- Thread starter
- #21
Asante nchi zetu wahisani
nchi zenu wahisani???wewe na nani.
Asante nchi zetu wahisani
Naona hapo mnataka kupigana na kinyago...mtaumia wenyewe na si kinyago!!
anategemea nchi za kiarabu zitaisaidia tanzania kwa sharti la kuwa nchi ya kiislam
dah!!magogoni ipo necked kabisa....aibu sana!!
anategemea nchi za kiarabu zitaisaidia tanzania kwa sharti la kuwa nchi ya kiislam
na bado kitaeleweka tu Mwanahalisi la wiki iliyopita lilikuwa linakuja na yale majina ya wenye billion 300 uswiss ndio maana jamaa akaenda kugawa ng'ombe teh teh teh
jf kwako sio shule ni ajira,..nape si anakulipa kuja kumuita dr.slaa padri wakati unajua alishaacha upadri..Afadhali kuchakaa nguo kuliko akili, nguo unaweza kununua zingine akili je...udini utatumaliza aisee! Wewe JF kwako ni uwanja wa mapambano ya kidini wakati sie JF ni shule.
jf kwako sio shule ni ajira,..nape si anakulipa kuja kumuita dr.slaa padri wakati unajua alishaacha upadri..
Lakini kipofu ana- compensated hearing and understanding ability! Madudu haya hata vipofu 'wanaona!"Heri kipofu asieona mambo haya
Ndio taabu ya kuwa omba omba, hawa development partners wanajua timing sana kwani sasa wanajua mnapitisha budget yenu tegemezi na hapo hapo ndio watakapokaza screws juu ya misaada yao/ good governance!! Uchumia tumbo utaifanya serikali ifyate mkia na kulifungulia MwanaHalisi ama sivyo hakuna budgetary support na hivyo miradi mliyowaahidi wadanganyika itabaki hivyo hivyo kwenye karatasi!!
Ameongea kweli au amekufurahisha wewe! Naona mmeamua kujifurahisha na kujiliwaza mnachekesha kweli Tanzania inyimwe misaada sababu ya Mwanahalisi.
unajidanganya kweli,yaani ule uongo na uzushi wa sadist kubenea ndo uiweke serikali necked,yeye mzushi ndio ameachwa uchi
BALOZI wa Uholanzi nchini, alipotmbelea gazeti la MwanaHALISI na kukutana na uongozi wa gazeti hilo, Saed Kubenea Mhariri Mtendaji na Jabir Idrissa, Mhariri mkuu wa gazeti hilo.
Wakati huo huo, taarifa zilizolifikia MTANZANIA zilisema kuwa Jumuiya ya Mabalozi nchini jana zilikutana na kufanya kikao cha pamoja kujadili suala la Serikali kulifungia gazeti la Mwanahalisi, kwa kile kilichodaiwa kuandika habari za uchochezi.
Afadhali kuchakaa nguo kuliko akili, nguo unaweza kununua zingine akili je...udini utatumaliza aisee! Wewe JF kwako ni uwanja wa mapambano ya kidini wakati sie JF ni shule.