Umeelewa lakini nilichoandika?Hiyo mwanza musoma ni route fupi bora ungesema mwanza tarime
Umeelewa lakini nilichoandika?Hiyo mwanza musoma ni route fupi bora ungesema mwanza tarime
Hakuna basi linalokimbia hapo, zote speed ni moja tu, wanachofanya ni kuondoa zile simama simama njiani na vituo vya ovyo ili kuokoa muda.
Suala la kufungiwa leseni kawaida tu."ving'amuzi" havizuii kukimbia gari bali hutoa taarifa mwendo ukizidi limit View attachment 1474454
Mkuu upo ndani ya Golden Deer.