MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,341
- 11,227
Kama ni mpitaji au mkazi wa maeneo ya Mabibo jeshini, hivi karibuni shughuli za kibiashara zimekuwa zikichipuka kila siku, pembezoni mwa barabara upande wa kambi ya jeshi. Nini kimetokea au kubadilika siku za hivi karibuni? Yale maeneo yanauzwa au kukodishwa au ni biashara za jeshi?
Mwenye kufahamu naomba anisaidie
Mwenye kufahamu naomba anisaidie