JUST FOR CURIOSITY hivi kama CDM ikichukua nchi 2015, Je itaendelea na huyu AG au inaweza kumchangua mtu mwingine? Jamani sheria zinasemaje?
Maana nasikia kwa mfano CJ akishachaguliwa basi imetoka hadi mda wake wa kustaafu ufike. Je na kwa AG ni hivyo pia? Because I can't imagine serikali makini ya CDM kufanya kazi na foolish Werema.
Maana nasikia kwa mfano CJ akishachaguliwa basi imetoka hadi mda wake wa kustaafu ufike. Je na kwa AG ni hivyo pia? Because I can't imagine serikali makini ya CDM kufanya kazi na foolish Werema.