mputamaseko
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 1,401
- 948
Naona tumepata TRA mpya ya barabarani! Wangejivunia kupunguza ajali na wala sio kukusanya mapato mengi.
kha! hilo nalo ni swala LA kujivunia. baada tujivunie Ku export bidhaa tunajisifia kukomoa wananchi
Usitufananishe na punda.Fuata sheria uone kama utabambikiwa Kesi. Kwa anayeendesha gari Dar anaelewa kero ya kuchomekewa kwenye foleni. Juzi kati kuna dada alinichomekea mpaka nikaona aibu. Yule dada alikuwa hafananii na kile kitendo. So, Iam fully supportive kwa traffic kupenalize watu tufuate sheria. In any society kodi ndo suluhisho kwa Watu wakorofi. In fact hata ajali za kizembe kizembe zimepungua. Wange extend kodi kwa madereva WA daladala wazembe, wachafu nk. Bila mijeredi punda haendi.
Ajali nazo zimepunguaNaona tumepata TRA mpya ya barabarani! Wangejivunia kupunguza ajali na wala sio kukusanya mapato mengi.
Utakuta wengine wametulia kwenye foleni kimya jeuri anaanza kuchepuka pembeni anaendesha rafu na Mimi nasema bado mpaka hawa madereva wawe wastaarabu pia bodaboda nayo kero nyingine baya zaidiFuata sheria uone kama utabambikiwa Kesi. Kwa anayeendesha gari Dar anaelewa kero ya kuchomekewa kwenye foleni. Juzi kati kuna dada alinichomekea mpaka nikaona aibu. Yule dada alikuwa hafananii na kile kitendo. So, Iam fully supportive kwa traffic kupenalize watu tufuate sheria. In any society kodi ndo suluhisho kwa Watu wakorofi. In fact hata ajali za kizembe kizembe zimepungua. Wange extend kodi kwa madereva WA daladala wazembe, wachafu nk. Bila mijeredi punda haendi.
Wametoa taarifa, ukitoa taarifa ya jambo flani ni kufurahia?Naona tumepata TRA mpya ya barabarani! Wangejivunia kupunguza ajali na wala sio kukusanya mapato mengi.
kha! hilo nalo ni swala LA kujivunia. baada tujivunie Ku export bidhaa tunajisifia kukomoa wananchi
Hivi kweli jeshi la Polisi linafurahia kukusanya pesa kwa makosa ya watu tena makosa yanayo husiana na usalama barabarani!! Hii ni hatari naona wako obsessed na pesa tuu.
Hiyo ni taarifa kwa umma jinsi wahalifu wa makosa ya traffic walivyoshughulikiwa hakuna majivuno hapo au na wewe jiwe lilikupata kwa hiyo roho inakuuma?kha! hilo nalo ni swala LA kujivunia. baada tujivunie Ku export bidhaa tunajisifia kukomoa wananchi
Muongo na mkubwa wewe ni wapi walipofurahia?Au wewe unataka polisi wasiwachukulie hatua wahalifu?Hivi kweli jeshi la Polisi linafurahia kukusanya pesa kwa makosa ya watu tena makosa yanayo husiana na usalama barabarani!! Hii ni hatari naona wako obsessed na pesa tuu.
Hatuwezi kuacha uhalifu kuendelea kwa hoja dhaifu km hiyoKweli nchi haina pesa..apo ndege 2 tu..hzo nyingine tuache kwanza aisee
Utachonga sana lkn wahalifu watashughulikiwa tuSafi SANA.....soon watawapiku TRA
OVA
Ushahidi?Mabingwa wa kubambikizia makosa hawa...
Wewe ndiyo wa hivyoYani trafic wamekuwa watu wa hovyo sana siku hizi..kubambika kosa hawaoni tabu...dhambi kubwa sana hiyo ya dhuluma...hii pesa ni dhuluma tupu..na hakika ina laana kuna ms.....e mmoja alitaka nimbambikia kosa ila mwenyew aliona aibu baada ya kumshinda ...hela halali ndio ya kujivunia hii hela traffic asilimia 50 ni ya wizi....
Kuonya ni desecration siyo mandatory jaribu kuwa mungwana.Kwa haraka inaonekana ni sifa lakini hatulioni tatizo linalojengeka hapa! Siku hizi hakuna kitu tena kinaitwa minor offence, ambalo ni kosa la kuonywa tuu unapigwa notification
Minor offences haziepukiki barabarani lakini ndio hivyo tena
Badala ya kuzudhibiti makosa hayo yamegeuzwa chanzo cha kodi, na ati tunajisifia!!!Hongera Polisi Revenue Authority
Safi sana wape ukweli wao manake kuna mijitu humu njini kazi yao ni kulalamika tu.Fuata sheria uone kama utabambikiwa Kesi. Kwa anayeendesha gari Dar anaelewa kero ya kuchomekewa kwenye foleni. Juzi kati kuna dada alinichomekea mpaka nikaona aibu. Yule dada alikuwa hafananii na kile kitendo. So, Iam fully supportive kwa traffic kupenalize watu tufuate sheria. In any society kodi ndo suluhisho kwa Watu wakorofi. In fact hata ajali za kizembe kizembe zimepungua. Wange extend kodi kwa madereva WA daladala wazembe, wachafu nk. Bila mijeredi punda haendi.