Nikuulize swali, ndugu wewe ni mnywaji wa bia. Kama jibu ni ndio acha kunywa maliza matibabu kwanza.Aina za dawa nilizo tumia ni jamii ya mafuta na vidonge,nili pakaa ikawa imepungua. Nikiacha kupaka kwa muda inarudi.
N'na tatizo la muda mrefu la ugonjwa wa fangasi sehemu za siri na nimetumia dawa nyingi za hospital bila mafanikio.
Jamani jamani vitunguu na ndimu sehemu za siri? Dah Riwa yuko wapi atuambie vizuri.
Kwa ujumla umemwelewesha vizuri iila hapo kwenye 'red' naomba ufafanuzi muda mrefu unaomaanisha wewe? ni masaa, siku,au muda mrefu wa aina gani? maana mimi kila niogapo nabadilisha haijalishi ni masaa mawili yamepita (kama siko kwenye heshima), na mara nyingi tunatoka nyumbani asubuhi tukiwa safi, Twashinda kazini tunarudi jioni twaoga/twajiswafi twabadilisha. Sasa muda mrefu unaouzungumzia wewe ni upi ufafanuzi tafadhali?Pole sana. mbali na njia njinginezo ambazo mtu waweza kupata fangasi,vitu kama
1: kushare mataulo,
2: kutokujikausha vizuri unapotoka kuoga,au haja ndogo/kubwa.
3:kutokumwaga maji ya kutosha unapoenda kutumia choo(kumbuka kama wewe ni msichana hakikisha unamwaga maji ya kutosha unapoenda chooni iwe haja kubwa au ndogo hata kama unaona choo lulichoingia ni kisafi kwa macho kwa sababu mtu akishatumia choo hata tu ile kukojoa mkojo mdodo sana kama vijiko viwili, kama ana fangasi na hakusukuma mkojo wake vizuri ni rahisi sana utakapotumia na wewe kuondoka na bacteria hao.
4: kuvaa nguo za ndani ambazo hazijakauka vizuri
5: kutumia taulo muda mrefu bila kulifua( kumbuka kupiga pasi taulo unazotumia na hakikisha hutumii mataulo ya kwenye mahoteli kwa hiyo unaposafiri beba taulo lako.
6: kuchangia soap dish(ni vyema ukajitegeme kifaa chako cha kuwekea sabuni zako za kuogea(kama ni mwanamke na una familia wengine wanaweza wasikuelewe,lakini kumbuka kila mtu anapoingia bafuni ana ustarabu anaoujua yeye wa kutumia vifaa vya bafuni so bora ujikinge hapa.
7: kutumia ndoo za kupigia deki kwa kuogea
8: kutumia muda mrefu pedi za kujisitiri siku za heshima kwa msichana
9: kukaa muda mrefu na nguo ya ndani bila kubadilisha n.k n.k
nakutakia matibabu mazuri upone na hizo fangasi zizirudi tena.
Aina za dawa nilizo tumia ni jamii ya mafuta na vidonge,nili pakaa ikawa imepungua. Nikiacha kupaka kwa muda inarudi.
Kwa ujumla umemwelewesha vizuri iila hapo kwenye 'red' naomba ufafanuzi muda mrefu unaomaanisha wewe? ni masaa, siku,au muda mrefu wa aina gani? maana mimi kila niogapo nabadilisha haijalishi ni masaa mawili yamepita (kama siko kwenye heshima), na mara nyingi tunatoka nyumbani asubuhi tukiwa safi, Twashinda kazini tunarudi jioni twaoga/twajiswafi twabadilisha. Sasa muda mrefu unaouzungumzia wewe ni upi ufafanuzi tafadhali?
Vile vile tunatofautiana maumbile kuna wengine always wanakuwa wet si kwenye heshima si kwenye kawaida sasa hao pia tuwashaurije.