Milambo high school 2013-2015Mkuu huo ni ugonjwa wa Lindi sec, ulisoma pande zile?
Samsung galaxy ace J1
Milambo high school 2013-2015Mkuu huo ni ugonjwa wa Lindi sec, ulisoma pande zile?
Njoo inox nikupe maelezo
Lilikua za bahada ya kunyoa na kiwembe upara au ?!!
Nishatumia za vidonge na tubes kama vile fluconazole, nystatin, na nyinginezo nyingi lakini zinatuliza baada ya Muda zinarudi tenaDawa ulizowahi kutumia ni zipi?
kaka ulishapona fangasi zako kwa njia hii manake nami zinanisumbua.Nataka nijaribuWakuu amani ya bwana iwe juu yenu,
Leo narudi katika uzi huu kutoa shukrani za dhati kabisa kwenu wachangiaji wa uzi huu.
Nilikuwa nasumbuliwa na fungus kwa muda mrefu sana since niko primary school.
Nilikuwa natumia tubes na dawa za kumeza zilikuwa zinapona kwa muda zinarejea tena.
Sasa niliamua kusoma uzi huu mwanzo mwisho
Yaani neno kwa neno nikapata njia kadhaa na nilianza nazo.
Njia zilizonivutia ilikuwa ni matumizi wa vitunguu swaumu kwa kuvisaga kama natengeneza pilau vile halafu nachukua kijiko kimoja nakunywa.
Nyingine ilikuwa ni kupakaa ndimu eneo husika baada ya kuoga na kujikausha vizuri.
Sasa nikakutana na nyingine humu ndani ambayo unatumia septrin na mafuta ya kawaida ya mgando kwa mimi nilikuwa natumia baby care ile ndogo kabisa.
Nilichukua septrin 20 nikazisaga zikawa unga unga halaf nikachanganya na yale mafuta mpaka sasa bado naendelea nayo ila du matokeo yake ni makubwa sana kiufupi sina tena hao wadudu.
Habari JF DOCTORS, samahani naombeni msaada, mpenzi wangu anasumbuliwa sana na muwasho ukeni mara kwa mara, kaenda sana hospitali wanampa dawa na cream za kupaka, lakini hali inajirudia jirudia, akitumia dawa anapata nafuu temporary baada ya siku kadhaa hali inaanza tena, je tatizo hili linasababishwa na nini? suluhisho la kudumu ni nini? naombeni hata kama kuna tiba mbadala mtushauri ili atumie maana za hospitali naona kama zimemzoea sana
asante sana kwa ushauri mkuuAtumie crystal cell nitampatia kwa tsh 300,000 tu na itakua historia na pia ukishindwa muanzishie bili ya maziwa mtingi kila siku ajitahidi kunya hata mara tatu au mara mbili akishindwa