ndupa
JF-Expert Member
- Jan 25, 2008
- 4,403
- 141
ni declare interest mimi ni mjumbe wa baraza la katiba..according kwa tume ya ndugu warioba kulingana na kalenda yake mabaraza yanaanza kukaa kuanzia tarahe 10 mwezi huu ambayo ni kesho,na kuanza kuijadili na kuchukua maoni kutoka kwa wananchii juu ya rasimu hii ya katina iliyotolewa hivi karibuni....sasa mpaka sasa sina taarifa ya kuitwa wala nini na inaweza kuwa huenda kwa bahati mbaya nimekosa taarifaa..kwa hiyoo mwenye ugwiji kwenye hili naomba anitaarifu chochote kuhusiana na hii mambo....mbili je kuna sitting allowance zitakazotelewa kwenye haya mabaraza????nawasilisha..