Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,985
- 103,358
Tanzania ni salama kwa kila mtu Lissu akiwemo. Hizo nyingine ni mbwembwe tu.
Kwa madictator walio salama ni wale makondoo na wanaomsujudia tu. Ni principle ya dunia nzima.
Tanzania ni salama kwa kila mtu Lissu akiwemo. Hizo nyingine ni mbwembwe tu.
Siyo kila unayemwona kwenye gari la ubalozi ni balozi.Wakati Tundu Lissu akiondoka nchini kwenda Ubelgiji kwa matibabu leo, amesindikizwa na mabalozi watatu ambao ni balozi wa Marekani, Ujerumani na Ubelgiji.
Washirika hawa watatu kwa hakika upo ujumbe wanaoutuma kwa serikali ya Tanzania.
Baada tu ya Tundu Lissu kuondoka nchini salama, balozi wa Marekani kwenye ukurasa wake rasmi wa Twitter ameonyesha kufurahishwa na tukio hilo. Aidha anasema kuwa Tundu Lissu anaelekea Ubelgiji kwa matibabu. "Nimefurahi kuwa hatimaye Tundu Lissu ameondoka salama kwenda Ubelgiji" amesema balozi huyo.
Tundu Lissu alibebwa ndani ya gari ya balozi wa Ubelgiji na msafara wao ulipita njiani kuelekea uwanja wa ndege bila kizuizi chochote kile.
Hao si wamesindikiza mke wao sasa shida iko wapi,
Ya Lisu muachie Lisu na ya serikari waiachie serikari,
Misheni yao imefeli hivyo tunawachora tu.
Serikari ina mambo mengi ya kufanya hivyo haina muda na mtu anyesindikizwa na watu wake.
Hao mabalozi itafika siku wataondoka wataiacha tanzania moja.
Mkuu unajua maana ya neno mesheni (mission). Au unatumia neno vibayaHao si wamesindikiza mke wao sasa shida iko wapi,
Ya Lisu muachie Lisu na ya serikari waiachie serikari,
Misheni yao imefeli hivyo tunawachora tu.
Serikari ina mambo mengi ya kufanya hivyo haina muda na mtu anyesindikizwa na watu wake.
Hao mabalozi itafika siku wataondoka wataiacha tanzania moja.
NITAJIKOPESHA NA KUMUWEZESHA KILA NIWEZALO KIJANA WANGU ASOME SHERIA. NAMUONA ANA AKILI KAMA ZA LISU..serikali wamempatia return ticket maana anatakiwa mahakamani December 3?
Ninyi msio makondoo mliambiwa muandamane 'hadi kieleweke' mliishia wapi? Ahahahahahahahahahaja!!!Kwa madictator walio salama ni wale makondoo na wanaomsujudia tu. Ni principle ya dunia nzima.
NITAJIKOPESHA NA KUMUWEZESHA KILA NIWEZALO KIJANA WANGU ASOME SHERIA. NAMUONA ANA AKILI KAMA ZA LISU
Unateseka sana Lisu kukimbia utawala wa kiimlaTanzania ni salama kwa kila mtu Lissu akiwemo. Hizo nyingine ni mbwembwe tu.
Inaweza kuwa kweli maana hakuna mtanzania Ana akili nyingi Kama Tundu LissuWanatuthibitishia Tundu lisu si MTANZANIA
Wewe umelielewaje?Mkuu unajua maana ya neno mesheni (mission). Au unatumia neno vibaya
Kwa hiyo hata wewe ni likondoo?Kwa madictator walio salama ni wale makondoo na wanaomsujudia tu. Ni principle ya dunia nzima.
Duh! Hata htawazi?huku EU masupana mazito mazito yanaandaliwa
huwezi kujisaidia kariakoo mchana kweupe ukatoka unapiga miruzi mikono mfukoni huku ukijiaminisha watu hawajakuona
Ni yeye katepetaWaulize jiwe, mpara magamba, Kachero Mbobezi na manguli wenzao wakwambie kama huyo alikuwa mke anasindikizwa?
Wenzio hata kula chakula hakipiti kufika tumboni. Maumivu mwili mzima.
Atafanyiza tokea Ulaya. Kina sisi tutabanana nao hapa hapa.
Chini nchale na juu nako nchale!
Kitaeleweka tu.
Hiiii bagosha!
Hatuhitaji kuhangaika na vibaraka wa wazungu sisiWakati Tundu Lissu akiondoka nchini kwenda Ubelgiji kwa matibabu leo, amesindikizwa na mabalozi watatu ambao ni balozi wa Marekani, Ujerumani na Ubelgiji.
Washirika hawa watatu kwa hakika upo ujumbe wanaoutuma kwa serikali ya Tanzania.
Baada tu ya Tundu Lissu kuondoka nchini salama, balozi wa Marekani kwenye ukurasa wake rasmi wa Twitter ameonyesha kufurahishwa na tukio hilo. Aidha anasema kuwa Tundu Lissu anaelekea Ubelgiji kwa matibabu. "Nimefurahi kuwa hatimaye Tundu Lissu ameondoka salama kwenda Ubelgiji" amesema balozi huyo.
Tundu Lissu alibebwa ndani ya gari ya balozi wa Ubelgiji na msafara wao ulipita njiani kuelekea uwanja wa ndege bila kizuizi chochote kile.
Inawezekana wewe huoni hata nje ya macho yako ati radi inakuja ndio itakayompa lisu urais na kuwarudisha wabunge wa chadema bungeni hebu tueleze yale maandamano yenu ya nchi nzima bila kikomo yanaanza lini tenaKwa Lissu kuondoka, Ccm na serikali mji pange. Kuna radi ina kuja. Tatizo la viongizi na washabiki wa Ccm wana ona mwusho wa pua zao.
Hivi huo ulikuwa mkuki au?Huyu nigga nae kaenda mamtoniView attachment 1623611