Mabasi yakosa abiria Ubungo kipindi hiki cha sikukuu

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,302
23,020
Mabasi ya kusafirisha abiria mikoani yamelalamika kukosa abiria hasa katika kipindi hiki cha sikukuu tofauti na miaka mingine ambapo Mabasi huwa hayatoshi.

Nini chanzo cha haya yotee?
Imeripotiwa ITV
 
Tunakoelekea hata utamaduni wa kuzika nyumbani utapungua sana, watu wataanza kuzikwa hukohuko aliko.
Siku hizi kwenda kuzika labda afe mama au baba au mtoto.
Tofauti na zamani hata jamaa au ndugu wa mbali sana watu walipanda magari kuzikaa.

Yaani serikali inabana na sisi tuna banaa
 
Uchumi wetu uko vizuri pesa kibao mtaani pumzi yako tu. Watu wamechoshwa na kusafiri hivyo Xmas na Mwaka mpya mwaka huu watalia MUJINI! Eh! Mungu inusuru nchi yetu na majanga makubwa yanayoikabili.

Mabasi ya kusafirisha abiria mikoani yamelalamika kukosa abiria hasa katika kipindi hiki cha sikukuu tofauti na miaka mingine ambapo Mabasi huwa hayatoshi.

Nini chanzo cha haya yotee?
Imeripotiwa ITV
 
Mabasi ya kwenda wapi? Hii taarifa si ya kweli. Nimekosa basi la kwenda songea(super feo) leo, nikalazimika kukata basi jingine nisilolitaka, na lenyewe safari ni kesho, tena zilibaki siti 2 tu.
 
Mabasi ya kwenda wapi? Hii taarifa si ya kweli. Nimekosa basi la kwenda songea(super feo) leo, nikalazimika kukata basi jingine nisilolitaka, na lenyewe safari ni kesho, tena zilibaki siti 2 tu.
Wamelinganisha na miaka mingine iliyopita hasa kwa mabasi yanayokwenda Kaskazini ambao kwenda "kuhiji" nyumbani kwao ni kama utamaduni. Miezi kama hii miaka ya nyuma nilikosa gari kabisa na hata "IT" niliyopata ilikuwa kwa mbinde kwani ilinibidi kusafiri hadi Morogoro ili nipate Gari la kuja Iringa!
 
Mkuu tangu lini aliye binadamu akataka kuwaona binadamu wenzie waishi kama binadamu na hivyo kuyafurahia maisha?

JPM si amesema anataka watu waishi kama mashetani?
Anafurahi kuona watu wanateseka.
 
Siku hizi kwenda kuzika labda afe mama au baba au mtoto.
Tofauti na zamani hata jamaa au ndugu wa mbali sana watu walipanda magari kuzikaa.

Yaani serikali inabana na sisi tuna banaa

Sasa ngoja january uone hilo litakazozikuta shule za private. Huko ndio janga kabisa maana wengi hawatopeleka watoto wao na wale watakaofanikiwa kupeleka ada italipwa kwa kuungaunga ile mbaya.
 
Mabasi ya kwenda wapi? Hii taarifa si ya kweli. Nimekosa basi la kwenda songea(super feo) leo, nikalazimika kukata basi jingine nisilolitaka, na lenyewe safari ni kesho, tena zilibaki siti 2 tu.
lipi ilo usilo litaka jet za new force?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom