Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,006
- 104,704
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shida ni nini mkuu nipe jibu...kuna kijana wa mengi yule yupo around 36 nae
sii ana mme mkuu wa kaya?malkia wa nyuki mdhamini wa simba
Wabongo wengine tumezidi kufuatilia maisha ya watu.
nilitaka kujua kama wewe ni bilionea au vipi
maana identity mojawapo ya bilionea bongo ni kutokuwa na ndoa
wenye pesa nyingi basiHivi kweli hao watu ni mabilionea au wabongo ushamba unatusumbua??
Billionaire is a person possesses at least one billion USD , EURO or POUND. (Kwa mujibu wa oxford dictionary na wikipaedia)
Hizo kwa uchache ni trilioni moja nanusu na ushee Tanzania Shillings(kwa conversion ya USD).
yap wanaume wanavopenda dezo watapiga kambi hapo
ina maana wanawake ni wafilisishaji sio
Vipi mabilionea wa kike huwa wanaolewa?