KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Hakuna kitu kinaninyong'onyesha Moyo kama haya mabeki Tanzania na sijui ninani mkemeaji mkuu wa haya mabenki kama ni BOT Basi kazi yao hao waliopewa dhamana kuyasimamia hawajui, labda kingine naweza kusema mabenki ni wababe!
Narudi katika mada unakuta Benki una Teller 8 lakini inafanya kazi 1-2 zingine 7 hazitumiki na msururu wa wateja ni kilomita moja na meneja kakaa bila yakufanya maboresho!
Mfano NMB, CRDB, NBC Ndiyo benki zenye wateja wengi kwakweli hawa watu siju hata wanachokiwaza hata kama wahudumu hakuna kwanini wasiajiri?
na hii foleni ya wateja nikila siku sasa usiombe mwisho wa wiki na mwezi! kweli inasikitisha sana kama BOT Ndiyo wasimamizi fanyeni kwakila linawezekana kukemea huu upuuzi.
Narudi katika mada unakuta Benki una Teller 8 lakini inafanya kazi 1-2 zingine 7 hazitumiki na msururu wa wateja ni kilomita moja na meneja kakaa bila yakufanya maboresho!
Mfano NMB, CRDB, NBC Ndiyo benki zenye wateja wengi kwakweli hawa watu siju hata wanachokiwaza hata kama wahudumu hakuna kwanini wasiajiri?
na hii foleni ya wateja nikila siku sasa usiombe mwisho wa wiki na mwezi! kweli inasikitisha sana kama BOT Ndiyo wasimamizi fanyeni kwakila linawezekana kukemea huu upuuzi.