ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,121
- 5,332
hiyo 500mg ni kidonge kimojaFuata ushauri post za juu, pia usichangie vifaa ya kuogea na watu.
Kama imejirudia rudia mara nyingi, usitumie dawa za kupaka peke yake ongeza na vidonge (griseofulvin 500mg kutwa mara 3 kwa siku 14 kama ni mtu mzima) ni nzuri zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app