Mabati yote ni sawa; viwanda vyetu Tanzania Tunachofanya ni kukunja migongo tu!

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,279
21,396
Nimefanya utafiti wa ubora wa mabati Tanzania, nimegundua ubora ni uleule kwenye viwanda vyote Tanzania, wanachotofautiana ni ukunjaji wa migongo tu; lakini roller za mabati wote wanaagiza kutoka nje ya nchi, wanapofikisha bongo wanakunja design mbali mbali ilihali kumbe mabati ni yaleyale na chuma ni kilekile!
Kinachofanywa na viwanda vyetu ni kugonga mihuri ya nembo zao full stop!...hizo zingine ni mbwembwe za matangazo tu lakini mabati yote sawa.
*********************************
 
Nimefanya utafiti wa ubora wa mabati Tanzania, nimegundua ubora ni uleule kwenye viwanda vyote Tanzania, wanachotofautiana ni ukunjaji wa migongo tu; lakini roller za mabati wote wanaagiza kutoka nje ya nchi, wanapofikisha bongo wanakunja design mbali mbali laki kumbe mabati ni yaleyale na chuma ni kilekile!
Kinachofanywa na viwanda vyetu ni kugonga mihuri ya nembo zao full stop!


Nilinunua mabati ya Simba mwaka 2010, mwaka huohuo jirani yangu aliexeka nyumba yake kwa mabati ya kampuni yenye jina la mnyama mbabe kama huyohuyo isipokuwa hana uwezo wa kung'ata, matokeo yake sasa hivi ameanza kubadili bati mojamoja, na mabati anayotoa hayafai hata kutengenezea uzio wa bustani ya mboga
 
Nilinunua mabati ya Simba mwaka 2010, mwaka huohuo jirani yangu aliexeka nyumba yake kwa mabati ya kampuni yenye jina la mnyama mbabe kama huyohuyo isipokuwa hana uwezo wa kung'ata, matokeo yake sasa hivi ameanza kubadili bati mojamoja, na mabati anayotoa hayafai hata kutengenezea uzio wa bustani ya mboga
Yep
 
Hivi gauge 30 na 28 yatofautianaje kwa bei

Sent from my TV
Gauge ni unene Wa Bati, jinsi namba inavyokuwa ndogo ndiyo unene Wa Bati unakuwa mkubwa,
Mfano,
Geji 30 ni nyembamba
Geji 28 ni nene
Geji 26 ni nene said
Geji 24 ni nene zaidi ( hutumika kwenye baadhi ya makaravati n.k)
So; namba ndogo bei ni kubwa Kwa mita moja,mfano g28 yaweza 15000/= g30 ikawa 13200/=
 
Gauge ni unene Wa Bati, jinsi namba inavyokuwa ndogo ndiyo unene Wa Bati unakuwa mkubwa,
Mfano,
Geji 30 ni nyembamba
Geji 28 ni nene
Geji 26 ni nene said
Geji 24 ni nene zaidi ( hutumika kwenye baadhi ya makaravati n.k)
So; namba ndogo bei ni kubwa Kwa mita moja,mfano g28 yaweza 15000/= g30 ikawa 13200/=


Ila kuna wizi mkubwa unafanyika sasa, jaribu kufanya utafiti, geji 30 ya miaka ya 1990 na geji 30 ya sasa utaona kwamba geji 30 ya sasa haina tofauti na geji 32 ya miaka ya 1990 na geji 28 ya maika hiyo inafanana sana wepesi na geji 30 ya sasa
 
Mabati yote ni sawa. Tofauti upo Kwenye coating ya rangi na base metal yaani aluzinc. The higher the coating the better the quality. Sunshare wana coating kubwa kidogo ikifuatiwa na ALAF. Wote wanaleta coil na kuja kufanya profiling (mikunjo)
 
Mabati yote ni sawa. Tofauti upo Kwenye coating ya rangi na base metal yaani aluzinc. The higher the coating the better the quality. Sunshare wana coating kubwa kidogo ikifuatiwa na ALAF. Wote wanaleta coil na kuja kufanya profiling (mikunjo)
Kwanini bei ya sunshare ni ndogo kuriko Alaf?
 
Usiwapotoshe watu mleta MADA...

Fanya utafiti kwanza, kisha uje kurekebisha UZI wako.....!!

Huwezi kusema Tanzania, Ubora wa Mafuta yetu (Diesel/Petrol) huko sawa, kisa eti wote tunaagiza nje Bidhaa hii...!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri Mwijage Alikosea Sana Kutupatia Definition Ya Kiwanda
Yeye Anasema Cherehani Nne Haiwezekani
Atuombe Radhi :eek:
 
Wewe jamaa mtoa mada acha uongo kuna mabati ambayo ukipaua ikipigwa jua miezi 3 inapauka mpaka unajilaumu bora ungetumia yale ya kawaida ya kujengea mabanda ya kuku
 
Mtoa Mada endelea Na research yako, hapo unatupotosha,
kuagizwa Kwa marola kutoka nje sio sababu ya mabati kuwa Na ubora Sawa maana wote hawaagizi kutoka sehem moja, binafsi Nisha shuhidia mabati yakishika kutu within one year Na wengineo mabati yakidumu miaka Na miaka bila kushika kutu japo yote Ni same gej
 
Back
Top Bottom