Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
- Thread starter
- #21
Lakini Rais Kikwete hakuishia hapo. Amewaagiza Mwanasheria Mkuu, IGP na Takukuru, kuchunguza na kuwachukulia hatua za kisheria wezi wote wa pesa za BoT; ikiwa ni pamoja na kutaifisha mali zao.
Mhh,
Nimependa sana hilo neno kuchunguza.
Naona Kikwete all he can do ni kuchunguza.
List ya wauza madawa inachunguzwa,
List ya wapokea rushwa inachuguzwa,
Ufisadi wa serikali bado unachunguzwa,
Uchunguzi wa kuchunguza uchunguzi uliofanywa na kampuni ya kigeni ya kuchunguza uchunguzi wa BOT sasa wamepewa POLISI wachunguze?!!!!??? Good way to go