Mabilionea 18 Afrika orodha mpya ya Forbes, Afrika Mashariki yatoa mmoja pekee ( MO DEWJI)

Jibu ni rahisi sana.
Hao forbes huchukua taarifa rasmi za mali iliyothaminishwa ya mtu mmoja mmoja anazozimiliki binafsi. Wapo watu wengi sana ambao ni matajiri wakubwa lakini taarifa za utajiri wao wanaomiliki haziko rasmi (non verifiable), utajiri wao wameutauwanya katika makampuni tofauti tofauti kwa migongo ya majina ya watu wengine (un mentioned), umiliki wa mali zao uko kifamilia/kiukoo, baadhi ya mali zao wanazozimiliki hazijathaminishwa rasmi.

Bakhresa ni mkusanyiko wa makampuni yanayomilikiwa kifamilia, bodi ya wakurugenzi ni wanafamilia ambao ndio wamiliki. Umiliki wake hautajwi kwa jina la mtu mmoja fulani.

Otherwise, kwa juu juu tu, kampuni ya Bakhresa ni kubwa sana ukilinganisha na Mo enterprises.
Humjui Mo vizuri kumbe mkuu....niishie hapo....
Nikupe tu hints..ukisafir mikoan unaonaga yale mashamba ya mkonge na zile rail na zile nyumba mbovu mbovu za wafanya kazi..ni za kina Mo toka miaka ya 70...

Mo ana viwanda zaidi ya 60 Tanzania pekee yake bado hujaenda nje

Hivi products za Mo unazijua au huzijui
1.mo ni exporter namba1 wa korosho Africa nzima...hapo bado nafaka zingne

2.Mo ni importer namba moja wa sukar na mafuta ya kula Tanzania Miaka yote.

3.Mo ana vi products vidogo vidogo ambavyo huwez vihesab toka miaka ya 80 kama..viberit.maziwa..sabuni.biskuti.ndala..fabrics. Chemicals za viwandani na kama ndo Mo products drinks huko ndo usiseme...

4.baba yake Mo alikua na ugomvi na serikal maana alinunuaga ma godown karibia 60% ya serikal nchi nzima miaka ya 80...kias kwamba serikal ilianza kuyarudisha kinguvu....alikua ananunua anahifadhia mazao anayo export

So kuna uwezekano ni kwel Mo kampita bakheresa

Usidanganyike na jina la azam na vile viwanda vya unga mkuu..mo ana maviwanda meeng hayahesabik..hayo ma godown ndo kabisaaaaa

Bakhera ana pesa ila Mo kamzid kdogo
 
Jibu ni rahisi sana.
Hao forbes huchukua taarifa rasmi za mali iliyothaminishwa ya mtu mmoja mmoja anazozimiliki binafsi. Wapo watu wengi sana ambao ni matajiri wakubwa lakini taarifa za utajiri wao wanaomiliki haziko rasmi (non verifiable), utajiri wao wameutauwanya katika makampuni tofauti tofauti kwa migongo ya majina ya watu wengine (un mentioned), umiliki wa mali zao uko kifamilia/kiukoo, baadhi ya mali zao wanazozimiliki hazijathaminishwa rasmi.

Bakhresa ni mkusanyiko wa makampuni yanayomilikiwa kifamilia, bodi ya wakurugenzi ni wanafamilia ambao ndio wamiliki. Umiliki wake hautajwi kwa jina la mtu mmoja fulani.

Otherwise, kwa juu juu tu, kampuni ya Bakhresa ni kubwa sana ukilinganisha na Mo enterprises.

siyo kweli acha uongo
 
Humjui mo vzur kumbe mkuu....niishie hapo....
Nikupe tu hints..ukisafir mikoan unaonaga yale mashamba ya mkonge na zile rail na zile nyumba mbovu mbovu za wafanya kaz..ni za kina Mo toka miaka ya 70...

Mo ana viwanda zaid ya 60 tanzania pekee yake bado hujaenda nje

Hivi products za mo unazijua au huzijui
1.mo ni exporter namba1 wa korosho Africa nzima...hapo bado nafaka zingne

2.Mo ni importer namba moja wa sukar na mafuta ya kula Tanzania Miaka yote.

3.Mo ana vi products vidogo vidogo ambavyo huwez vihesab toka miaka ya 80 kama..viberit.maziwa..sabuni.biskuti.ndala..fabrics. Chemicals za viwandani na kama ndo Mo products drinks huko ndo usiseme...

4.baba yake Mo alikua na ugomvi na serikal maana alinunuaga ma godown karibia 60% ya serikal nchi nzima miaka ya 80...kias kwamba serikal ilianza kuyarudisha kinguvu....alikua ananunua anahifadhia mazao anayo export

So kuna uwezekano ni kwel Mo kampita bakheresa

Usidanganyike na jina la azam na vile viwanda vya unga mkuu..mo ana maviwanda meeng hayahesabik..hayo ma godown ndo kabisaaaaa

Bakhera ana pesa ila Mo kamzid kdogo
Unazungumzia yale mashamba anayotumia kuchukulia mikopo, au?! Hivi una habari unaposikia malalamiko ya watu kumiliki ardhi wasiyoitumia lakini badala yake wanaitumia kuchukulia mikopo nje, mlengwa mkuu ni Mo?! Imefikia hadi sasa serikali wanaanza kumnyang'anya mashamba kama walivyomnyang'anya zile ekari elfu kadhaa kule Lindi!! Kajifanya anataka kulima mkonge kumbe lengo lake alitumie kuchukulia mikopo!

Mo ujanja ujanja mwingi; hamna cha makampuni 60 wala nini!!
 
Mo ni Billionaire wa Forbes wakati Bakhresa ndie Bilionea anayetumbulika kwetu Watanzania!!!
Kwa hesabu gani sasa.inawezekana ikawa hivyo lakini isiwe kiubishiubishi itoke taarifa toka kwa mwenyewe au kutoka ktk vyombo huru kama hii ya Mo isiwe kwa kutumia dhana.
 
Kwa hesabu gani sasa.inawezekana ikawa hivyo lakini isiwe kiubishiubishi itoke taarifa toka kwa mwenyewe au kutoka ktk vyombo huru kama hii ya Mo isiwe kwa kutumia dhana.
Man, Forbes Afrika hawaaminiki! Lilipo liafrika popote pale lazima pawe na ujanja ujanja!!! Mwaka jana hapa ilitolewa ripoti na Forbes Africa ikiwa imeipamba kweli kweli serikali! Ripoti ilikuwa ya kurasa kadhaa lakini summary yake ndo ikaletwa hapa!! Watu walipochunguza, wakagundua kumbe ilikuwa ni "paid content"!! Anyway, suala la featured/paid content sio haramu, linakubalika, lakini inaonesha wazi kwamba vilevile, jamaa unaweza kabisa "kuwanunua" kama ni mtu unayependa publicity!
 
Humjui mo vzur kumbe mkuu....niishie hapo....
Nikupe tu hints..ukisafir mikoan unaonaga yale mashamba ya mkonge na zile rail na zile nyumba mbovu mbovu za wafanya kaz..ni za kina Mo toka miaka ya 70...

Mo ana viwanda zaid ya 60 tanzania pekee yake bado hujaenda nje

Hivi products za mo unazijua au huzijui
1.mo ni exporter namba1 wa korosho Africa nzima...hapo bado nafaka zingne

2.Mo ni importer namba moja wa sukar na mafuta ya kula Tanzania Miaka yote.

3.Mo ana vi products vidogo vidogo ambavyo huwez vihesab toka miaka ya 80 kama..viberit.maziwa..sabuni.biskuti.ndala..fabrics. Chemicals za viwandani na kama ndo Mo products drinks huko ndo usiseme...

4.baba yake Mo alikua na ugomvi na serikal maana alinunuaga ma godown karibia 60% ya serikal nchi nzima miaka ya 80...kias kwamba serikal ilianza kuyarudisha kinguvu....alikua ananunua anahifadhia mazao anayo export

So kuna uwezekano ni kwel Mo kampita bakheresa

Usidanganyike na jina la azam na vile viwanda vya unga mkuu..mo ana maviwanda meeng hayahesabik..hayo ma godown ndo kabisaaaaa

Bakhera ana pesa ila Mo kamzid kdogo

Namba 2, importer wa mafuta ya kupikia ni Murzzah oil

Azam Media
Azam marine
Azam juice
Azam ice cream
Azam flour
Azam upholstery
Azam sport team
Sarafu
Azam water (uhai)
Azam pay (masaki)
Azam nazi
 
Hivi kwani Mo ndo anamiliki Mohamed Enterprises, mbona naskia baba yake bado ndo anamiliki kampuni. Sasa Mo anakuwaje tajiri kuliko mzee wake au ndo mambo ya urithi?
 
Jibu ni rahisi sana.
Hao forbes huchukua taarifa rasmi za mali iliyothaminishwa ya mtu mmoja mmoja anazozimiliki binafsi. Wapo watu wengi sana ambao ni matajiri wakubwa lakini taarifa za utajiri wao wanaomiliki haziko rasmi (non verifiable), utajiri wao wameutauwanya katika makampuni tofauti tofauti kwa migongo ya majina ya watu wengine (un mentioned), umiliki wa mali zao uko kifamilia/kiukoo, baadhi ya mali zao wanazozimiliki hazijathaminishwa rasmi.

Bakhresa ni mkusanyiko wa makampuni yanayomilikiwa kifamilia, bodi ya wakurugenzi ni wanafamilia ambao ndio wamiliki. Umiliki wake hautajwi kwa jina la mtu mmoja fulani.

Otherwise, kwa juu juu tu, kampuni ya Bakhresa ni kubwa sana ukilinganisha na Mo enterprises.
shutup! The MO-Dweji gots eight C.E.O among africa countries, while The Said Salim Bahkresa owns his conglomerates largely in Tanzania.
 
Nimesikia eti Mo dewji ndiye kachaguliwa kama mshauri wa Cyril Ramaphosa ktk maswala ya investment hapa Africa ...

Miaka ya nyuma alikuwepo bilionea mmoja wa Tz aliweka mzigo kutaka kuinunua club ya Liverpool yule jamaa alihojiwa na bbc mara moja tu hakusikika tena
 
Back
Top Bottom