kadagala1
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,941
- 6,213
Mkuu nikatembee bila sababu hahahaWanazo, tembelea makambini
Mkuu nikatembee bila sababu hahahaWanazo, tembelea makambini
Scania ndiyo hawana! Benz wanazo model tofauti tofauti..Hivi kwanini katika magari ya jeshi sijawahi kuona benz na scania?
Mkuu wacha kutulisha matango pori usifikiri wote tumeanza kuyaelewa magari jana. Scania amewahi toa military vehicles anzia huko nyuma alianza na Tgb 30(SBA 111) na mengineyo mengi but in general hawa jamaa wamespecialize kweye commercial vehicles hata kwenye marine ametoa mashine haswaScania ndiyo hawana! Benz wanazo model tofauti tofauti..
Wameenda mbali zaidi wana Actros mp1 V8!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu si ndio hiyoMkuu nikatembee bila sababu hahaha
Unataka kusema nini? Mabasi yote yamefungwa speed limit, barabarani Kuna touch, huo mwendo Ni upi? Issue kubwa hapo Ni unafuu wa manunuzi na uendeshaji wa mabasi ya kichina basi.
Hapo nimekuelewa mkuuUmesoma comment yangu juu juu sana!
Mimi nilikuwa namjibu yule ndugu kuwa JWTZ hawana scania ila Benz wanazo..
Ndiyo maana kuna mdau mwingine amemshauri atembelee vikosini ataziona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbezi wameanza kuyapeleka na yale marefu...nahisi sheria imebadilika au wanaruhusa maalumHapana mkuu semi ni ndefu Kushinda hiyo Basi , for strange reasons sheria za Tanroad zipo very complicated
Basi za mwendokasi ni ndefu sana pia Ila wale wana exemption maana wanatembea kwenye barabara zao , ndio sababu yale marefu hua hayafanyi safari za nje ya barabara yao lets say muhimbili na mbezi
Hizo specs sio za truck ni za engine ... Diff haihusiki hapoNafikiri maelezo yangu yalikuwa mengi mpaka sikueleweka vizuri!
Msingi wa swali ulikuwa hivi:
Wanaposema truck ina certain torque at 900 rpm, wanamaanisha truck ipi ?
Rigid au tractor? Hub reduction au diff ya kawaida? 8×4 au 4×2 etc.
Au kuna calibration zinafanyika ili hizo version zote ziwe na same digits?
Sent using Jamii Forums mobile app
Torque huwa haipimwi huko inapimwa kwenye engine kabla hata ya gia boxHapa sasa nimekuelewa
Kiufupi hakuna calibration yoyote inayofanyika bali ili ku maintain torque digits huwa Wana vary drive train ratios hapa tunazungumzia diff
Drive ratio huapatikana kwa kuhesabu idadi ya meno kwenye cranwheel (spelling Sina hakika ) kugawanya idadi ya meno kwenye pinion. Kwa mfano wheel ina meno 37 , pinion ina meno 12 ratio ya hii diff ni 3.08 , Kama wheel ina meno 38 na pinion meno 13 , hii diff itakuwa na ratio ya 2.92,
Kwa lugha nyepesi kabisa 6x2 ,6x4 zina final ratio tofauti kabisa Ili kumaintain torque figures . Kwa lugha hiyo hiyo pia maana yake ni kuwa kutokana na kutofautiana kwa ratio , gari hizi huwa na sifa tofauti tofauti , mfano gari ya hub reduction huwa inauwezo mkubwa wa ku maintain torque bali haina mwendo, 6x2 huwa Ina mwendo ,lakini haina uwezo wa ku maintain torque , the list goes on and on
Haiwezi kuwa sababu ...coz kina rabi , kiazi hazina busta na zinakula tutaZhongtong anatumia leaf steel suspension mbele na nyuma
Sauli anatumia leaf suspension mbele lakini nyuma kwenye diff na terias ni air ride (busta )
Lakini Kama Kuna gari inajua kupiga tuta ni zile Man za taqwa , zenyewe ni full air ride , busta kuanzia mbele, diff na terias .
Nimekuelewa vyema sana mkuu!Torque huwa haipimwi huko inapimwa kwenye engine kabla hata ya gia box
Hizi takwimu sijui zinatoka wapi au american trucks hazipo duniani? Maana peterbilt/kenworth wana hadi hp 1000 imekuwaje wawe nyuma ya hp 750?!Isanga
Ni scania ipi unaongelewa na unailinganisha na benz ipi? Unafahamu most powerful truck duniani ni Volvo fm750 ikifuatiwa na scania s730, both at 3500nm plus of torque?
Hapa kwetu walijaribu Mercedes Benz Kama basi hawana hamu nazo, alianza Dar express, hazikudumu na zilikuwa very slow unakumbuka? Hiyo ya Sauli nayo Wala haikukaa ikasumbua engine. Kuna tetesi pia imewekwa scania engine.
Benz ni status tu, Kama ilivo kumiliki I phone, real workhorse ni swedish,
Sent
Hizi takwimu sijui zinatoka wapi au american trucks hazipo duniani? Maana peterbilt/kenworth wana hadi hp 1000 imekuwaje wawe nyuma ya hp 750?!
Hii thread imefocus kwenye European and asian truck kwa sana. Sasa ukisema American truck ata wanaozimili bongo ni wachache na nying niza kizaman sio zakisasaHizi takwimu sijui zinatoka wapi au american trucks hazipo duniani? Maana peterbilt/kenworth wana hadi hp 1000 imekuwaje wawe nyuma ya hp 750?!
American engines so as trucks hazitambi kwa european trucksHizi takwimu sijui zinatoka wapi au american trucks hazipo duniani? Maana peterbilt/kenworth wana hadi hp 1000 imekuwaje wawe nyuma ya hp 750?!
hata kama ukizijumlisha na hizo american trucks , bado european trucks zipo juu in every aspects, except labda extravaganza ,Hii thread imefocus kwenye European and asian truck kwa sana. Sasa ukisema American truck ata wanaozimili bongo ni wachache na nying niza kizaman sio zakisasa
😂😂😂Mkuu vipi na zile basi za DART,unazizungumziaje?Chombo pekee kizuri cha Mchina ni treni ya TAZARA
Kwenye dyno test, truck torque na power zinapimwa kupitia diff .Hizo specs sio za truck ni za engine ... Diff haihusiki hapo
Zile, duh... Zina engine ya Cummins, mabasi mengi yaendayo mikoani huja na engine hizo, hazitoboi mwaka huanza kusumbua, matajiri huziondoa na kuweka engine za Scania😂😂😂Mkuu vipi na zile basi za DART,unazizungumziaje?