Diplomatic Imunnity
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,180
- 316
Safi sanaNdugu pole kwa hilo,
Fungus ikiwa niya uken haina haja ya tubes hizo cz hao fungus wako ndan tayar na huenda wako kwenye mfumo wa dam,
Hiyo kuna haja ya kutumia dawa za kumeza siyo za kupaka tena
Atumie dawa inaitwa
Griseofulvin,,,ni vidonge vya kumeza
Weny utalaam zaid wanakuja,lakin hiyo nakuhakikishia atapona,
Zingatia,kama ana mtu wake wakumwingia,lazima watumie dozi wote,
USAF na maji ya kunywa ni lazm,
Uguza pol