Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Usivae pichu za kubana na zingatia usafi mara zote. Maumivu yakizidi mwone daktari
 
Pole mkuu.
Zingatia usafi kwa kusafisha korodani na taulo kila baada ya kuoga na ukishakauka pakaa candiderm cream asubuhi na jion(kutwa mara mbili). Fanya hivo kwa muda wa siku kumi na NNE. Kama tatizo likizidi pata kuonana na dakatari. Pole.

Mkuu hii haisaidii.

Nimetumia mwezi sasa. Nikamfuata dokta wa kike akataka kuona, baada ya kumuonesha akaomba namba aje kunitibia njiani.

Nipo serious. Huu ugonjwa umenikumba na mimi siku za karibuni.
 
Mkuu hii haisaidii.

Nimetumia mwezi sasa. Nikamfuata dokta wa kike akataka kuona, baada ya kumuonesha akaomba namba aje kunitibia njiani.

Nipo serious. Huu ugonjwa umenikumba na mimi siku za karibuni.
Soma vizuri.

<b>Jamani wanajamii naomba mnisaidie mwenzenu haraka sanaa...Ni hivi siku za karibuni nimekuwa na tatizo kwenye ngozi ya korodani (scrotum) tatizo lenyewe ni kwamba hiyo ngozi inakuwa ngumu kidogo ya kujikunja na inawasha sanaa kiasi kwamba ukikuna unahisi rahaa...na kibaya sahivi naona imeanza kubabuka yaani kama ile nyoka akifa ile ngozi inavyotoka...na haitoki na nyama wala nini....sasa wajameni nauliza hili ni tatizo ganii....???? au ni Fangas??? na situmii dawa yeyote mimii au ni Joto la DSM maana mm Wa Arusha............. PLease help me peoples!</b>

Umesema hutumii dawa yoyote. Ila hapa umekanusha tena
 
Pole mkuu.
Zingatia usafi kwa kusafisha korodani na taulo kila baada ya kuoga na ukishakauka pakaa candiderm cream asubuhi na jion(kutwa mara mbili). Fanya hivo kwa muda wa siku kumi na NNE. Kama tatizo likizidi pata kuonana na dakatari. Pole.
Umenena vema na hili tatizo linawakuta wengi
Ukimaliza kuoga hakikisha umejifuta maji vizuuuri na usiache unyevu wowote kablaya kuvaa boxer
Sonadem nayo ni nzuri kwa kupaka inakata muwasho na inalainisha ngozi.
But unyevu ndo chanzo kikubwa
 
Soma vizuri.

<b>Jamani wanajamii naomba mnisaidie mwenzenu haraka sanaa...Ni hivi siku za karibuni nimekuwa na tatizo kwenye ngozi ya korodani (scrotum) tatizo lenyewe ni kwamba hiyo ngozi inakuwa ngumu kidogo ya kujikunja na inawasha sanaa kiasi kwamba ukikuna unahisi rahaa...na kibaya sahivi naona imeanza kubabuka yaani kama ile nyoka akifa ile ngozi inavyotoka...na haitoki na nyama wala nini....sasa wajameni nauliza hili ni tatizo ganii....???? au ni Fangas??? na situmii dawa yeyote mimii au ni Joto la DSM maana mm Wa Arusha............. PLease help me peoples!</b>

Umesema hutumii dawa yoyote. Ila hapa umekanusha tena
Hao ni watu wawili tofauti mkuu..
 
hio inaitwa PE inasababishwa na maji, hama unapokaa hata wiki ili uoge maji tofauti halafu ulete mrejesho
 
Miaka kadhaa iliyopita nikiwa Green Acres nilisikia wakiita hilo tatizo "Pumbulyela"
 
Like serious wachangiaji wote hamuijui sulphur?
Hii inapatikana maduka ya kiarabu (maduka ya kisunna) na wao wanaiita Kibiriti upele.

Hii ni komesha mkuu, itakuchukua siku mbili tu kusahau kila kitu.

Na hio sio tu muwasho, inaondoa Chunusi, vipele, miwasho, mba n.k

Usiache kuleta mrejesho mkuu.
 
Mkuu hiyo ni Tinea Cruris ni fungus.....jitahid unapokuwa unaoga ujifute kwa taulo vzur,usafi wa nguo za ndani ni muhimu pia jitahidi kuwa unabadilisha mara kwa mara......management yake tumia Terbinafine tablets pamoja na cream utakuwa ok
 
The Mason (Jina zuri sana),

Ni kwanini usiende kituo cha afya kilicho karibu nawe kwa uchunguzi wa kitaalamu zaidi?.Upo siriazi kweli au unatania?.

Ipo hivi,Vyoo vingi vya uswahilini vinasafishwa kwa Foma gold,Omo nk.Hizo sabuni si antiseptic,means haiuwi bacteria.Kinachokupata sasa ni Fangasi wanaosababishwa na bacteria hususan wanaopatikana chooni/bafuni kulingana na eneo unaloumwa.

Nenda kwa Mganga na utapata msaada zaidi.
very sensitive yaani nipo chuo asee tunatumiaa bafuu na choo watu wengii sanaa afuu nkiendagaa home ilo tatizooo halipogoo kabisa
 
Wakuu amani ya bwana iwe juu yenu,

Leo narudi katika uzi huu kutoa shukrani za dhati kabisa kwenu wachangiaji wa uzi huu.

Nilikuwa nasumbuliwa na fungus kwa muda mrefu sana since niko primary school.

Nilikuwa natumia tubes na dawa za kumeza zilikuwa zinapona kwa muda zinarejea tena.

Sasa niliamua kusoma uzi huu mwanzo mwisho

Yaani neno kwa neno nikapata njia kadhaa na nilianza nazo.

Njia zilizonivutia ilikuwa ni matumizi wa vitunguu swaumu kwa kuvisaga kama natengeneza pilau vile halafu nachukua kijiko kimoja nakunywa.

Nyingine ilikuwa ni kupakaa ndimu eneo husika baada ya kuoga na kujikausha vizuri.

Sasa nikakutana na nyingine humu ndani ambayo unatumia septrin na mafuta ya kawaida ya mgando kwa mimi nilikuwa natumia baby care ile ndogo kabisa.

Nilichukua septrin 20 nikazisaga zikawa unga unga halaf nikachanganya na yale mafuta mpaka sasa bado naendelea nayo ila du matokeo yake ni makubwa sana kiufupi sina tena hao wadudu.
 
Salaam waungwana

ndugu waungwana nimepatwa na ugonjwa wa ajabu ambao unanikosesha raha mpaka sasa,
hivi niandikapo naandika kwa shida,

siujui unaitwaje huu ugonjwa mimi nimeubatiza nauita pumbukavu kusudio la kusema hapa ni kupata ushauri ni dawa gani naweza kutumia ili niondokane na haya madhila, maana kuna dawa ninatumia sijaona mafanikio ,

Dah ugonjwa wenyewe ni pumbu zinakuwa kavu papo hapo zinawasha kupita maelezo na zinanyorodoka kama pumbu za mzee vile,

Imekuwa ni aibu hata kusimama mbele za watu maana kila ukikuna ndio kama umeziruhusu kubadilisha rythim ya ukali nisiwafiche kwa huu utamu nimeutafutia kibumvi
sababu kucha sina kwa ajili ya huu utamu

lakini waswahili wanasema penye utamu ndipo penye madhara,naomba mnisaidie

Nimekuwa kama mwanamuziki wa kufoka foka kila wakati kushika mbeleni bado kupewa kipaza sauti nimwage mistari

Yaani ni aibu hata shemeji yenu sina hamu nae tena

Naomba mnisaidie ushauri maana mficha maradhi mauti humuumbua

Nasubir ushauri wenu
 
Pole sana jitahidi kuwa msafi pia aina ya boxer unazovaa nunua boxer za pamba ni nzuri sana hazileti joto kwenye hivyo viungo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom