Mabasi haya mnayakumbuka?

Hapo nakumbuka kuna basi moja la Safina lilipata ajali mbaya sana mto Karanga Moshi......sikumbuki lilikuwa linaenda wapi.....Hiyo Air Msae a.k.a Kilimanjaro Bus......nalo lilikuwa lina tabia ya kuchinja watu sana njia ya Arusha, Moshi, Dar.......Scandinavia bana lilivyoingia ulikuwa ukilipanda unaonekana upo matawi ya mbali sana......dah......mabasi mengi nadhani yamebadilishwa majina kutokana na utovu wa nidhamu.....tunasubiri jina jipya la Sumry
Air Msae iliuwa pale CHALINZE MZEE
 
Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?

Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach

Unakumbuka nini hapo?
1. KWACHA nimekumbuka warrant kwenda shule
2. Mwafrika nimekumbuka safari yangu ya kwanza kusafiri peke yangu
3. Railway nimekumbuka safari ya kishule toka Iringa kwenda Mazengo Dodoma
4. Kamata nimesafiri nayo sana toka Songea kwenda Dar
5. Binkleb Bus Service (BBS), Safari zangu za Songea Dar
6. Kiswele Songea Dar na wakiingia SOngea ile mihoni ya kushindana kati ya Kiswele na Zainabs
7. Scandinavia SOngea Dar, Dar Mbeya
8. Tawaqal Safari za Songea Dar, Iringa
9. Special Coach... Safari za Songea Dar
10. Ruvuma Line hata hakudumu wallah... alilipeleka basi kwa PARADISO kutambika lakini wapiii
 
Halafu Sharuks likimilikiwa na marehemu Rais wa Yanga, Mheshimiwa Abbas Gulamali lilikuwa na chata moja kali, eti, Jino moja mswaki wa nini? likichapa lapa dar/kilombero.
Dahhh, umenikumbusha mbaliii mzeee....likipita kilombero pale, utasikia horn ya kwanza ya pili niko Morogoro.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?

Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach

Unakumbuka nini hapo?
Lupelo

Hekima

Tatfif

Umewaacha mkuu
 
Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?

Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach

Unakumbuka nini hapo?
Kiswele sinza kwa Remi. Nilikuwa na yakuta yamepaki nje kwake miaka hiyo sinza. Tajiri alikuwa mtu wa kusini kama sikosei.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?

Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach

Unakumbuka nini hapo?
Special Coach...tajiri hakufa kwa ukimwi kweli...dah kitambo sana kipindi hiko stendi mnazimmoja

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Hapo nakumbuka kuna basi moja la Safina lilipata ajali mbaya sana mto Karanga Moshi......sikumbuki lilikuwa linaenda wapi.....Hiyo Air Msae a.k.a Kilimanjaro Bus......nalo lilikuwa lina tabia ya kuchinja watu sana njia ya Arusha, Moshi, Dar.......Scandinavia bana lilivyoingia ulikuwa ukilipanda unaonekana upo matawi ya mbali sana......dah......mabasi mengi nadhani yamebadilishwa majina kutokana na utovu wa nidhamu.....tunasubiri jina jipya la Sumry
Sumry ni mbeya
 
-Usangi bus service,
-Fresh ya Shamba
-Born City
-Master city
-Mwendo wa saa

Germany voyage- Dar Mtwara
 
Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?

Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach

Unakumbuka nini hapo?
A.K. Nanji,MORETCO, CORETCO, TEETEKO, NYOTA.
 
Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?

Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach

Unakumbuka nini hapo?

Nyongeza kwa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini

Lupelo Coach
Lupila Bus Service
Tweve Bus Service - bus la kwanza kuwa na mapazia Iringa
Mwangubi
Mbogo Maji
Usangu Bus
Ally Majani (hii ilikuwa Benz)
Hiyo Special coach au Bin Kleb ndiyo iliitwa supu ya mawe kama sijakosea sana

Onyo: usije ukawa umeleta uzi huu ili kuzima moto unaowaka ughaibuni
 
Igesa Line
Kwacha
Safina
Widambe
Makete

Haya mabasi wakati yanaanza kuwika nilikwepo Iringa miaka ya 1989. kabla ya hapo kulikuwa na yale mabasi ya zamani ya carrier juu, Yalipokuja haya ndo ilikuwa hizi new model za mizigo inakaa chini tukiyaita MKATE. we acha makonda na madereva wa hayo mabasi waliwatafuna mabinti kule Iringa, maana demu akipanda mle lilivyo tu achomoiiiiiii hahahahaha
Mkuu kipindi hicho nakumbuka nilikua ipogolo full kuogelea darajani pale!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyongeza kwa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini

Lupelo Coach
Lupila Bus Service
Tweve Bus Service - bus la kwanza kuwa na mapazia Iringa
Mwangubi
Mbogo Maji
Usangu Bus
Ally Majani (hii ilikuwa Benz)
Hiyo Special coach au Bin Kleb ndiyo iliitwa supu ya mawe kama sijakosea sana

Onyo: usije ukawa umeleta uzi huu ili kuzima moto unaowaka ughaibuni
Mkuu umenichekesha eti Basi la Kwanza kua na mapazia iringa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom