Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale ikulu, The White House Kuna kitengo kinachoshughulikia mambo ya Africa ,najua wameona hii kitu. Hawa jamaa ndio wasaliti sasa, sijui hawataki tupate misaada kutoka kwa mabeberu? SijapendaHii ndio Halisi kwa sasa , huku Taarifa zikionyesha kwamba Wazungu wengi wanaosoma mabango hayo ambao wanafahamu kwamba Mh Mbowe ni tunu ya amani ya nchi WANASIKITISHWA SANA NA HALI YA UONEVU anayokumbana nayo Shujaa wa Taifa Mbowe
View attachment 1949923View attachment 1949924View attachment 1949925
View attachment 1950107
View attachment 1950108
View attachment 1950168
Mbona mbowe tu ndiye wanampigania. Sasa njoo wale mashehe wa uamsho wao sio binadamu,wafuasi wangapi wa chadema wapo ndani wasiopiganiwa na Hao jamaa.
Halafu wanasema Tanzania kuna AmaniHuyu mama wa kizanzibari atajutia sana maamuzi yake ya okay hii kesi comes 2025.M
Mbowe anaweza kula miaka ndio, sio hilo tu, wanaweza kumuua pia, sababu tunajua amekuwa ni tatizo kubwa sana kwa watawala wa ccm, kubwa sana, we are living with all those possibilities.
lakini comes 2025, kuna kitu kitatokea, waswahili wanasema sio kila siku ni jumapili, na wahenga wanasema hakuna jambo lisilokuwa na mwisho.
Mbowe's end will come, may be it has come, the one for ccm will come too, and it gets closer and closer and closer, day by day.
Pivi?Vipi?
Mdharau mwiba mguu huota tender!Unabii wa LEMA ulitimia JPM alifariki.Endelea kuota na kutabiri kama nabii feki Lema.
Figure's matter!!Mbona mbowe tu ndiye wanampigania. Sasa njoo wale mashehe wa uamsho wao sio binadamu,wafuasi wangapi wa chadema wapo ndani wasiopiganiwa na Hao jamaa.
Kumbe yeye akiwekwa ndani yeye binadamu.
Afu wengine wanaopigwa na kuwa vilema na kuuwa hawaonekani.
Hii double standard ya kinafiki Sana.
Hahaaaaa Mkuu...nimemuangalia mshikaji mwenye raba nyekundu...Naomba niishie hapa...Wamechoka sana anatia huruma maisha yamewapiga ila hawataki kurudi
USSR
So awe anaandamana mwenyewe Mana yeye akiwekwa ndani Kuna wa kumpigia kelele.Figure's matter!!
Kakojoe ulale !So awe anaandamana mwenyewe Mana yeye akiwekwa ndani Kuna wa kumpigia kelele.
Mtu anatumiwa anakuwa mtaji wa mwingine kula vilaini.
Hakuna atakayeniwekea chakula changu Mezani Bali my own brain and hand muscles only.
Akaandamaane mwenyewe Sasa aitishe katiba mwenyewe. Muda ukifika hakuna atakayemshawishi mwingine kuidai
Pamoja na kuchoka kwao ujumbe umefika.Heri yao WANACCM WA TANZANIA AMBAO HAWAJACHOKA WALA HAWANA NJAAHahaaaaa Mkuu...nimemuangalia mshikaji mwenye raba nyekundu...Naomba niishie hapa...
Utakuwa na wewe unatumia mtaji wasio na uelewa wewe unapiga pesa so umeona Kama nakuharibia ulaji wako.Kakojoe ulale !
Hili jambo limeifedhehesha mno nchiMbona Bango zuri tu! Fair trial ndiyo mpango wa mungu.
Jambo hili limeijenga nchi na mama ameonekana ni kiongozi asiyeyumbishwa. Tanzania imepata credit dunianiHili jambo limeifedhehesha mno nchi
Kwamba ufipa imesafirisha watu hadi Marekani ili wakabebe mabango ?
John Mbatizaji una tafuta ugomvi na jamaa zetu. Mabango ya maandamanooo. Hahaha,Sanaa tupu kutoka Ufipa st!