Jambo ambalo si tishio kwa sasa, kwsbb kabla ya saa sita usiku magari yanapita kwenye mapori kibao na hakuna uvamizi.Yeye concern yake ni kuwa mgari yanazuiwa kutembea usiku kwa sababu ya ujambazi!
Jambo ambalo si tishio kwa sasa, kwsbb kabla ya saa sita usiku magari yanapita kwenye mapori kibao na hakuna uvamizi.Yeye concern yake ni kuwa mgari yanazuiwa kutembea usiku kwa sababu ya ujambazi!
Hujashauri lolote Mkuu. Nini kifanyike???!!!!
Speed 60 tunaenda makaburi ya KINONDONI??AM UNUNIOO??Pendekezo la waziri wa mambo ya ndani mh Kangi Lugola la kuyawezesha mabasi yasafiri usiku, nimelipokea/ limepokelewa kwa nderemo na vifijio kote nchini.
Tatizo ni jinsi ya kuyadhibiti ndio shida.
Kwa mtazamo wangu, kampuni za fleet management kama Car track wapewe tenda ya kudhibiti mabasi hayo kuhakikisha inapofika saa moja usiku, hayatembei zaidi ya spidi sitini.
Kwa muundo wa mabasi yalivyo, hata likipata ajali likiwa kwenye spidi sitini na kushuka chini, am sure 'no one will die' at that speed.
Speed 60 inaweza kuonekana kuwa ni ndogo lakni iwapo basi linakwenda speed 60 kwa masaa 12 lina uwezo wa kusafiri umbali wa 720km, ambao huo ni umbali wa kutoka Dar na karibu kufika Mbeya.
Hizi fleet management companies kwa kushirikiana na kitengo cha trafik kina uwezo wa kumonitor speed ya mabasi isizidi sitini kwa usiku na wenye mabasi wenyewe ndio watakaogharamikia kulipia kwenye fleet management companies.
Tukifanya hivi, haya mambo sijui ya abiria kulala njiani tutakuwa tumeyaondoa kabisa.
Hongera mh Kangi Lugola kwa ubunifu huu....
Mneri wa wapi umepiga mkuu?Hizo Dawa Kuponya Majeraha Inategemeana Ngozi Imeungua Kwa Kiasi Gani. Matabaka Ya Ngozi Ni Mengi. Tabaka La Juu Ndilo Hupona Haraka. Matabaka Ya Ndani Yakiungua Ni Shughuli Pevu Kupona Na Kurudi Kama Mwanzo Bila Makovu. Kuhusu Kupika Ni Lazima Upike Nyumbani Tu, Bajeti Ni Kubwa Ya Kwenda Kula Hotelini Kutwa Mara Tatu Kwa Siku. Mwanandoa Akighadhibika Na Kuamua Kutoa Adhabu Hashindwi Kutumia Nyingine Iliyo Karibu Kutimiza Kusudi Lake Ovu
Hapo ndipo patamu, je polisi ndio wanaogopa majambazi au majambazi waogope police.Je suala la utekaji magari wameliangalia?kwani kwa mikoa kama kagera na kigoma itakuwa ni ngumu sana kwani kuna mapoli makubwa mno!!mchana tu walikuwa wanateka sembuse usiku itakuwaje??poli unatembea masaa ma tatu hadi manne!!
Umeongea maneno ya maana lkn sorry sa hivi mapato tunayapeleka kwny Tz ya viwanda.kweli kututawala watanzania ni rahisi mno,mabasi kusafiri usiku sio sababu ya ajali,yafuatayo yafanyike ili kuzuia hizi ajali;tutambue ajali its someone faulty sio kazi ya Mungu;magari yote kabla ya kusajiliwa ni lazima yawe na road worthy certificate(kazi ya kuendesha hizi roadworthy centers tuwape third part);leseni zote za madereva zitolewe na traffic dept.(madereva wa mabasi lazima wawe na PDPs ON TOP OF THEIR LICENCE);Barabara zetu tuzijenge upya ili zikidhi maongezeko ya matumizi,sehemu hatarishi tujenge extra line kwa ajili ya magari yenye uzito mkubwa na ziwekwe stop signs zitakazowalazimisha madereva kusimama kwa 2secs hii itasaidia kudhibiti mwendo wa gari,na tujenge Arrester ili gari linapopata matatizo ya break failure driver analielekeza upande ule;police visibility ni muhimu mno wasijifiche vichakani wawe wanaonekana;vituo vya upimaji uzito (mizani)viondolewe huu ni uchafu badala yake new technology itumike(gari linapoingia kwenye zone ya upimaji linapigwa camera na uzito wake unapimwa na kurusha taarifa kwenye control room),tujenge speed cameras za kudumu na tuondoe matuta yote kwenye freeways(huu ni uchafu mwingine),na sehemu kama Mikumi National park tujenge cameras zinazorekodi speed na time ya gari linaposafiri from point Ato B.TUKIFANYA HAYA itatusaidia mno na inapotokea ajali ni lazima uchunguzi wa kina ufanyike kujua why ile ajali ilitokea na hii itatusaidia to remedy the situation ili isitokee ajali tena kwenye eneo lilelile(sio maombi kama yaliyofanyika pale mbeya ule ni usanii tu).
Kwenye hili polisi ndio wanawaogopa majambazi daa miaka ile ya wakimbizi polisi wengi waliuawa mkoani kagera!kwani walikuwa wakisimamisha bus wanaanza na askari,na ni mchana sembuse usiku sijui!!!labda kama kagera na kigoma itaondolewa kwenye utaratibu huoHapo ndipo patamu, je polisi ndio wanaogopa majambazi au majambazi waogope police.
Daah hio sikua najua nilikuaga naona kama ni story story kumbe ni kweli police walikua wanauwawa?Very sadKwenye hili polisi ndio wanawaogopa majambazi daa miaka ile ya wakimbizi polisi wengi waliuawa mkoani kagera!kwani walikuwa wakisimamisha bus wanaanza na askari,na ni mchana sembuse usiku sijui!!!labda kama kagera na kigoma itaondolewa kwenye utaratibu huo
Pendekezo la waziri wa mambo ya ndani mh Kangi Lugola la kuyawezesha mabasi yasafiri usiku, nimelipokea/ limepokelewa kwa nderemo na vifijio kote nchini.
Tatizo ni jinsi ya kuyadhibiti ndio shida.
Kwa mtazamo wangu, kampuni za fleet management kama Car track wapewe tenda ya kudhibiti mabasi hayo kuhakikisha inapofika saa moja usiku, hayatembei zaidi ya spidi sitini.
Kwa muundo wa mabasi yalivyo, hata likipata ajali likiwa kwenye spidi sitini na kushuka chini, am sure 'no one will die' at that speed.
Speed 60 inaweza kuonekana kuwa ni ndogo lakni iwapo basi linakwenda speed 60 kwa masaa 12 lina uwezo wa kusafiri umbali wa 720km, ambao huo ni umbali wa kutoka Dar na karibu kufika Mbeya.
Hizi fleet management companies kwa kushirikiana na kitengo cha trafik kina uwezo wa kumonitor speed ya mabasi isizidi sitini kwa usiku na wenye mabasi wenyewe ndio watakaogharamikia kulipia kwenye fleet management companies.
Tukifanya hivi, haya mambo sijui ya abiria kulala njiani tutakuwa tumeyaondoa kabisa.
Hongera mh Kangi Lugola kwa ubunifu huu....
Hio ni ndoto labuda utoe Wazo La kuongeza dimulaina nyingine utaonekana wa maana kwa jogoo.kweli kututawala watanzania ni rahisi mno,mabasi kusafiri usiku sio sababu ya ajali,yafuatayo yafanyike ili kuzuia hizi ajali;tutambue ajali its someone faulty sio kazi ya Mungu;magari yote kabla ya kusajiliwa ni lazima yawe na road worthy certificate(kazi ya kuendesha hizi roadworthy centers tuwape third part);leseni zote za madereva zitolewe na traffic dept.(madereva wa mabasi lazima wawe na PDPs ON TOP OF THEIR LICENCE);Barabara zetu tuzijenge upya ili zikidhi maongezeko ya matumizi,sehemu hatarishi tujenge extra line kwa ajili ya magari yenye uzito mkubwa na ziwekwe stop signs zitakazowalazimisha madereva kusimama kwa 2secs hii itasaidia kudhibiti mwendo wa gari,na tujenge Arrester ili gari linapopata matatizo ya break failure driver analielekeza upande ule;police visibility ni muhimu mno wasijifiche vichakani wawe wanaonekana;vituo vya upimaji uzito (mizani)viondolewe huu ni uchafu badala yake new technology itumike(gari linapoingia kwenye zone ya upimaji linapigwa camera na uzito wake unapimwa na kurusha taarifa kwenye control room),tujenge speed cameras za kudumu na tuondoe matuta yote kwenye freeways(huu ni uchafu mwingine),na sehemu kama Mikumi National park tujenge cameras zinazorekodi speed na time ya gari linaposafiri from point Ato B.TUKIFANYA HAYA itatusaidia mno na inapotokea ajali ni lazima uchunguzi wa kina ufanyike kujua why ile ajali ilitokea na hii itatusaidia to remedy the situation ili isitokee ajali tena kwenye eneo lilelile(sio maombi kama yaliyofanyika pale mbeya ule ni usanii tu).
Mzee inaijua spidi 60 unataka watu wasafiri kwa masaa 20?..juzi nimetoka dar nimekuja songea asee nimefika saa 6 badala ya saa 3 tena hiyo ni kwa spidi 80Pendekezo la waziri wa mambo ya ndani mh Kangi Lugola la kuyawezesha mabasi yasafiri usiku, nimelipokea/ limepokelewa kwa nderemo na vifijio kote nchini.
Tatizo ni jinsi ya kuyadhibiti ndio shida.
Kwa mtazamo wangu, kampuni za fleet management kama Car track wapewe tenda ya kudhibiti mabasi hayo kuhakikisha inapofika saa moja usiku, hayatembei zaidi ya spidi sitini.
Kwa muundo wa mabasi yalivyo, hata likipata ajali likiwa kwenye spidi sitini na kushuka chini, am sure 'no one will die' at that speed.
Speed 60 inaweza kuonekana kuwa ni ndogo lakni iwapo basi linakwenda speed 60 kwa masaa 12 lina uwezo wa kusafiri umbali wa 720km, ambao huo ni umbali wa kutoka Dar na karibu kufika Mbeya.
Hizi fleet management companies kwa kushirikiana na kitengo cha trafik kina uwezo wa kumonitor speed ya mabasi isizidi sitini kwa usiku na wenye mabasi wenyewe ndio watakaogharamikia kulipia kwenye fleet management companies.
Tukifanya hivi, haya mambo sijui ya abiria kulala njiani tutakuwa tumeyaondoa kabisa.
Hongera mh Kangi Lugola kwa ubunifu huu....
Hii 60 ni kwa usiku tu. Sio mchana.Mzee inaijua spidi 60 unataka watu wasafiri kwa masaa 20?..juzi nimetoka dar nimekuja songea asee nimefika saa 6 badala ya saa 3 tena hiyo ni kwa spidi 80
Asee naunga mkono hoja spidi iwe 100Acha hizo ndugu! Spidi ya 60 tuko karne ya 17? Km 600 uende kwa spidi ya kmh 60 ! Itakuwa mwendo kono2 huo. Twendeni na wakati. Iwe japo km100 kwa saa