rasheid
Member
- Nov 7, 2017
- 12
- 4
Nashukur kk ntafanya hvyoTumia dawa mfululizo kwa muda mrefu fungus huwa hawafi haraka.
Pia naweza paka ute wa majini ya alovera pamoja na mafuta ya nazi yanayouzwa dukani
Nashukur kk ntafanya hvyoTumia dawa mfululizo kwa muda mrefu fungus huwa hawafi haraka.
Pia naweza paka ute wa majini ya alovera pamoja na mafuta ya nazi yanayouzwa dukani
Hahaha sabuni ya magadi utamuumiza zaid mkuu.huyo ana pumbu erosion.Pole mkuu..!! Jaribu kutumia sabuni ya magadi halafu pia ukioga tumia taulo kujifuta usibaki na unyevunyevu
Habari zenu wandugu,ninatatzo ambalo ni zito na kero kwangu kama linavyojieleza hapo head above,ninatatizo hilo la kuwashwa kwenye korodani na kutokewa na ukungu katika eneo hilo kwa muda mrefu.
Sasa na nishatumia kila aina ya dawa za hospitali na dawa za kisuna znazopatikana katika maduka ya dawa za asili za kiislam lakini napata afadhali kwa wiki moja ama mbili then tatizo linajirudia.
Naombeni msaada wenu ninasumbuliwa na hili tatizo kwa muda mrefu sasa yaweza kuwa hata ni mwaka na nusu sasa,naombeni msaada wenu tafadhalini ndugu zanguni
sio lazima kupima ngoma kama hujawa tayari,Shukran sana kk ntafanya hvyooo
Kwan unayanyonyaga??wale wanaume waliokuwa wanabisha hakuna ukungu na ukurutu kwenye mapumbu mkuje hapa mxeeeew
Jibu unalooKwan unayanyonyaga??
We mkorofi bana.. HahahahaJibu unaloo
KwaniniWe mkorofi bana.. Hahahaha
Unachunguzaje mambupu ya watu?? We kula koni tuu.. InatoshaKwanini
Mpenzi wangu namchungulia mpaka matakoni kama ameosha vizuriUnachunguzaje mambupu ya watu?? We kula koni tuu.. Inatosha
Tobaa.. mpaka wap?? Ndio maana nasema we mkorofMpenzi wangu namchungulia mpaka matakoni kama ameosha vizuri
Hapana bhn kawaida tuTobaa.. mpaka wap?? Ndio maana nasema we mkorof
Je kama kwenye damu inaweza kusaidiaTulia kijana, hii kitu ishatolewa ufafanuzi hapa na sie wajanja huwa hatukulianzishia uzi, zaidi tulilitafuta na tukajipatia tiba ya bei ndogo kuliko ya milele naweza nasema hivyo, maana ilo tatizo lilikua sugu lakini sasa ni history
Nenda duka la dawa kanunue seprine za 1000 then nunua mafuta baby care ndogo kuliko zote
Saga ile seprine yote iwe unga uchanganye na baby care
Anza kupata