Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh yani kila mtu analazimishwa?! Teh sasa si wangekuwa wanatoroka kama kweli hawataki?
Unarudi wapi kwamfano? Marufuku kurudi, tulia upambane na ndoa yako.Mmh yani kila mtu analazimishwa?! Teh sasa si wangekuwa wanatoroka kama kweli hawataki?
Sema harusi zilikua nzuri hizo, turubai linafungwa mtaa huu hadi mtaa ule kisha ni sinia za wali maharage zinasambazwa....ni kula kama hakuna kula tena, ukirudi home ni kufinywa tu.
Sio kurudi bi harusi, sie tulio nyapia masinia ya wali maharage....Unarudi wapi kwamfano? Marufuku kurudi, tulia upambane na ndoa yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa! Halafu unarudi na punje ya ubwabwa mdomoni au imenatia kwenye nguo. Ubwabwa unaaibishagaSio kurudi bi harusi, sie tulio nyapia masinia ya wali maharage....
Unakuta bi Harusi alishavulia wanaume kama 30 hivi, kulazwa magetoni kila siku.Hivi wale wa zamani walikua wanalilia nini nao? Au unaa tu....
Siku hizi hawalii, bi harusi anakata uno hadi ba mkwe anainamisha kichwa chini.
Bi harusi anagonga tano kanisani
Cc Lulu na jizo
Mwanamke kama huyo ukijenga nyumba halafu ukafikia finishing, we muachie celing board ajenge kupitia mawazo yake maana ye kaisha ona celing board nyingiUnakuta bi Harusi alishavulia wanaume kama 30 hivi, kulazwa magetoni kila siku.
Hakuna kitu special wala uoga anaoihisi hapo zaidi ya kunormalize alichokuwa anakifanya mafichoni
Hahahaha, ni wazo zuri piaMwanamke kama huyo ukijenga nyumba halafu ukafikia finishing, we muachie celing board ajenge kupitia mawazo yake maana ye kaisha ona celing board nyingi
Kivipi yaani fafanua au weka pichaMwanamke kama huyo ukijenga nyumba halafu ukafikia finishing, we muachie celing board ajenge kupitia mawazo yake maana ye kaisha ona celing board nyingi
furaha ikizidi sindio mtu analiaEti eeeeh,.
Sawaaafuraha ikizidi sindio mtu analia
Mmh yani kila mtu analazimishwa?! Teh sasa si wangekuwa wanatoroka kama kweli hawataki?
Sema harusi zilikua nzuri hizo, turubai linafungwa mtaa huu hadi mtaa ule kisha ni sinia za wali maharage zinasambazwa....ni kula kama hakuna kula tena, ukirudi home ni kufinywa tu.
😂😂😂 Mambo yalikua bam bam...Enzi hizo hakuna make up, bi harusi 'anavundikwa' ndani kwa wiki kadhaa awe mweupe.
Kisha anatafuna kungu ili jicho liwe legevu kama madame wa Magogoni.
Mambo yalikua bam bam...
Hivi kungu mi mbona nikiitumia inadunda au mwili unasoma alcohol 100%
AahhhEnzi hizo hakuna make up, bi harusi 'anavundikwa' ndani kwa wiki kadhaa awe mweupe.
Kisha anatafuna kungu ili jicho liwe legevu kama madame wa Magogoni.
Kwanini usilale na chupi?Kulala kila siku bila chupi jamanii sio mchezo nyie,.