mabalozi 18 wa ccm wa igunga wamejivua gamba.wamesema ccm imeshinda kwa sababu walikuwa wanatoa rushwa na ushahidi upo na wanaeleza pia jinsi m/kiti wao alivyokua anasambaza 45mil.wasema ijumaa ijayo watatangaza wanaenda chama gani.
wakati huo huo aliyekua mgombea wa ubunge kupitia cuf kasema hatagombea tena kwa sababu hana hela.anasema angekua na hela angeshinda.anasema kura zake 9000 zimenunuliwa na ccm.
source;ABDALLAH RAMADHAN WA WAPO RADIO
MY TAKE;
hela za rushwa zinaisambalatisha ccm.mia
Hao uliwataja walikuwa wapi na wao si ndo CCM C,D na E washafunga ndoa nao
Kumbe Abdallah Ramadhani anafanya kazi pale kwenye radio ya wapendwa!...source;ABDALLAH RAMADHAN WA WAPO RADIO
Aisee kabla sijanunu chupa ya mvinyo niinywe kwa furaha naomba nipe source ya hii taarifa!
Aisee kabla sijanunu chupa ya mvinyo niinywe kwa furaha naomba nipe source ya hii taarifa!
hao walipunjwa mgao au walinyimwa kabisa ila tusubiri tutasikia mengi sana hao ni mabalozi tu
mabalozi 18?!!!! hawa ndio wametumika kununua shahada leo wanajivua gamaba kwa lipi?
Kumbe Abdallah Ramadhani anafanya kazi pale kwenye radio ya wapendwa!