Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Sitoshangaa kabisa akishinda nafasi ya Uspika,
Msijedhani ameshinda kwa nguvu ya Upinzani kumuunga mkono...
asilani, (inasemekana ni kada maarufu sana wa naniliu...) hivyo basi wenzake ati ni lazima wamuunge mkono vilivyo kwa wengi wao kutopiga kura eep:
Vema tusubiri majibu...
Msijedhani ameshinda kwa nguvu ya Upinzani kumuunga mkono...
asilani, (inasemekana ni kada maarufu sana wa naniliu...) hivyo basi wenzake ati ni lazima wamuunge mkono vilivyo kwa wengi wao kutopiga kura eep:
Vema tusubiri majibu...