Wakuu,
Japo jambo hili limepowa kwa sasa lkn mtakumbuka Ngeleja alidai kurudisha mabilioni hayo TRA ambao nao waliyakana kwani hayawahusu. Je pesa hii imepelekwa wapi?
Watanzania bwana sasa hizi fedha jamaa alishatangaza wazi kwamba amezipata zisivyo halali. Mbona hawahoji zimeenda wapi na aliyeiba alitaka kuzirudisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.