Mabalozi wa ccm bado wanaandikisha watu kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa,wananchi wanajiuliza wamepata wapi hayo mamlaka wakati siku zilizowekwa na tume ya uchaguzi umeshaisha?
muongo mkubwa wewe unataka kuchonganisha na kuleta usumbufu tu.. Tume ya uchaguzi imekwishachukua orodha ya wapiga kura na ikaibandika kwenye mbao za matangazo vituoni leo unataka kutudanganya ati mabalozi wa CCM wanaandikisha watu..labda wakuletee wewe hayo majina mapya na uwaandalie kura wao peke yao..
Mabalozi wa ccm bado wanaandikisha watu kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa,wananchi wanajiuliza wamepata wapi hayo mamlaka wakati siku zilizowekwa na tume ya uchaguzi umeshaisha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.