augustino ameri
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 267
- 57
Polisi wameua Igunga, Mbeya kwenye maandamano ya wafanyabiashara,Morogoro Iringa,Arusha,Maswa,mateso ya Dr. Mabwepande nk.Mabalozi wapo kimya kama hawapo.
Polisi wameua Igunga, Mbeya kwenye maandamano ya wafanyabiashara,Morogoro Iringa,Arusha,Maswa,mateso ya Dr. Mabwepande nk.Mabalozi wapo kimya kama hawapo.
Watanzania tumezoea kumwaga lawama kwa watu wengine isipokuwa sisi wenyewe. Sasa hapa Mabalozi wanaingiaje? Ni sawa na kumlaumu baba wa jirani kwamba hakutetei ukiwa unakula mbata kutoka kwa baba yako,ilhali baba yako hapo mtaani kwenu anaonekana ni mstaarabu na mtu wa maadili. Kumbe akiingia ndani tu familia nzima mnakula mikanda usiku kucha. Nani wa kulaumiwa hapa????Polisi wameua Igunga, Mbeya kwenye maandamano ya wafanyabiashara,Morogoro Iringa,Arusha,Maswa,mateso ya Dr. Mabwepande nk.Mabalozi wapo kimya kama hawapo.