Mallia
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 437
- 1,532
Niko kwenye mwendokasi hapa kona na faya yani mabasi ya polisi yanakimbizana , wanaovertake hadi mwendokasi
Mwendokasi umesimama kutii sheria ya taa nyekundu wenyewe wanaovertake wanaendelea na safari
Kuna haja ya kuwapa mafunzo sana hawa madereva wa polisi sijui wanaajiriwa kwa vigezo gani wakati hawafuati sheria za barabarani, mkija kuyamwaga magari yenu chini kwa uzembe wenu mnasingizia magari ya raia kumbe ni spidi zenu
Mwendokasi umesimama kutii sheria ya taa nyekundu wenyewe wanaovertake wanaendelea na safari
Kuna haja ya kuwapa mafunzo sana hawa madereva wa polisi sijui wanaajiriwa kwa vigezo gani wakati hawafuati sheria za barabarani, mkija kuyamwaga magari yenu chini kwa uzembe wenu mnasingizia magari ya raia kumbe ni spidi zenu