Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Hakuna cha speed limiter wala nini. Majuzi nilikua naendesha Dar - Iringa, nikiwa speed 110 nilipitwa na basi kama nimekaa. Nikabaki nashangaa tu iwapo kweli limiter zinafanya kazi
Speed limiter ni story tu.

Huko barabarani upo 140kph na basi yupo nyuma yako.

Kuna siku nilikuwa natoka mlandizi mida ya jioni sana. Kuna new force ya tunduma ikawa inanisumbua niiachie njia.

Nikakaza, naye akakaza. Mpaka tunaacha mbezi mwisho siamini kama basi linaweza kukimbia speed ile tena usiku.
 
Speed limiter ni story tu.

Huko barabarani upo 140kph na basi yupo nyuma yako.

Kuna siku nilikuwa natoka mlandizi mida ya jioni sana. Kuna new force ya tunduma ikawa inanisumbua niiachie njia.

Nikakaza, naye akakaza. Mpaka tunaacha mbezi mwisho siamini kama basi linaweza kukimbia speed ile tena usiku.
na ungemwachia usingemwona tena
 
Speed limiter ni story tu.

Huko barabarani upo 140kph na basi yupo nyuma yako.

Kuna siku nilikuwa natoka mlandizi mida ya jioni sana. Kuna new force ya tunduma ikawa inanisumbua niiachie njia.

Nikakaza, naye akakaza. Mpaka tunaacha mbezi mwisho siamini kama basi linaweza kukimbia speed ile tena usiku.
Mabasi hayajakuwa speed limited , yamekuwa speed tracked, zamani kilikuwa na kifaa cha speed limiter amabacho kilikuwa kinafungwa kwenye gari na wengi walivichezea vifaa hivi,
Siku hizi hakuna Mambo ya speed limiter ,kifaa kinavhofungwa sio governor bali ni gps tracker na kazi yake ni kuripoti speed ya chombo , faini za wapi gari ili over speed hufanywa na computer za latra makao makuu ndo Kuna mtu anakuwa alerted na Kila Basi linalo over speed.

Mchezo upo hapa , Kuna baadhi ya madereva wanajua baadhi ya masupervisor waliopo zamu na wanacorrupt nao , afisa anamwambia dereva kuwa muda fulani nitakuwa watchmen wa zamu
Nipe changu nikuachie Uhuru wa kutembea , ndio case ya hiyo new force uliyokuwa unapambana nayo
 
Kama utaweka order kiwandani si wanalifupisha kidogo?

Kwa matumizi ya bongo litafaa?
Kwa matumizi ya bongo linafaa ni bus nzuri sana hizo , far superior in my view pengine Kushinda marcopolo .

Kulifupisha kutoka kiwandani inawezekana ila inaweza ikawa ni costly option kwa sababu inakuwa ni nje ya program za irrirar , mind you ile urefu ni kwa ajili ya ku accomodate comfortably abiria 50+ ina 2x2 config na ndio selling slogan yao "more leg room"

Kuna operator mmoja aliagiza gari kadhaa mpya kutoka kiwandani , batch ya kwanza ilipokuja na kuanzia kutumia akagundua madereva wake wanatumia mafuta vibaya kwa kuwasha aircon bila mpagilio mzuri , Yule operater akamwambia dealer kuwa anataka batch ya pili ije ikiwa haina aircon system , guess what , walimchaji pound 900 more, kudeliver gari hizo zikiwa hazina aircon system
 
Mlima
Honestly sielewi kwa nn transporters bongo wamezishobokea interlink zenye masharti kibao, ukiacha ufupi pia zimekuwa limited kwenye tani 56, Yani hakuna tofauti kubwa na dolly (pulling)
Sasa unaoperate magari matatu, matairi kibao halafu hakuna tija , southern huko interlink ipo na 70 gvm
Interlink Kwa bongo kweli ni mzigo kwenye tairi nyingi.
Bora kufunga Dangler kwenye semi-trailer na Dangler inabeba tani 10 ingawa ni ekseli 1.
 
For some reason ufupi wa propeller shaft huongeza ufanisi , ndio sababu g series huwa zinakuja na shaft fupi.
Hub reductions ni kwa ajili ya performance pia Ila ni option kwa wale wanataka high torque kutoka kwenye engine ndogo, hub reduction zipo za Aina mbili high speed na low speed , high speed ,
Tukija kwenye axle configuration 6x2 tag ndio the best kwa torque maana hii huja na propeller fupi , 6x4 ni kwa ajili ya off road applications
Mkuu hizi Scania used zinazokuja na mfumo wa 4*2 huwa zinafanyiwa modification ya kuongezewa ekseli 1 katikati.

Kuongeza ekseli ni kwamba gari haitoweza kufanya kazi nzito, mbona Coca cola kwenye tractor unit zao za Benz wanatumia zikiwa vilevile 4*2 bila kuongeza ekseli na zinavuta tela Kwa safari ndefu.
images.jpeg

Tractor unit kama hii mtu akiagiza mara nyingi huwa anaongeza mid lift axle hapo katikati anatoka 4*2 anakuja 6*2, Mimi naona ni matumizi mabovu ya tairi na busta maana hiyo dereva anatumia akiwa na mzigo ikiwa empty inainuliwa juu muda wote na haivuti ni tairi bwege.
 
Mkuu hizi Scania used zinazokuja na mfumo wa 4*2 huwa zinafanyiwa modification ya kuongezewa ekseli 1 katikati.

Kuongeza ekseli ni kwamba gari haitoweza kufanya kazi nzito, mbona Coca cola kwenye tractor unit zao za Benz wanatumia zikiwa vilevile 4*2 bila kuongeza ekseli na zinavuta tela Kwa safari ndefu.
View attachment 1633421
Tractor unit kama hii mtu akiagiza mara nyingi huwa anaongeza mid lift axle hapo katikati anatoka 4*2 anakuja 6*2, Mimi naona ni matumizi mabovu ya tairi na busta maana hiyo dereva anatumia akiwa na mzigo ikiwa empty inainuliwa juu muda wote na haivuti ni tairi bwege.
Kwa sheria za Tanroad bila kuongeza ekseli Hilo gari litabidi libebe tani karibu nane au kumi pungufu
4x2 Kama hii inapimwa ekseli ya mbele mwisho 8500 na hiyo diff itapimwa 10500 mwisho, unapoongeza ekseli nyuma ya diff Kama ni ya taito nne Kama diff basi itapimwa 18900kg na Kama ni ya super singles itapimwa 16500kg

Ulaya wanatumia sana 4x2 hata top specs zao nyingi zipo hivo bado sijaelewa ni kwa nini

Unaziona nyingi hizi gari kwa sasa , kwanza huoatikana kirahisi kwenye used markets huko ulaya , pili ni gari amabazo hata ukiinununa na km kadhaa bado inaukwa ni mpya maana haya huko ulaya halikufanyakazi nzito tatu kwa sababu ni fupi hata shipping costs huwa ni ndogo na kodi pia nafuu.
 
Kuna mwamba ameniambia wameongeza speed sasa sijui kweli.
Speed limiter ni story tu.

Huko barabarani upo 140kph na basi yupo nyuma yako.

Kuna siku nilikuwa natoka mlandizi mida ya jioni sana. Kuna new force ya tunduma ikawa inanisumbua niiachie njia.

Nikakaza, naye akakaza. Mpaka tunaacha mbezi mwisho siamini kama basi linaweza kukimbia speed ile tena usiku.
 
Kwa matumizi ya bongo linafaa ni bus nzuri sana hizo , far superior in my view pengine Kushinda marcopolo .

Kulifupisha kutoka kiwandani inawezekana ila inaweza ikawa ni costly option kwa sababu inakuwa ni nje ya program za irrirar , mind you ile urefu ni kwa ajili ya ku accomodate comfortably abiria 50+ ina 2x2 config na ndio selling slogan yao "more leg room"

Kuna operator mmoja aliagiza gari kadhaa mpya kutoka kiwandani , batch ya kwanza ilipokuja na kuanzia kutumia akagundua madereva wake wanatumia mafuta vibaya kwa kuwasha aircon bila mpagilio mzuri , Yule operater akamwambia dealer kuwa anataka batch ya pili ije ikiwa haina aircon system , guess what , walimchaji pound 900 more, kudeliver gari hizo zikiwa hazina aircon system
Sema ni gharama kuzileta.

Ila suala la kupunguza sio tija.

Haya madude kina Dar Ex Press ndo alitakiwa kuyaleta. Sio yale magemilang ya kikenya.
 
Mkuu t blj vipi kuhusu Scania P360XT naona imeanza kushika Kasi Kwa kununuliwa na matajiri wa Tanzania.

Uwezo,ubora na nguvu ipoje kama umeifatilia, naona kama hp zimekuwa kawaida wakati sasa watengenezaji wengi wanazipa injini hp kubwa. Maisha ya hizi yatakuwa marefu ikifanya kazi nzito za safari ndefu.
 
Mkuu t blj vipi kuhusu Scania P360XT naona imeanza kushika Kasi Kwa kununuliwa na matajiri wa Tanzania.

Uwezo,ubora na nguvu ipoje kama umeifatilia, naona kama hp zimekuwa kawaida wakati sasa watengenezaji wengi wanazipa injini hp kubwa. Maisha ya hizi yatakuwa marefu ikifanya kazi nzito za safari ndefu.
Xt stands for Extra tough, kwa uimara wa chassis na cabins hata suspension , huko ulaya Xt ina engine options nyingi Ila kwetu huku matajiri wananunua 360 xt kutokana na unafuu wa Bei, nina mashaka kama p360 inaweza ikamudu vzr safari ndefu @30tons
 
Xt stands for Extra tough, kwa uimara wa chassis na cabins hata suspension , huko ulaya Xt ina engine options nyingi Ila kwetu huku matajiri wananunua 360 xt kutokana na unafuu wa Bei, nina mashaka kama p360 inaweza ikamudu vzr safari ndefu @30tons
Wakina Azania,Bhanji,Manyanya na Elias Transport hawabebi heavy cargo au abnormal Kwa sasa ndio wanazo. Zikipewa mizigo mikubwa na safari ndefu zikafanya vizuri wengi watazikimbilia.
 
Xt stands for Extra tough, kwa uimara wa chassis na cabins hata suspension , huko ulaya Xt ina engine options nyingi Ila kwetu huku matajiri wananunua 360 xt kutokana na unafuu wa Bei, nina mashaka kama p360 inaweza ikamudu vzr safari ndefu @30tons
Kuna XT zenye V8 engines.
 
Wakina Azania,Bhanji,Manyanya na Elias Transport hawabebi heavy cargo au abnormal Kwa sasa ndio wanazo. Zikipewa mizigo mikubwa na safari ndefu zikafanya vizuri wengi watazikimbilia.
Ukiwa na engine underpowered inabidi uwe selective sana kwenye kazi unazofanya, hizi new gen scania zilizokujja hapa Tanzania nyingi ni specs za chini sana , sema zinafanya vizuri modi kea sababu ya upya pili sababu tech ya diesel inayotumika kwa sasa common rail na variable geometry turbocharge , inazifanya engine hata ndogo kutoa massive power and torque , Kuna msemo wa kiufundi no replacement for displacement , ikiwa na maana kuwa engine kubwa itabaiki kuwa kubwa , hata Kama engine ndogo itakuwa refined kiadi gami

Juzi niliongozana na pulling moja kutoka segera Hadi msata Ina namba za Kenya ilikuwa ina struggle na power na ilikuwa ni new gen p410 Hadi unajiuliza inakuwaje mtu anaunue pulling halafu take engine ndogo akati angeweza hata kuwekewa 540hp engine straight six
For some reason hata matajiri wenyewe inaonekana hawajui wanunue kitu gani kwa kazi zao wanapokwenda na mihela yao saab scania .
 
Wakina Azania,Bhanji,Manyanya na Elias Transport hawabebi heavy cargo au abnormal Kwa sasa ndio wanazo. Zikipewa mizigo mikubwa na safari ndefu zikafanya vizuri wengi watazikimbilia.
Ukiwa na engine underpowered inabidi uwe selective sana kwenye kazi unazofanya, hizi new gen scania zilizokujja hapa Tanzania nyingi ni specs za chini sana , sema zinafanya vizuri modi kea sababu ya upya pili sababu tech ya diesel inayotumika kwa sasa common rail na variable geometry turbocharge , inazifanya engine hata ndogo kutoa massive power and torque , Kuna msemo wa kiufundi no replacement for displacement , ikiwa na maana kuwa engine kubwa itabaiki kuwa kubwa , hata Kama engine ndogo itakuwa refined kiadi gami

Juzi niliongozana na pulling moja kutoka segera Hadi msata Ina namba za Kenya ilikuwa ina struggle na power na ilikuwa ni new gen p410 Hadi unajiuliza inakuwaje mtu anaunue pulling halafu take engine ndogo akati angeweza hata kuwekewa 540hp engine straight six
For some reason hata matajiri wenyewe inaonekana hawajui wanunue kitu gani kwa kazi zao wanapokwenda na mihela yao saab scania .
 
Ukiwa na engine underpowered inabidi uwe selective sana kwenye kazi unazofanya, hizi new gen scania zilizokujja hapa Tanzania nyingi ni specs za chini sana , sema zinafanya vizuri modi kea sababu ya upya pili sababu tech ya diesel inayotumika kwa sasa common rail na variable geometry turbocharge , inazifanya engine hata ndogo kutoa massive power and torque , Kuna msemo wa kiufundi no replacement for displacement , ikiwa na maana kuwa engine kubwa itabaiki kuwa kubwa , hata Kama engine ndogo itakuwa refined kiadi gami

Juzi niliongozana na pulling moja kutoka segera Hadi msata Ina namba za Kenya ilikuwa ina struggle na power na ilikuwa ni new gen p410 Hadi unajiuliza inakuwaje mtu anaunue pulling halafu take engine ndogo akati angeweza hata kuwekewa 540hp engine straight six
For some reason hata matajiri wenyewe inaonekana hawajui wanunue kitu gani kwa kazi zao wanapokwenda na mihela yao saab scania .
Elias Transport na Manyanya nadhani wao wana pulling za P360XT Kwa vile wanabeba mizigo ya kawaida zitafanya vizuri.

Kasheshe ni gari kama hiyo unaipa abnormal cargo kwenda Goma,Katanga kisha unampa dereva asiye kuwa mstaarabu akiishurutisha sana gari ikirudi inakuwa haitamaniki.

Hizi P360XT hakuna zenye V8 engine.
 
Ukiwa na engine underpowered inabidi uwe selective sana kwenye kazi unazofanya, hizi new gen scania zilizokujja hapa Tanzania nyingi ni specs za chini sana , sema zinafanya vizuri modi kea sababu ya upya pili sababu tech ya diesel inayotumika kwa sasa common rail na variable geometry turbocharge , inazifanya engine hata ndogo kutoa massive power and torque , Kuna msemo wa kiufundi no replacement for displacement , ikiwa na maana kuwa engine kubwa itabaiki kuwa kubwa , hata Kama engine ndogo itakuwa refined kiadi gami

Juzi niliongozana na pulling moja kutoka segera Hadi msata Ina namba za Kenya ilikuwa ina struggle na power na ilikuwa ni new gen p410 Hadi unajiuliza inakuwaje mtu anaunue pulling halafu take engine ndogo akati angeweza hata kuwekewa 540hp engine straight six
For some reason hata matajiri wenyewe inaonekana hawajui wanunue kitu gani kwa kazi zao wanapokwenda na mihela yao saab scania .
Vipi hizi scania 143 Hp 500+

swali langu ni
Kwann waswahili au wafanya Biashara wa huku kwetu hawazinunui? huyu sio mwendelezo wa familia ya 113??
 
For some reason ufupi wa propeller shaft huongeza ufanisi , ndio sababu g series huwa zinakuja na shaft fupi.
Hub reductions ni kwa ajili ya performance pia Ila ni option kwa wale wanataka high torque kutoka kwenye engine ndogo, hub reduction zipo za Aina mbili high speed na low speed , high speed ,
Tukija kwenye axle configuration 6x2 tag ndio the best kwa torque maana hii huja na propeller fupi , 6x4 ni kwa ajili ya off road applications
Nafikiri maelezo yangu yalikuwa mengi mpaka sikueleweka vizuri!

Msingi wa swali ulikuwa hivi:
Wanaposema truck ina certain torque at 900 rpm, wanamaanisha truck ipi ?
Rigid au tractor? Hub reduction au diff ya kawaida? 8×4 au 4×2 etc.

Au kuna calibration zinafanyika ili hizo version zote ziwe na same digits?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elias Transport na Manyanya nadhani wao wana pulling za P360XT Kwa vile wanabeba mizigo ya kawaida zitafanya vizuri.

Kasheshe ni gari kama hiyo unaipa abnormal cargo kwenda Goma,Katanga kisha unampa dereva asiye kuwa mstaarabu akiishurutisha sana gari ikirudi inakuwa haitamaniki.

Hizi P360XT hakuna zenye V8 engine.
Xt ipo v8 pia ila ni ghali sana , hauliers wa hapa bongo walitakiwa waagize kuanzia 460xt Hadi 540xt hizi p360 ni gutless zinafanya vizuri tu saa hii sababu ni mpya , ndio sababu blue coast akibeba makaa kwenda Tanga anaona bora azunguke Lindi kuliko kuparamia milima ya njombe songea
 
Back
Top Bottom