Shida zenyewe ni hizi:
1. Yana Mwenyekiti mmoja ambaye anaweza kuwa anahandle kesi za wilaya kama 3 mfano Tanga DLHT kama sikosei (stand to be corrected) ana cater for, Korogwe, Pangani, Kilindi kuna Mwenyekiti mmoja.
Backlog ni kubwa kiasi mtu case inapigwa kalenda/tarehe miezi sita!/mitatu etc., next hearing March 2021! Loh!
2. Hiki ni kitu kigeni. How? Mwenyekiti ana mamlaka ya kupokea au kukataa kupokea shauri lako, anakushinikiza umtafute wakili. AU makarani wanakwambia wakutafutie wakili wakati wewe huna hela za mawakili. Hii imekaaje, wanatafutiana masoko/ulaji na mawakili?
Thes are my observations which are subject to scrutiny and verification by the authorities concerned
1. Yana Mwenyekiti mmoja ambaye anaweza kuwa anahandle kesi za wilaya kama 3 mfano Tanga DLHT kama sikosei (stand to be corrected) ana cater for, Korogwe, Pangani, Kilindi kuna Mwenyekiti mmoja.
Backlog ni kubwa kiasi mtu case inapigwa kalenda/tarehe miezi sita!/mitatu etc., next hearing March 2021! Loh!
2. Hiki ni kitu kigeni. How? Mwenyekiti ana mamlaka ya kupokea au kukataa kupokea shauri lako, anakushinikiza umtafute wakili. AU makarani wanakwambia wakutafutie wakili wakati wewe huna hela za mawakili. Hii imekaaje, wanatafutiana masoko/ulaji na mawakili?
Thes are my observations which are subject to scrutiny and verification by the authorities concerned