mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,661
- 18,035
Tumwombe Mungu vita hii ikome kwa maana mfaidika wa vita hii ni mmoja tu naye anaitwa shetani. Biblia imeweka wazi lengo la shetani ni KUCHINJA. KUUA na KUHARIBU na ndicho kinachofanyika kwenye hii vita. Na shetani anawatumia wote wanaohusika na vita hii ili kutekeleza agenda yake ambao ni Urusi, Ukraine, Uingereza, Marekani na NATO kwa ujumla. Wote hao ni watumishi wa shetani kwenye vita hii wala hawawezi kuchekana!!