princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 7,553
- 14,381
electrolytes kwa lugha yetu tafadhali..Pima pia damu kucheki electrolytes, vitu vingine immune system ikiwa nzuri mwili unajitibu wenyewe.
electrolytes kwa lugha yetu tafadhali..Pima pia damu kucheki electrolytes, vitu vingine immune system ikiwa nzuri mwili unajitibu wenyewe.
Ni kipimo kinachoonyesha kiwango cha vitu muhimu katika mwili kama damu, madini na uwiano wake katika chembe hai. Ukimwambia dr unataka kipima electrolytes katika mwili wako atakurefer labolatory.electrolytes kwa lugha yetu tafadhali..
BASI HORMONE ZAKO HAZIPO OKsina bwana
haya mambo yananijia mm binafsi
na nafua nguo za ndani vizuri, naanika nje, napiga pasi
cotton
naoga vizuri
sinawii sabuni ukeni
najifuta vizuri
sijawahi kupaka kitu ukeni
namwaga maji chooni safi na nikinaliza najiswafi najikausha
nmepima HIV sina
na sina bwana
sasa sielewi hizi fangasi kila siku zinakujaje kila wakati...
hospitali yoyote au?Ni kipimo kinachoonyesha kiwango cha vitu muhimu katika mwili kama damu, madini na uwiano wake katika chembe hai. Ukimwambia dr unataka kipima electrolytes katika mwili wako atakurefer labolatory.
sasa ntafanyajeBASI HORMONE ZAKO HAZIPO OK
dr yeyote hospitali yeyote yenye maabara.hospitali yoyote au?
HOSPTALsasa ntafanyaje
sawa nitakwendadr yeyote hospitali yeyote yenye maabara.
wafahamu garama?HOSPTAL
hapana mamywafahamu garama?
ili nijiandae
sina bwana
haya mambo yananijia mm binafsi
na nafua nguo za ndani vizuri, naanika nje, napiga pasi
cotton
naoga vizuri
sinawii sabuni ukeni
najifuta vizuri
sijawahi kupaka kitu ukeni
namwaga maji chooni safi na nikinaliza najiswafi najikausha
nmepima HIV sina
na sina bwana
sasa sielewi hizi fangasi kila siku zinakujaje kila wakati...
ndio nawatafutà hasa wale ambao wana clinic zaoPole sana jaribu kuwatafuta madaktari wa wanawake ambao wamebobea na hawa utawapata katika hospital kubwa in Dar. Usitumie madawa hasa antibiotics bila ushauri wa daktari
naweka navaa n pedi lakini wapiUtumie maziwa mtindi yatakusaidia sana ..ukute bakteria walinz wamepungua ndo mana unashambuliwa na fangasi...na isije kuwa maji ya kujisafishia unatia deltol
Kama unaboy friend nae apate matibabu, tumia mafuta ya zaituni kupakaa sehemu husika au mwili mzima itakuletea matokeo mazuri. Tafuta yale original yaliyoandikwa "Raphael Salgado"au RS.sina bwana
haya mambo yananijia mm binafsi
na nafua nguo za ndani vizuri, naanika nje, napiga pasi
cotton
naoga vizuri
sinawii sabuni ukeni
najifuta vizuri
sijawahi kupaka kitu ukeni
namwaga maji chooni safi na nikinaliza najiswafi najikausha
nmepima HIV sina
na sina bwana
sasa sielewi hizi fangasi kila siku zinakujaje kila wakati...
kwahyo kama fangasi yale maziwa maziwa yanayotoka kwa ndani..Kama unaboy friend nae apate matibabu, tumia mafuta ya zaituni kupakaa sehemu husika au mwili mzima itakuletea matokeo mazuri. Tafuta yale original yaliyoandikwa "Raphael Salgado"au RS.
Mmmh.. Au umemaanisha ndani ya uke?sinawii sabuni ukeni
inachosha sanaDuh Mara kumi bidada pole sana.
Nilipataga mara tatu kwa mwaka it was the worst year ever, yani nilikuwa sina raha.
Unajifutaga na toilet paper?? Acha kabisa. Ikikubidi sana, jitahidi tissue isishike uke. Mchawi wangu alikuwa toilet paper.
Una sweat sana? Jitahidi kuvaa nguo nyepesi, uwe unabadilisha chupi katikati ya siku...beba hata mbili kwenye pochi, ukinawa jifute na uliyovaa, badilisha. Mpaka ujue kama shida ni joto au vipi.
Kunywa yoghurt kwa wingi na ingawa wengi hawaipi uzito lakini balanced diet jamani. Uwe mlafi wa matunda na mboga. Kwa siku piga machungwa matano, parachichi moja, tikiti maji nusu, embe zima, tango zima, mafungu mawili ya mchicha yani usilete utani.
Uko mkoa gani? Kama Dar, pls Muone Dr. Shafiq wa Agha khan. Kumuona Mara ya mwisho ilikuwa 40,000