flani wa chama cha siasa sasa wakati narudi zangu mida ya kuelekea saa kumi alifajiri nipo pombe vibaya nanesa tu dunia naiona yangu.nimeshushwa na gari karibu na mtaani nikawa napiga zangu step kuelekea home,nikapita kundi la kwanza la vijana wako bize kinoma na stori,nikapita kundi la pili sasa wakati nalifikia kundi la tatu nikahisi hatua za kunyata nyuma yangu.hata sikupata muda wa kugeuka mwanawane ilipita roba ya mbao shingoni.kama hujawahi fanyiwa hivyo usiombe,maana nilipojaribu kukukuruka tu si misumari ikawa inaingia shingoni?ikabidi nitulie tu(niwe mpole) wafanye yao.walisanya kila kitu wakanivua hadi raba zangu kaliii nilikuwa nazipenda sana.hapo lile kundi la tatu wanaangalia mchezo unavyoendelea.....sasa wajamaa walivyomaliza kuchukua vyao(hapo pombe ishakata) wakatawanyika ile nimekurupuka napiga kelele za mwizi mwizi wa kwanza kufika eneo la tukio ni lile kundi la tatu tena fasta,walichohakikisha ni kwamba naacha kupiga hizo kelele like tumekuja kukusaidia tueleze wamekuibia nini?akili ikanicheza nikajiuliza hawa jamaa walikuwa karibu hawajanisaidia sasa wakora wamekimbia ndio wanajitokeza kusaidia,nikajumlisha moja na mbili nikaconclude ni wale wale tu wanataka wajue wamepata ngapi.nikaropoka wamenipora zaidi ya laki mbili(enzi za mkapa laki mbili hela nzuri) simu na blah blah ili wakapambane vizuri mbele ya safari.baada ya kusikia hivyo unadhani kuna aliyebaki?tena cha ajabu walipita njia tofauti na walizoingilia hao walioniibia.nikajua wanafahamu watakutana wapi.but since walikuwa wengi na ilikuwa usiku sikujisumbua hata kuwafuata nikaondoka mdogo mdogo kuelekea home.wewe nakuchukulia upo kwenye kundi la tatu la hao wanaojitokeza kukupoteza usikonsetrate kwa wale waliokuibia ili kupoteza ushahidi wenye nia njema wasijitokeze kusaidia kukamata mwizi.USHINDWEEEEEEEEEE NA ULEGEEEEEEEEE!!!!!

Una elimu gani mkuu .Hata kuacha space na para pia hujui ? I am shocked haya ni mambo ya kwanza kabisa kufundishwa au ndiyo hizo simu ambazo mmepewa sasa mnashinda kuandika bila hata kujali namna ya kuandika ili msomeke ?
 
Exceptions

In order to sidestep this law, there must be a substantial criminal allegation before a governmental agency, especially a foreign one, can gain access to account information. Tax evasion, for example, is considered a misdemeanor in Switzerland rather than a crime.
According to the Swiss Bankers' Association Web site, however, there is also a duty for bankers to provide information under the following circumstances:

  • Civil proceedings (such as inheritance or divorce)
  • Debt recovery and bankruptcies
  • Criminal proceedings (money laundering, association with a criminal organization, theft, tax fraud, blackmail, etc.)
  • International mutual legal assistance proceedings (explained below)


International mutual assistance in criminal matters

Switzerland is required to assist the authorities of foreign states in criminal matters as a result of the 1983 federal law relating to International Mutual Assistance in Criminal Matters. Assets can be frozen and handed over to the foreign authorities concerned. Assistance in criminal matters follows the principles of dual criminality, specialty and proportionality.
Dual criminality means that Swiss courts don't lift the requirement of bank/client confidentiality unless the act being investigated by the court is punishable under the law in both Switzerland and the country requesting the information. The specialty rule means that information obtained through the arrangement can only be used for the criminal proceedings for which the assistance is provided. The proportionality rule means the measures taken in conducting the request for assistance must be proportionate to the crime.
International mutual assistance in administrative matters

Under these proceedings, the Swiss Federal Banking Commission (SFBC) may communicate information only to the supervisory authorities in foreign countries subject to three statutory conditions:

  • The information given can't be used for anything other than the direct supervision of the banks or financial intermediaries who are officially authorized and can't be passed on to tax authorities.
  • The requesting foreign authority must itself be bound by official or professional confidentiality and be the intended recipient of the information.
  • The requesting authority may not give information to other authorities or to other public supervisory bodies without the prior agreement of the SFBC or without the general authorization of an international treaty. Information can't be given to criminal authorities in foreign countries if there are no arrangements regarding mutual legal assistance in criminal matters between the states involved.
 
Mkuu,
Inawezekana kabisa. Kama hujui basi fuatilia story ya mwandishi wa habari Kostas Vaxevanis wa Greece ambaye alipata hayo majina na kuchapisha kwenye magazeti yake. Wakajaribu kutaka kumfunga lakini wameshindwa.

Kuna njia nyingi za kupata hayo majina na pia kuna organisations nyingi zinazoshughulika na mambo ya fedha kama IMF wana majina hayo kutoka Uswisi.

Hata baadhi ya wabunge wa nchi za Europe wana majina hayo. Kwahiyo mtandao unazidi kuwa mkubwa na kama kuna lengo jema inawezekana kupata hayo majina.

Aliyekuwa waziri wa fedha ya Ufaransa, Christine Lagarde aliwahi kupewa majina hayo mwaka 2010. Si ajabu viongozi wengine pia wamepewa ila hawataki kuyatoa. Huenda hata hao mawaziri wetu wamepewa ila wanayaficha.

Kwahiyo ni kwamba INAWEZEKANA!


Mtanzania ina maana haya majina hapa ni ya kilaghai?


ANGALIA HAPA

Copy kwa Mshombsy
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom