Wewe ulisoma shule za boys... hakika...Kipindi nasoma tulikua tunaita pumb.u erosion.
Ulikua unawapata watu wachafu chafu.
Wale wanaonuka taulo.
Haaaaaaaaa,humu ndan kuna washauri waajabu sijapata kuona
H ah ha ha hhah ha hha haSalaam waungwana
ndugu waungwana nimepatwa na ugonjwa wa ajabu ambao unanikosesha raha mpaka sasa,
hivi niandikapo naandika kwa shida,
siujui unaitwaje huu ugonjwa mimi nimeubatiza nauita pumbukavu kusudio la kusema hapa ni kupata ushauri ni dawa gani naweza kutumia ili niondokane na haya madhila, maana kuna dawa ninatumia sijaona mafanikio ,
Dah ugonjwa wenyewe ni pumbu zinakuwa kavu papo hapo zinawasha kupita maelezo na zinanyorodoka kama pumbu za mzee vile,
Imekuwa ni aibu hata kusimama mbele za watu maana kila ukikuna ndio kama umeziruhusu kubadilisha rythim ya ukali nisiwafiche kwa huu utamu nimeutafutia kibumvi
sababu kucha sina kwa ajili ya huu utamu
lakini waswahili wanasema penye utamu ndipo penye madhara,naomba mnisaidie
Nimekuwa kama mwanamuziki wa kufoka foka kila wakati kushika mbeleni bado kupewa kipaza sauti nimwage mistari
Yaani ni aibu hata shemeji yenu sina hamu nae tena
Naomba mnisaidie ushauri maana mficha maradhi mauti humuumbua
Nasubir ushauri wenu
daaa mwanangu hii kitu simchezoPole sana Mzee baba, Ila nimeshindwa kujizuia kucheka kwa jinsi ulivyowaslisha, Ila itabidi umwone daktari, dahh!!! Itabidi wakukabidhi kipaza sauti ujifanye unashusha mistari kumbe unayakuna kiaina
mkuu bila ya shaka maswahibu haya yalikupata.Aah aah aah aah pumbu erosion? Daah shule hatar kabisa
taratibu wewe kijanaUkurutu Huo
Enzi za hizo tupo boarding huo ugonjwa ulitusumbua sana unaitwa pumbu jero sema kuna dawa inaitwa gentrisone ndo suluhisho
Salaam waungwana
ndugu waungwana nimepatwa na ugonjwa wa ajabu ambao unanikosesha raha mpaka sasa,
hivi niandikapo naandika kwa shida,
siujui unaitwaje huu ugonjwa mimi nimeubatiza nauita pumbukavu kusudio la kusema hapa ni kupata ushauri ni dawa gani naweza kutumia ili niondokane na haya madhila, maana kuna dawa ninatumia sijaona mafanikio ,
Dah ugonjwa wenyewe ni pumbu zinakuwa kavu papo hapo zinawasha kupita maelezo na zinanyorodoka kama pumbu za mzee vile,
Imekuwa ni aibu hata kusimama mbele za watu maana kila ukikuna ndio kama umeziruhusu kubadilisha rythim ya ukali nisiwafiche kwa huu utamu nimeutafutia kibumvi
sababu kucha sina kwa ajili ya huu utamu
lakini waswahili wanasema penye utamu ndipo penye madhara,naomba mnisaidie
Nimekuwa kama mwanamuziki wa kufoka foka kila wakati kushika mbeleni bado kupewa kipaza sauti nimwage mistari
Yaani ni aibu hata shemeji yenu sina hamu nae tena
Naomba mnisaidie ushauri maana mficha maradhi mauti humuumbua
Nasubir ushauri wenu
duh. ishakua noma sasa.na mimi nilikua sipitwi na mamboHiyo ni moja wapo ya dalili ya ' mbaaaaaaaaaliiiiiiii ' sana ya VVU/UKIMWI kama siyo ' Fungus ' sugu na usipoangalia unaweza ukapoteza hiyo ' Mipumbu ' yako na ukafa. Wahi kapime HIV/AIDS na Fungus tafadhali.