Unatakiwa unipe ShikamooSijawahi pata fungus na umri wangu huu wa 35
ATACHUBUKA! NA KUPATA MADONDATwanga kitunguu saumu alafu paka hizo sehemu tatizo kwisha
Funguka basi ndimu ulitumiaje ili wengine nao wapate somo
- Nimesumbuliwa na Fungas Kwa muda kidogo na nilijaribu Kutumia dawa bado tatizo haliishi ila siku kama tatu zilizopita nikapitia moja ya thread hapa ambapo Kuna mwana jf akasema matumiz ya ndimu nikaamua Kutumia na Sikuamini macho yangu Kuwashwa Kwote Kumeisha, najisikia huru Sasa, namshukuru Mungu na wakuu wote humu JF mungu aendelee Kuwabariki.faiza Fox God bless u
hapana ukitumia muda mrefu inachubua ukiona umepona unastop mkuuEndelea kutumia kwa wiki 3 tena zaidi
Wengi tunashindwa kutofautisha ndimu na limao Mikoani tumezoea limao na pwani ndimu lakini kunatofauti ya ndimu na limao tufahamishe vizuri ulitumia ndimu au limaoFunguka basi ndimu ulitumiaje ili wengine nao wapate somo
Dalili za mgonjwa wa maumivu ya kichwa haya mwambie hivi(ili akusaidie) '' Na mimi ninatatizo la fungus, nitumieje ili nipone'' au '' tuwekee link ya hiyo thread ili nasi wahanga itufae''Tujulishe ndimu inatumiwaje kuondoa fungas?
ndimu mkuuWr
Wengi tunashindwa kutofautisha ndimu na limao.? Mikoani tumezoea limao na pwani ndimu. Lakini kunatofauti ya ndimu na limao.
Tufahamishe vizuri ulitumia ndimu au limao