Unaweza hisi ni movie
mabasi kadhaa ya mbeya na singida na mengine yaendayo dodoma yamejaa watu na yanaendelea kujaa watu
kuelekea arusha muda huu kama uko ubungo njoo huku uone wanavyokimbilia kupanda
Lazima kila mmoja akajioneshe alichovuna kwa mwaka mmoja. Si unajuwa wachagga wanavuna vipi?