Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Ndugu pole kwa hilo,

Fungus ikiwa niya uken haina haja ya tubes hizo cz hao fungus wako ndan tayar na huenda wako kwenye mfumo wa dam,
Hiyo kuna haja ya kutumia dawa za kumeza siyo za kupaka tena


Atumie dawa inaitwa
Griseofulvin,,,ni vidonge vya kumeza


Weny utalaam zaid wanakuja,lakin hiyo nakuhakikishia atapona,


Zingatia,kama ana mtu wake wakumwingia,lazima watumie dozi wote,
USAF na maji ya kunywa ni lazm,


Uguza pol
Grisiofulvin ni mzur mkuu ila pia apate cream yakupaka kama vile gynazole , etc
 
Ndugu pole kwa hilo,

Fungus ikiwa niya uken haina haja ya tubes hizo cz hao fungus wako ndan tayar na huenda wako kwenye mfumo wa dam,
Hiyo kuna haja ya kutumia dawa za kumeza siyo za kupaka tena


Atumie dawa inaitwa
Griseofulvin,,,ni vidonge vya kumeza


Weny utalaam zaid wanakuja,lakin hiyo nakuhakikishia atapona,


Zingatia,kama ana mtu wake wakumwingia,lazima watumie dozi wote,
USAF na maji ya kunywa ni lazm,


Uguza pol
Fungus wakiwa ukeni tayari wanakuwa kwenye mfumo wa damu tena? I see we Paradisehome ni mwongo.Mgonjwa huyu ni heri aende hospitali humu hawaze kupata msaada wowote.
 
Jf doctor naombeni kujua ni dawa gani inatibu fangasi za sehem za siri.... Maana nna fangasi mpaka mkojo unatoka una rangi ya njano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom