unless u dont even knw what the term promotion mean... shubaramit......
Dar - Mwanza ni Nyehunge pekee yaongoza kwa usafi na ustaarabu, mengine yote yapo kihunikihuni tu hata kauli ni hovyo
Ninachojua ugomvi mkubwa kati ya abiria na wahudumu wa mabasi ni kwenye suala la kuchimba dawa.
Unakuta kila baada ya muda anaomba kuchimba dawa badala ya kujizuia kula kula hovyo na kunywa maji kila baada ya muda.
Pia kuna abiria wanapanda gari ambazo zina AC sasa kila gari linaposimamishwa na askari anataka afungue kioo watu wamuone.
Mwingine kila kituo ananunua vyakula, mara kaona nyama choma ( mishkaki ) kanunua, mahindi ya kuchoma, vitumbua / Maandazi twende. Mwisho wa siku unaleta usumbufu kwa watu wa gari na abiria wengine.... ukiambiwa unasema wahudumu wanakujibu hovyo.
... ile hoteli huwa inanishangaza sana! Just less than 200m kuotoka hoteli ilipo unapita miongoni mwa mito mikubwa zaidi Tanzania; the Great Ruaha so maji sio shida. In that regard, ile hoteli ilitakiwa iwe like Heaven kwa bustani na mazingira bora kabisa lakini ndio hivyo, utadhani ni jangwa!Hotel kama Ismila Aljazeera yaani dah aibu aisee Vanyalukolo twugwa kwiya manyi!!
Matajiri hebu amkeni jamani dah
- Dawa yake ni kuwa na View attachment 1627378
- Back Scandinavia