Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nice song. Isn't it?
Siku hizi hatuna misamiati ya mabepari, mabeberu, ukoloni mamboleo, makabaila, makupe na mabwanyenye kwani tuliwazika Zanzibar mwaka 1992. Siku hizi tuna wajasiriamali, wawekezaji, wadau wa kimaendeleo, wafadhili na utandawazi. Kilichobaki sasa ni kuyafutilia mbali hayo maneno ya kizamani kwenye kamusi zetu za kiswahili.