Salunbote Lyevedu
JF-Expert Member
- Jan 5, 2015
- 669
- 478
Nimekwambia itafute hiyo mashine kwenye picha hapo usome acha kubwabwaja wewe!! Acha kukariri mambo! Hiyo bus imetoka spain kama unavyoiona ikiwa kama ilivyo halafu wewe uje utoe kelele zako hapa ambazo hazina maana! Hata hiyo scania 95 haili mafuta kiwango ulichosema wewe! Labda nikuwekee ushahidi pia wa hiyo gari.Mzee, bus uliyo endesha ni engine ya gari ya mizigo mmeweka wenyewe , mnatia 113,124 na 114, kimotco, osaka, kisbo na kampuni zinazo fanana na hizo hilo linajulikana ndio maana Oil consumption inaweza fika hadi 0.45 huko , tafuta manual book au peruz hapo mitandao ya hawa wanao zalisha haya mabus, hizi zinazokuja huku kwetu oil consumption zinarange 0.23 na 0.26
Sisi ndo tulioanza kuingiza bus zenye mashine hiyo 95 mwaka 2009 mwishoni zilikuja 3 tu pale SAAB SCANIA mbili tukawa nazo sisi ziliandikwa Fatima Lupelo Express tulikuwa tunatumia lita 260 kwa km 714.. We unaleta habari za kusimuliwa na wauza korosho