Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,829
mnatakiwa mtibiwe wote .yeye akitumia dawa anapona wewe unakuja kumuambukiza tena maana wewe unao hao fangasi pia
Grisiofulvin ni mzur mkuu ila pia apate cream yakupaka kama vile gynazole , etcNdugu pole kwa hilo,
Fungus ikiwa niya uken haina haja ya tubes hizo cz hao fungus wako ndan tayar na huenda wako kwenye mfumo wa dam,
Hiyo kuna haja ya kutumia dawa za kumeza siyo za kupaka tena
Atumie dawa inaitwa
Griseofulvin,,,ni vidonge vya kumeza
Weny utalaam zaid wanakuja,lakin hiyo nakuhakikishia atapona,
Zingatia,kama ana mtu wake wakumwingia,lazima watumie dozi wote,
USAF na maji ya kunywa ni lazm,
Uguza pol
Fungus wakiwa ukeni tayari wanakuwa kwenye mfumo wa damu tena? I see we Paradisehome ni mwongo.Mgonjwa huyu ni heri aende hospitali humu hawaze kupata msaada wowote.Ndugu pole kwa hilo,
Fungus ikiwa niya uken haina haja ya tubes hizo cz hao fungus wako ndan tayar na huenda wako kwenye mfumo wa dam,
Hiyo kuna haja ya kutumia dawa za kumeza siyo za kupaka tena
Atumie dawa inaitwa
Griseofulvin,,,ni vidonge vya kumeza
Weny utalaam zaid wanakuja,lakin hiyo nakuhakikishia atapona,
Zingatia,kama ana mtu wake wakumwingia,lazima watumie dozi wote,
USAF na maji ya kunywa ni lazm,
Uguza pol
ila mimi mbona siwashwi? nipo kawaida tu, siumwi chochotemnatakiwa mtibiwe wote .yeye akitumia dawa anapona wewe unakuja kumuambukiza tena maana wewe unao hao fangasi pia
hapana, hatoki km maziwa mgandoAnatoka kMa maziwa mgando au?
asante kwa ushauri mkuuGrisiofulvin ni mzur mkuu ila pia apate cream yakupaka kama vile gynazole , etc
ina ubora sana, sema tu sasa inaumwa, ikipona nitashukuruHiyo Papuchi haina ubora tena
Fungus wakiwa ukeni tayari wanakuwa kwenye mfumo wa damu tena? I see we Paradisehome ni mwongo.Mgonjwa huyu ni heri aende hospitali humu hawaze kupata msaada wowote.
Kaka naitaji dawa ya kumeza sio ya kupaka maana nahisi hii imeshakuwa ugonjwa suguCandistat
Mkojo wa njano unasababishwa na fangasi?Kaka naitaji dawa ya kumeza sio ya kupaka maana nahisi hii imeshakuwa ugonjwa sugu
Ziko nyingi Fluconazole, ketokonazole, cotrimazole, Amphotericin B etc....Ila ningekushauri ununue ya kupaka tu.Kaka naitaji dawa ya kumeza sio ya kupaka maana nahisi hii imeshakuwa ugonjwa sugu
Machozi yanatoka wapi?Weka limao , ila angalia usije ukalia.