Mabasi kutembea usiku sawa, ila yasimamiwe yasizidi spidi 60!

Tatizo sio speed mkuu,tatizo ni mind set ya madereva na kufuata sheria za barabarani ikiwemo kuendesha gari lisilo na tatizo hata moja kwa manufaa ya abiria wanaosafiri ,ie good service ,new tyres,ect
 
Kenya baada ya kufa Sana Kwa ajali za Usiku wameamua kusafiri mchana! Sisi tunaanza safari za Usiku! Duh, ushawahi kupanda Gari ikifika Usiku inavyokimbizwa? Imagine unakutana na Gari limeharibika halina alama yotote. Trust me, tujiandae kuzika saaaana!! Tutazika wengi
 
Naona umemix code boss.

Unatumia app?
Gusa post yako itabadilika rangi na kua ya bluu juu kulia kuna vidoti vitatu, bonyeza hiko itakuletea option hii 'Moderate' ikubali kisha bonyeza 'Delete' utaulizwa kama ni 'Soft delete' au 'Hard delete' Kubali 'Soft delete' na post yako itakua imefutwa.

Unatumia browser?
Nenda kwenye post uliyoituma chini kutakua na maneno 'Edit' 'Delete' 'Reply' chagua 'Delete' utaulizwa sababu, utaisema kua umemix code na post yako itafutika.
Nashangaa Kuikuta Post Hii Huku Kwenye Hii Habari Isiyohusiana
 
Hizo Dawa Kuponya Majeraha Inategemeana Ngozi Imeungua Kwa Kiasi Gani. Matabaka Ya Ngozi Ni Mengi. Tabaka La Juu Ndilo Hupona Haraka. Matabaka Ya Ndani Yakiungua Ni Shughuli Pevu Kupona Na Kurudi Kama Mwanzo Bila Makovu. Kuhusu Kupika Ni Lazima Upike Nyumbani Tu, Bajeti Ni Kubwa Ya Kwenda Kula Hotelini Kutwa Mara Tatu Kwa Siku. Mwanandoa Akighadhibika Na Kuamua Kutoa Adhabu Hashindwi Kutumia Nyingine Iliyo Karibu Kutimiza Kusudi Lake Ovu
 
Hizo Dawa Kuponya Majeraha Inategemeana Ngozi Imeungua Kwa Kiasi Gani. Matabaka Ya Ngozi Ni Mengi. Tabaka La Juu Ndilo Hupona Haraka. Matabaka Ya Ndani Yakiungua Ni Shughuli Pevu Kupona Na Kurudi Kama Mwanzo Bila Makovu. Kuhusu Kupika Ni Lazima Upike Nyumbani Tu, Bajeti Ni Kubwa Ya Kwenda Kula Hotelini Kutwa Mara Tatu Kwa Siku. Mwanandoa Akighadhibika Na Kuamua Kutoa Adhabu Hashindwi Kutumia Nyingine Iliyo Karibu Kutimiza Kusudi Lake Ovu
 
sioni logic ya Bus kusafiri usiku, kuna wakati pale Kisutu tulikuwa tunaondoka saa 12 kwenda mikoani na ajali zilikuwa nyingi tu ndio tukabadili Bus zikaanza kuondoka asubuhi na bado tumeendelea kuwa na matatizo, nafikiri tujaribu kutumia akili zaidi kidogo
Well said, Hakuna sababu kabisa! Kenya wameshapata majanga makubwa Sana, magari yanaharibika Usiku Halafu hawaweki alama zozote.

Siku moja Usiku eneo jirani na Wami natokea Tanga kwenda Dar, ghafla nakutana uso Kwa uso na matawi ya miti, then Gari! Nimefunga break nusura nigongwe na Gari iliyokua inanifuatia nyuma.

The same night, nimefika Makurunge - Bagamoyo ghafla Punda wakawa wanavuka barabara, kumbuka Punda hawana Reflectors! Nikajitahidi kufunga break nikamgonga mmoja!

Leo basi lisafiri Usiku Mzima, Dereva mmoja kisha njiani "vicheche" kibao. Narudia Tutazika saanaaaa Kwa kupenda Political attention
 
Barabara zenyewe nyembamba kama mkojo wa mtoto, malori kibao Usiku wanawasha full light, mashimo hayana idadi. Hakika Wanataka kutumaliza!
 
Well said, Hakuna sababu kabisa! Kenya wameshapata majanga makubwa Sana, magari yanaharibika Usiku Halafu hawaweki alama zozote.

Siku moja Usiku eneo jirani na Wami natokea Tanga kwenda Dar, ghafla nakutana uso Kwa uso na matawi ya miti, then Gari! Nimefunga break nusura nigongwe na Gari iliyokua inanifuatia nyuma.

The same night, nimefika Makurunge - Bagamoyo ghafla Punda wakawa wanavuka barabara, kumbuka Punda hawana Reflectors! Nikajitahidi kufunga break nikamgonga mmoja!

Leo basi lisafiri Usiku Mzima, Dereva mmoja kisha njiani "vicheche" kibao. Narudia Tutazika saanaaaa Kwa kupenda Political attention

Sasa na wewe na ulena lena wako, kwa nini unapenda kukimbia usiku?
 
Sasa na wewe na ulena lena wako, kwa nini unapenda kukimbia usiku?
Hahaha imenibidi nifurahi tu, maana nimeanza kusoma jina lako tu nikafurahi. OK, hata ukitembea speed ishirini, huwezi kuzuia Punda wasiingie barabarani, pia, suala la alama za barabarani yaani Gari limeharibika unaweka matawi ya miti having uhusiano na ulena wangu. Haya
 
Aisee cha kwanza nahisi ili kuzuia ajali ni kuweka taa za barabarani, sababu hii imekua changamoto sana manake taa sehem nyingi hamna hasa usiku na kumbuka mnapishana inatupa shida sana sisi madereva mwenzako akiwa na full light Ni Kama anakublind hivi hii inaweza sababisha ajali, zngne magari yalioharibika nayo kuyaona ni shida unakuta Mtu hajawasha indicator wala triangle hajaweka so ni changamoto sana
Mkuu hatuwezi gharama ya kuweka taa highway hadi kuunganisha mikoa yote.

Nchi tajiri zimeshindwa tutataweza sisi?
Suluhisho ni watumiaji wa barabara hasa madereva kufuata sheria za barabarani.
Ikishindikana basi zisiruhusiwe gari za abiria kutembea usiku kama ilivyokuwa mwanzo kabla ya tangazo la Kangi.
 
Tatizo sio speed mkuu,tatizo ni mind set ya madereva na kufuata sheria za barabarani ikiwemo kuendesha gari lisilo na tatizo hata moja kwa manufaa ya abiria wanaosafiri ,ie good service ,new tyres,ect

Mishahara ya madereva wa malori na mabasi iangaliwe upya watu wanaendesha na wazo makubwa barabarani
 
Wasimimie kwa makini mikataba ya madereva na wahakikishe pia mabasi yana madereva wawili wawili, wasikwepe kuwalipa madereva matokeo yake umlazimishe aendeshe gari kilomita 1000 atakua na umakini kweli huyu awafikishe abiria salama? waache na mchezo wa kuwaambia madreva posho yake hiyo hiyo ndio atafute dereva wa pili amlipe wagawane posho, ndio hapo dereva muhusika anapotafuta dereva wa kumvusha kwenye check point tu hrf anampa kitu kdg ye anakomaa mwenyewe ili aokoe posho, wasimamie mikataba ya madereva wasiendeshe magari na stress za ajira zao, maana wengi wa watumishi wa wizara ya kazi ni kama vibaraka wa waajiri. vyanzo vya ajali ni vingi sana kwa Tanzania sio speed tu au uzembe wa madereva, mbona Zambia hakuna tochi za kijinga na sehemu kubwa barabarani ni over 80 km kwa saa na hakuna matuta luluki lkn kwa wao ajali c nyingi? shida pia madereva wengine wajitambue, na hawa waajiri waangalie na madereva wa kuwapa magari maana madereva wengine nao, na hawa ndio wanafanya udereva au madereva waonekane wote hamnazo kwa kufanya vyovyote, kwa kuwa walikosa kazi wakaona chaka la kupatia liziki ni kwenye udereva na wakaingia kwenye udereva ili wafanye vyovyote
 
Pendekezo la waziri wa mambo ya ndani mh Kangi Lugola la kuyawezesha mabasi yasafiri usiku, nimelipokea/ limepokelewa kwa nderemo na vifijio kote nchini.
Tatizo ni jinsi ya kuyadhibiti ndio shida.
Kwa mtazamo wangu, kampuni za fleet management kama Car track wapewe tenda ya kudhibiti mabasi hayo kuhakikisha inapofika saa moja usiku, hayatembei zaidi ya spidi sitini.
Kwa muundo wa mabasi yalivyo, hata likipata ajali likiwa kwenye spidi sitini na kushuka chini, am sure 'no one will die' at that speed.
Speed 60 inaweza kuonekana kuwa ni ndogo lakni iwapo basi linakwenda speed 60 kwa masaa 12 lina uwezo wa kusafiri umbali wa 720km, ambao huo ni umbali wa kutoka Dar na karibu kufika Mbeya.
Hizi fleet management companies kwa kushirikiana na kitengo cha trafik kina uwezo wa kumonitor speed ya mabasi isizidi sitini kwa usiku na wenye mabasi wenyewe ndio watakaogharamikia kulipia kwenye fleet management companies.
Tukifanya hivi, haya mambo sijui ya abiria kulala njiani tutakuwa tumeyaondoa kabisa.
Hongera mh Kangi Lugola kwa ubunifu huu....
Kangi Lugola hatungi sheria bali anatoa mapendekezo,na tujiulize ni changamoto zipi zilisababisha sheria ya kuzuia mabasi yasitembee usiku?na je hizo changamoto zimetatuliwa?isije mwisho wa siku tukashikana uchawi.
 
Pendekezo la waziri wa mambo ya ndani mh Kangi Lugola la kuyawezesha mabasi yasafiri usiku, nimelipokea/ limepokelewa kwa nderemo na vifijio kote nchini.
Tatizo ni jinsi ya kuyadhibiti ndio shida.
Kwa mtazamo wangu, kampuni za fleet management kama Car track wapewe tenda ya kudhibiti mabasi hayo kuhakikisha inapofika saa moja usiku, hayatembei zaidi ya spidi sitini.
Kwa muundo wa mabasi yalivyo, hata likipata ajali likiwa kwenye spidi sitini na kushuka chini, am sure 'no one will die' at that speed.
Speed 60 inaweza kuonekana kuwa ni ndogo lakni iwapo basi linakwenda speed 60 kwa masaa 12 lina uwezo wa kusafiri umbali wa 720km, ambao huo ni umbali wa kutoka Dar na karibu kufika Mbeya.
Hizi fleet management companies kwa kushirikiana na kitengo cha trafik kina uwezo wa kumonitor speed ya mabasi isizidi sitini kwa usiku na wenye mabasi wenyewe ndio watakaogharamikia kulipia kwenye fleet management companies.
Tukifanya hivi, haya mambo sijui ya abiria kulala njiani tutakuwa tumeyaondoa kabisa.
Hongera mh Kangi Lugola kwa ubunifu huu....
Je suala la utekaji magari wameliangalia?kwani kwa mikoa kama kagera na kigoma itakuwa ni ngumu sana kwani kuna mapoli makubwa mno!!mchana tu walikuwa wanateka sembuse usiku itakuwaje??poli unatembea masaa ma tatu hadi manne!!
 
sioni logic ya Bus kusafiri usiku, kuna wakati pale Kisutu tulikuwa tunaondoka saa 12 kwenda mikoani na ajali zilikuwa nyingi tu ndio tukabadili Bus zikaanza kuondoka asubuhi na bado tumeendelea kuwa na matatizo, nafikiri tujaribu kutumia akili zaidi kidogo
Tusitafute sifa zisizokuwepo. Hizi bus kuzidhibiti mchana ni tatizo itakuwa usiku w
Pendekezo la waziri wa mambo ya ndani mh Kangi Lugola la kuyawezesha mabasi yasafiri usiku, nimelipokea/ limepokelewa kwa nderemo na vifijio kote nchini.
Tatizo ni jinsi ya kuyadhibiti ndio shida.
Kwa mtazamo wangu, kampuni za fleet management kama Car track wapewe tenda ya kudhibiti mabasi hayo kuhakikisha inapofika saa moja usiku, hayatembei zaidi ya spidi sitini.
Kwa muundo wa mabasi yalivyo, hata likipata ajali likiwa kwenye spidi sitini na kushuka chini, am sure 'no one will die' at that speed.
Speed 60 inaweza kuonekana kuwa ni ndogo lakni iwapo basi linakwenda speed 60 kwa masaa 12 lina uwezo wa kusafiri umbali wa 720km, ambao huo ni umbali wa kutoka Dar na karibu kufika Mbeya.
Hizi fleet management companies kwa kushirikiana na kitengo cha trafik kina uwezo wa kumonitor speed ya mabasi isizidi sitini kwa usiku na wenye mabasi wenyewe ndio watakaogharamikia kulipia kwenye fleet management companies.
Tukifanya hivi, haya mambo sijui ya abiria kulala njiani tutakuwa tumeyaondoa kabisa.
Hongera mh Kangi Lugola kwa ubunifu huu....


Tusitafute sifa kwa kuua wananchi kwa ajali zinazoepukika. Ukweli ni kuwa usiku kuna hatari nyingi za kuliko mchana. Maybe kampuni za car tracking ziinie hapo ila bado changamoto ni nyingi mno.
 
sioni logic ya Bus kusafiri usiku, kuna wakati pale Kisutu tulikuwa tunaondoka saa 12 kwenda mikoani na ajali zilikuwa nyingi tu ndio tukabadili Bus zikaanza kuondoka asubuhi na bado tumeendelea kuwa na matatizo, nafikiri tujaribu kutumia akili zaidi kidogo
Tusitafute sifa zisizokuwepo. Hizi bus kuzidhibiti mchana ni tatizo itakuwa usiku w
Pendekezo la waziri wa mambo ya ndani mh Kangi Lugola la kuyawezesha mabasi yasafiri usiku, nimelipokea/ limepokelewa kwa nderemo na vifijio kote nchini.
Tatizo ni jinsi ya kuyadhibiti ndio shida.
Kwa mtazamo wangu, kampuni za fleet management kama Car track wapewe tenda ya kudhibiti mabasi hayo kuhakikisha inapofika saa moja usiku, hayatembei zaidi ya spidi sitini.
Kwa muundo wa mabasi yalivyo, hata likipata ajali likiwa kwenye spidi sitini na kushuka chini, am sure 'no one will die' at that speed.
Speed 60 inaweza kuonekana kuwa ni ndogo lakni iwapo basi linakwenda speed 60 kwa masaa 12 lina uwezo wa kusafiri umbali wa 720km, ambao huo ni umbali wa kutoka Dar na karibu kufika Mbeya.
Hizi fleet management companies kwa kushirikiana na kitengo cha trafik kina uwezo wa kumonitor speed ya mabasi isizidi sitini kwa usiku na wenye mabasi wenyewe ndio watakaogharamikia kulipia kwenye fleet management companies.
Tukifanya hivi, haya mambo sijui ya abiria kulala njiani tutakuwa tumeyaondoa kabisa.
Hongera mh Kangi Lugola kwa ubunifu huu....


Tusitafute sifa kwa kuua wananchi kwa ajali zinazoepukika. Ukweli ni kuwa usiku kuna hatari nyingi za kuliko mchana. Maybe kampuni za car tracking ziingie hapo ila bado changamoto ni nyingi mno.
 
Siamini kama speed ndio chanzo cha ajali. Naamini kuwa kukosekana umakini kwa watumiaji wa barabara ndio kunasababisha ajali. Watumiaji wa barabara ni madreva wa vyombo vya moto, waendesha baiskeli na mikokoteni pamoja na watembea kwa miguu bila kusahau mifugo.
Lkn wazir yeye aliongelea majambazi kitu ambacho sio tishio kwa sasa.
 
Kenya baada ya kufa Sana Kwa ajali za Usiku wameamua kusafiri mchana! Sisi tunaanza safari za Usiku! Duh, ushawahi kupanda Gari ikifika Usiku inavyokimbizwa? Imagine unakutana na Gari limeharibika halina alama yotote. Trust me, tujiandae kuzika saaaana!! Tutazika wengi
Mida y usiku kuanzia singida hadi mwanza hapo katikati huwa ni mvurugano wa hatari.
 
Back
Top Bottom