Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Siwezi kuangalia owners nikaacha kuwasikiliza drivers!
drivers wapo na gari mda mwingi kuliko owners hivyo wao ndiyo wanaweza kuzungumZia performance ya gari katika uhalisia na siyo makaratasi!

Kama misimamo wako ndio huo utakuwa umeamua kujiingiza Chaka mwenyewe

Driver yupo kwa ajili ya maslahi tu yeye sana sana atatoa maoni ya comforts hatazungumzia hata fuel economy. owners ndio wenye mitaji ya kampuni , truck brand kama sio reliable litaumiza accounts za owner sio driver

Kuhusu performance zinaanza kwenye karatasi , na Bei za trucks huwa zina reflect performance claimed , wenzetu wanaponunua trucks huwa wanasoma specs na kuamua kitu kipi wanunue , sisi huku tunasikiliza ni kitu kipi maarufu,
 
Sasa Benz kuwa na power figures ambazo scania wanazo miaka 10 nyuma ndo inafanya Benz kuwa powerless?....

Actros 1863 nimelinganisha na Volvo 750 kwa sababu zote hizo ni top of the range
Tukija kwenye argument yako benz top of the range 630hp @3000Nm ya 2020, kwa performance ni sawa scania 580 ya mwaka 2017 @3000Nm

Tasks ambazo swedish ni superior ? Yes zipo nyingi , Benz njia ya songea huwa hazi last , transafrica walikuwa na MB actross za kutosha mwaka juzi ,zilikuja katika immaculate condition wamepigwa na breakfown za kutosha nyingi engine seizure.

Kuna scania nazijua njia hiyo zina Miaka hata sita na hazina breakdown. Ukija kwenye mabasi dar express alijaribu Benz Miaka flan zilikuwa very slow na hazikudumu, Kuna Benz ya sauli wa mbeya inamsumbua balaa
 
Actros 1863 nimelinganisha na Volvo 750 kwa sababu zote hizo ni top of the range
Tukija kwenye argument yako benz top of the range 630hp @3000Nm ya 2020, kwa performance ni sawa scania 580 ya mwaka 2017 @3000Nm...
Scania wametoa product line mpya ya V8 segment, kubwa kabisa ni Scania V8 770 hp hii mashine itakua balaa maana hizi R440 tu zenyewe si za mchezo hata kidogo. Siwezi nikafa sijamiliki V8 nitajichanya hata nikiwa na miaka 80 ninunue chuma.
 
Swedes wanatengeza truck aisee, Detroit Diesel Mmarekani top range ina 600hp torque haifiki 3000NM.
Kwenye torque swedish hawana mpinzani, na ilitabiriwa kuwa lazima new top of the range lazima ije mapema maana recent upaded V8s R580 na R650 , torque zilikuwa karibia sana na R730 ambayo kwa wakati huo ilikuwa top of the range, wakati R 730 inatoa 3500 nm, R650 yenyewe ipo katika 3300nm, hii mpya 770 inatoa 3700nm available kutoka 950rpm.

Kitaalamu engine hii inatakiwa I last almost forever maana top torque @950 rpm ni sawa na kusema engine hii itafanya kazi zake ikiwa just above idling rpm, kikawaida scania huwa Ina idle at 500 rpm
 
Kwenye torque swedish hawana mpinzani, na ilitabiriwa kuwa lazima new top of the range lazima ije mapema maana recent upaded V8s R580 na R650 , torque zilikuwa karibia sana na R730 ambayo kwa wakati huo ilikuwa top of the range, wakati R 730 inatoa 3500 nm, R650 yenyewe ipo katika 3300nm, hii mpya 770 inatoa 3700nm available kutoka 950rpm. Kitaalamu engine hii inatakiwa I last almost forever maana top torque @950 rpm ni sawa na kusema engine hii itafanya kazi zake ikiwa just above idling rpm, kikawaida scania huwa Ina idle at 500 rpm
Kiongozi we ni mtalaam sana unajuaga sana mambo haya na mimi niseme tu ni moja tu ya watu wanaoku-appreciate. Kijiweni kwako wadau wanapata madini sana ningekua nakuja kusikiliza nondo.
 
Kwenye torque swedish hawana mpinzani, na ilitabiriwa kuwa lazima new top of the range lazima ije mapema maana recent upaded V8s R580 na R650 , torque zilikuwa karibia sana na R730 ambayo kwa wakati huo ilikuwa top of the range, wakati R 730 inatoa 3500 nm, R650 yenyewe ipo katika 3300nm, hii mpya 770 inatoa 3700nm available kutoka 950rpm. Kitaalamu engine hii inatakiwa I last almost forever maana top torque @950 rpm ni sawa na kusema engine hii itafanya kazi zake ikiwa just above idling rpm, kikawaida scania huwa Ina idle at 500 rpm
Hapo kwenye 3700nm @950 rpm nimefunga bakuli langu!

Sema huchelewi kuikuta chingola imekaa kwenye tope wakati huo howo zinapita kama ziko tupu (just a joke)
 
Hapo kwenye 3700nm @950 rpm nimefunga bakuli langu!

Sema huchelewi kuikuta chingola imekaa kwenye tope wakati huo howo zinapita kama ziko tupu (just a joke)
Yah for sure 3700@ 950 rpm ni balaa, Ila nikwambie tu scania wako very flexible linapokuja swala la customer demand, kiufupi wanatoa product kutokana na demand ya mteja, Bahati mbaya sisi huku third world tunanunua mitumba , hivyo utachokikuta sokoni kwa Bei nafuu ndio halali yako regardless gari ilikuwa specified kufanya kazi ipi.

Specification za howo, scania alikuwa nazo na anazo 113 na 143 zilizotengenezwa Tamco kibaha , zote zilikuwa ni hub reduction na zilikuwa msaada sana wakati huo niia ya mwanza ni vumbi, mchina hayupo smart sana kwenye selection ya tools nafikiri kwa sababu ana very low quality products. scania Wana diff za kuvutia Hadi tani 150.
 
Wakuu hivi
Kwenye gar mkisema stability, comfortable mnamaana gani
Stability ni hali ya gari kuwa na balance/utulivu hasa linapokutana na changamoto/disturbances kama kona, upepo mkali n.k

Comfortability ni hali ya mazingira ya gari hasa hasa ya ndani kulandana ili kuwapa pumziko mwanana watumiaji. Hapa tunazungumzia
-kunesanesa (suspension system)

-nafasi ya kutosha kati ya siti na siti au siti na dashboard, ukubwa wa siti
Pamoja na kubonyea bonyea.

-mpangilio mzuri kati ya steering wheel,seat, gear shifter na pedals.

Yapo mengi ila nimetaja hayo machache hope umenielewa!
 
Yah for sure 3700@ 950 rpm ni balaa, Ila nikwambie tu scania wako very flexible linapokuja swala la customer demand, kiufupi wanatoa product kutokana na demand ya mteja , Bahati mbaya sisi huku third world tunanunua mitumba , hivyo utachokikuta sokoni kwa Bei nafuu ndio halali yako regardless gari ilikuwa specified kufanya kazi ipi...
Kuna forum moja nimeona jamaa ka'comment "if you put wings on it, the monster will fly"
 
Wengi ni mashabiki tu hawajui biashara hii wanashinda stand mfano majinja BTY na Frester DPP zote zitoke na abiria sawa bukoba bus ya mchina anapata faida zaidi kuliko Majinja kutokana na gharama za uendeshaji kutofautina mchina fuel consumption ni ndogo.
Ishu ni kwenye makato DPP haijarudisha hela ilihali BTY haidaiwi majinja ndio anapiga faidia sababu hana rejesho benk kama DPP ambayo bado haijarudisha faida
 
Back
Top Bottom