Mabasi ya Mbeya yanakimbia sana

Mkuu. Kuna ile Happy Nation. nyuma iliandikwa Sauti ya Manka. Dereva alikua anavaa kapero. Ile ilikua komeshaaa..... Na Happy nation nyingine iliandikwa Bussines Class ndo zilikua Bus zangu nikiagzwa Mbeya Kwa wakat huooo. Company etu ipo huko kikaz. Saa kumi upo Mkoaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom