Mabere ni mwandishi nguli na Kanda ya Ziwa hutoa habari zake kupitia kituo chenu cha ITV

Koryo2

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
2,056
2,515
Imechukua muda mrefu sijasikia sauti ya Mabere Mkaubi wa ITV. Kwa Mikoa ya Kanda ya Ziwa Mabere Makubi amekuwa akiripoti habari kupitia kituo chenu habari ya uhakika na kwa kweli Mabere Makubi anapendwa sana na wananchi wa Kanda ya Ziwa kutokana na umahiri wake. Inawezekana kuwa kuna tofauti kati ya Mabere na mtu fulani lakini mnatakiwa mfuatilie chanzo cha tofauti na kulitolea uamuzi badala ya mtu kukaa kijiweni. Mabere ni mwandishi nguli na Kanda ya Ziwa tunampenda kutoa habari zake upitia kituo chenu cha ITV.
 
Imechukua muda mrefu sijasikia sauti ya Mabere Mkaubi wa ITV. Kwa Mikoa ya Kanda ya Ziwa Mabere Makubi amekuwa akiripoti habari kupitia kituo chenu habari ya uhakika na kwa kweli Mabere Makubi anapendwa sana na wananchi wa Kanda ya Ziwa kutokana na umahiri wake. Inawezekana kuwa kuna tofauti kati ya Mabere na mtu fulani lakini mnatakiwa mfuatilie chanzo cha tofauti na kulitolea uamuzi badala ya mtu kukaa kijiweni. Mabere ni mwandishi nguli na Kanda ya Ziwa tunampenda kutoa habari zake upitia kituo chenu cha ITV.
Wewe mleta mada mbona hufunguki tukuelewe na kama ni wewe mwenyewe Makubi tuelezee kiini cha tatizo lako!
 
Wewe mleta mada mbona hufunguki tukuelewe na kama ni wewe mwenyewe Makubi tuelezee kiini cha tatizo lako!
Anaficha ficha,inasemekana Mwandishi huyu Ana wekewa zengwe na RC was hapo Mwanza kisa Mwandishi Ali report lile tukio la Machinga kufukuzwa na kunyanyaswa
 
Inasemekana alitimuliwa baada ya kutaka mlungula kwa mshikaji ili asitoe habari zake,mabosi wake walivyogundua wakampiga kalamu
 
Inawezekana hiyo ishu ya rushwa waandishi wengi wa bongo wanapenda uwaoe rushwa ili kuficha ukweli au kupindisha au habari waiandike kwa upendeleo.
 
Nimesoma mada yako sijaona mantiki labda mnisaidie ila nimeona neno kituo chenu cha ITV cha akina nani na nyie akina nani kwa ujumla wewe ni mkabila na mkanda. Hizo rhetoric zenu hazita shinda.
 
Back
Top Bottom