Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,012
- 121,293
Kuna watu ambao hawajafurahishwa na saizi ya baraza la mawaziri lililotangazwa leo. Sasa mimi nauliza, hili baraza ukilinganisha na mabaraza mengine yaliyopita, ni kubwa kiasi gani?
Nakumbuka enzi zile za mawaziri wasio na wizara maalumu. Sijui hawa kazi zao zilikuwaga nini.
Nakumbuka enzi zile za mawaziri wasio na wizara maalumu. Sijui hawa kazi zao zilikuwaga nini.