Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Mzee baba, hapo umesema uongo, costs za kuendesha hizo gari ni sawa, Utofaut wa gharama upo kwenye manunuzi , na hiyo trip uliyosema Majinja ataingiza pesa zaidi manake anakula mzigo haswa, michina haipaki mizigo

Scania atanunua bei juu, ila hiyo bus hata miaka 20 ataitumia na zaidi

mchina bei ndogo ila miaka 3 bus haifai, atambidi anunue nyingine, nani anafaidi hapo?
Soko la sasa ni la ushindani unatakiwa kwenda nalo kwa wakati huwezi tumia bus miaka 10 wenzio wanabadili we una lile lile abiria wa bongo wanakukimbia kawaida abiroa hawajui hilo la kusema hii ni yuyong hii ni scania never
 
Kuna watu wanafhani biashara ya gari ni calculator tu.

Hiyo frester Dpp ilimilikiwa na New force ikiwa mpya , then akaiuza kwa huyo frester , infact frester amenunua zaidi ya gari 10 kutoka New force , basi mpya kwake ni chache sana.
DPP zilikuja zikiwa kama frester zikiwa mpyaa hazijawahi kuwa new force
 
Mkuu sasa hivi wapo watu wanazo unajua ishu ya gari ukanda huu watu wanaulizana kwanza vipuri kama sio vya kuagiza ndio wananunua hiyo Man ndio engine diesel iliyofanyiwa majaribio inaweza kwenda umbali mrefu mkawa mnabadili madereva tuu yenyewe hata isizime na itaenda KM za kutosha, test yake ilikua America ya kusini mpaka kaskazini hizi Benz, Scania, Volvo zote zilichemka yenyewe ilifika na mzigo MAN DIESEL...

Sasa kwenye matumizi ya magari ni taarifa ndio power ni kama Zimbabwe watu wa pale wananunua sana International hizi brand zingine zipo ila kwa kiwango kidogo na kweli International mpaka isumbue sio leo ila ukiwauliza wazee wa 113 watakuambia hakuna kitu...
✌️✌️✌️🙏
 
Kweli kabisa , Cha ajabu gari ya kichina huwa haimaintain fuel economy kadiri inavyozeeka , katika machweo yake gari ya kichina huwa very heavy kwenye mafuta, niliona faw moja iliyozeeka ulaji wake wa mafuta ulikuwa majanga
Sio malory hata mabasi likiwa jipya utalipenda ila likishaanza mambo yake hata scania haziingii ndani miezi kadhaa New force alipiga marufuku madereva wake kama watatumia lita zaidi ya 700 kwenda tunduma na kurudi basi watakatwa posho nikashangaa sana zhongtong ile zaidi ya 700??

Nikamtafuta dere mmoja alikuaa anaendesha nyagawa dar njombe nikamuuliza kuhusu swala la mafuta akaniambia michina inakula mafuta vizuri tuu hizi tunazoziona huku mtaani ni propaganda tuu yeye dar njombe iende irudi zhongtong climber L360 20 Alikuwa anawekewa lita 530 sa kwann dar tunduma wasilw zaidi??

Nikataka ku compare nikamtafuta dereva wa Kilimanjaro Moja ambayo ni p310 opticruise nikamuhoji akasena kwa gari yake hata 600lt inaweza isifikishe kama hana ligi na mtu.

Nikamtafuta mwingine wa klm 94D 310 akanieleza hivyo hivyo yeye gari yake inatumia kwenye 600 hiviii iede irudi kama atakuwa masaa hapo nika realize kwamba michina inakula wese vizuri tuu...
 
Shots nikichat na suka
IMG_20201007_065058.jpeg
 
Majinja ni scanja Mbona anatepeta kwa newfoc ambao ni mchina kwa root za dar swax ?
 
Kiduku , unaifahamu habari ya Volvo? Kwamba ni lege lege 750 hp@3550Nm torque?

Unafahamu the latest Mercedes 2020, 1863 ambayo ndio the top specs Ina Power rating za scania R620 ambayo ipo barabarami toka 2008?
Kukusaidia tu Merc 2020 , 1863 mirror less Ina 630 go na torque ya 3000Nm.

Scania R620 V8 ya 2008 Ina 620 Hp @2900Nm

Merc zilikuwa ni na zitabaki kuwa gari popular lakini haimaanishi kuwa ni gari bora.
Kweli upo vizuri mkuu. Akibisha na abishe tu

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Soko la sasa ni la ushindani unatakiwa kwenda nalo kwa wakati huwezi tumia bus miaka 10 wenzio wanabadili we una lile lile abiria wa bongo wanakukimbia kawaida abiroa hawajui hilo la kusema hii ni yuyong hii ni scania never
Unafanya interior design fresh tu, linaenda na wakati
 
Ishu ni kwenye makato DPP haijarudisha hela ilihali BTY haidaiwi majinja ndio anapiga faidia sababu hana rejesho benk kama DPP ambayo bado haijarudisha faida

Kuna kitu kimekua common na wengi wanadhani kila anayenunua bus mpya ya kichina amekopa.....
 
Wakuu hivi
Kwenye gar mkisema stability, comfortable mnamaana gani
Stability ni hali ambayo unakuwa speed na huoni gari kuyumba. Mfano ukiendesha Benzi GLE/GLS ukiwa hata 180kph unaona kitu kimenata barabarani hakiyumbi. Ila ukiwa kwenye Harrier ikiwa 140kph unaona kitu kinayumba na kimekuwa chepesi hatari.

Comfortable ni ile hali ukiwa kwenye gari hata ikiwa inapita kwenye makorogesheni wewe wa ndani huyasikii. Unaona upo tambarare.
 
Stability ni hali ambayo unakuwa speed na huoni gari kuyumba. Mfano ukiendesha Benzi GLE/GLS ukiwa hata 180kph unaona kitu kimenata barabarani hakiyumbi. Ila ukiwa kwenye Harrier ikiwa 140kph unaona kitu kinayumba na kimekuwa chepesi hatari.

Comfortable ni ile hali ukiwa kwenye gari hata ikiwa inapita kwenye makorogesheni wewe wa ndani huyasikii. Unaona upo tambarare.
Oho nashukuru mkuu
 
Either hujui au haupo makini, gari kukimbia ni kitu kimoja na gari kuhimili kukimbia ni kitu kingine kabisa , mabasi yana speed limit ya 85km/h, lakini wastani wa mwendo hutofautiana kadiri engine inavyokuwa dhaifu milimani.

Mchina basi karibu zote anatumia technology ya euro 1, mechanical injector pump na nozzle , scania za f95 ni euro 5, common rail fuel injection , variable geometry turbocharger etc Ni very efficient, kiasi kwamba waliamua kupunguza cylinder moja , kwa option za mabasi,
F95 Ina uwezo wa kumaintain speed ya 85 kwa kipande kirefu, ndo maana sauli inakuwa ya kwanza kila siku

Sent
Njoo unywe soda mkuu
 
Inapakia idadi ya abiria ile ile kwa nauli ile ile mbaya zaidi ishafunguliwa engine zaidi ya mara 3 sometimes biashara ni akili ili upate faida
Scania za sauli ziko road mwaka wa 3 sasa, ukiziona,ukipanda bado kama mpya.
 
Back
Top Bottom