Prince Hope
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 2,155
- 441
Kama dar express ni mbovu............................VIPI KUHUSU MBAZI EXPRESS NA HAI COACH?
Panda Chakitohv wadau kw sahivi kama nataka kuelekea dar kutokea arusha bus gani nipande ili nifike mapema
Tena aanze na yule binti yake mwenye nyodo. Halafu aache ajira za kindugu maana wafanyakazi wake wana viburi sana.Preta nalishugulikia hili,Ila nimeongea namkurugenzi amesikitika sana kwamatatizo ambayo wateja wake wanayapata ktk huduma yake bila yeye kujua!Anaomba mnapopata shida mumjulishe mara moja ili aweze kuchukua hatua!Mtapata namba yk soon.Kwasasa fuata maelekezo niliyatoa hapo juu namana yakumpata.
Inaskitisha sana kuona hujuma za waziwazi zinazofanywa na mafisadi kuhujumu juhudi binafsi za wazawa katika shughuli nzima za kimaendeleo kama kinachoendelea kwenye mabasi ya Dar Express.
Angalizo kwa hujuma anyofanyiwa mmiliki wa hayo magari ni kuwa watu wanaelewa kuwa ni mchezo mbaya anafanyiwa huyo bwana na anaefanya hayo yatajulikana tu kwani kaskazini watu huku wanachukia majungu kuliko kitu chochote kile,hayo magari yenu mmnayoleta mtapanda wenyewe na familia zenu.
Kwa bwana yesu kila goti litapigwa......!
Mpinga shetani nimekusoma.Nikweli mambo hayoko sawa kwajinsi inavyoonekana kwanje.Ila niswala lamuda tu.Tena aanze na yule binti yake mwenye nyodo. Halafu aache ajira za kindugu maana wafanyakazi wake wana viburi sana.
Siyo mbaya pia akinunua mabasi mapya