Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,904
Wewe lipa acha maswali yasiyo na msingi zote ni pesaKuna kodi na tozo unajua tofauti yake
Wewe lipa acha maswali yasiyo na msingi zote ni pesaKuna kodi na tozo unajua tofauti yake
Kodi tunalipa kulingana na sheria za nchi wewe p.u.uunga. Hizo tozo zipo kwa sheria ipi? CCM imeshindwa kuendesha nchi, inachokifanya sasa ni WIZI, UTAPELI na ULAGHAI tu.Lipa kodi,shetani ni wewe mbinafsi.
Tatizo ni huu mfumo wa HOVYO wa matumizi ya serikali, pesa za matumizi binafsi 90% wakati pesa za maendeleo 10%. kwanini wasianzishe UPORAJI wa pesa za wananchi kwa kutumia tozo?We kweli hamnazo,bajeti ya serikali ni til.36, sasa til.1 ni kitu gani kwenye matumizi ya serikali?
Jana nilikuta huo ujumbe, baada ya mda naenda cheki kwa account washapiga chaoNMB Tanzania hii taarifa mbona kama hamkuniambia before? Huu undezi huu, kuweni serious na hela zetu.
View attachment 1977405
Noma sanaJana nilikuta huo ujumbe, baada ya mda naenda cheki kwa account washapiga chao
Unadhani hizo tozo zinaenda kutumia mbinguni? Zinatumika kwa wananchi.Mnalialia.umeme kukatika unadhani serikali itoe mavi kufanya ukarabati miundombinu umeme uje?
Maji ni tatizo kila sehemu serikali itoe kamasi ndio zitaleta maji? Lipa kodi upate huduma
Hawa MABEBERU WEUSI wameishiwa mbinu za kuongoza nchi, hii tozo ni UTAPELI tu.Aliemwambia Mama hizi 200 za kukata watu kihuni zinaweza kuendesha nchi kampoteza sanaa yani Huu ni wizii... Bora alikubali Viatu vya Magu haviwezi maana huu ni Upuuzi na kuumiza maskini..!!
Basi yatakuwa ni mapenzi ya Kikurya kupiga mke ndio kupenda
View attachment 1978323
Inasikitisha sana kulipa kodi zote pamoja na hizi tozo za KITAPELI, kisha asilimia kubwa ya pesa hizo zinaishia KUFANYIA ANASA TU. Kwenye maendeleo zinapelekwa pesa KIDUCHU TU. Serikali ya hovyo hii.Kodi zina taratibu zake, mimi ni mlipa kodi haswa, inavyoonekana sasa ni double taxation ndio tunalalamika,pia tunaweza tukawa tunalipa kodi nyingi lakini kama zinatumiwa hovyo hakuna maendeleo yoyote tutakayopata. Na mwisho mnaojifanya wazalendo wa kulipa kodi mnakuwa sio walipaji kodi ndio maana hamujui sisi tunaolipa kodi tunavyoumia kwa kukatwa hovyo hovyo wakati hukukwingine tayari tumeshalipa hizo kodi.
Hiyo ni kodi au tozo? Unaelewa maana ya kodi?Ukiona ume deposit wamekata ujue ni madeni ila ku deposit hawakati bali ku withdrawal,, kwenye miamala ya simu ukideposit hawakati ila ku draw au kutuma na kwenye mabenki ni hivyo hivyo.
Kopa kwenye mtandao au benk afu deposit uone moto.
Lipa kodi kwa maendeleo ya nchi.
Aisee..!!Wewe lipa acha maswali yasiyo na msingi zote ni pesa
Sasa huu ni ughanisi. Yan elfu 5 unakatwa elfu tatu na hapo bado hujaitoa hiyo hela tigo pesa. Unabkiwa buku 4 hela inaliwa nusu kwa nusuEquity hiyo nimefanya kuhamisha 5000 kuja tigo pesa nimekatwa tozo 3000..View attachment 1978750
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app